Diamond Platnumz kualikwa Ikulu kila wakati, kunani?

Hahahaaa, Lukelo utaua watu kwa presha ujue.Wewe tulia tu lakini mbona sisi tunajua michezo yake hiyo kitambo? Basi tu tunazipenda kucha zetu.

images

heri kukaa kimya kucha ziendelee kuwepo, la sivyo zote zitanyofolewa...
 
SAD NEWS:Taarifa za hivi punde na ambazo hazijathibitishwa, tunaendelea kuzifwatilia, ni kuwa msanii wa nyimbo za Bongo Fleva Nasibu Abdul maarufu kama Diamond Plutnumz amepigwa risasi na watu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi jijini Dar es Salaam.Taarifa hizo zinazidi kusema Diamond hajafariki dunia ila amejeruhiwa vibaya sana.
MilardAyo,CloudsFm NIMEPELEKEWA. Copy and paste
 
Kukutana kwa marais mbona ni mambo ya kawaida...

Rais wa Tz na rais wa wasafi wakikutana hakuna nongwa...
 
Afu ye anajiona mjanja kiasi cha kuita wenzie wajinga! What a joke! Kama haujui muziki na si shabiki akae pembeni atupishe.

Kwa muziki Wa ndomo?? Mziki gani ule bora angerudi akauze dagaa kwao tandale mashabiki wake wengi ni low class
 
Kwa muziki Wa ndomo?? Mziki gani ule bora angerudi akauze dagaa kwao tandale mashabiki wake wengi ni low class

Muziki it's all about having mashabiki.! Ebu be specific hapa unadis ninini? Shida yako ni Diamond aache muziki akauze dagaa au? Sijakuelewa unashida gani bado!
 
Muziki it's all about having mashabiki.! Fuatilia posts zake zote kama utaona ana-criticize kwa hoja.... Ebu be specific hapa unadis ninini? Shida yako ni Diamond aache muziki akauze dagaa au? Sijakuelewa unashida gani bado!
binti kiziwi, yaani unapoteza muda wako kwa huyo omari londo? Ukiangalia ambayo ilitaka kuwa post #54 , utakuta kuna post pale nili-delete! Hiyo post nilikuwa namwelewesha jambo huyo ndugu sasa baadae, nikaanza kuzisoma post zake zingine, sikuona cha maana anachoongea na hapo nikagundua kujaribu kumwelewesha mtu kama huyu ambae wala haelekei kama anelewa chochote ni kupoteza muda... nikaamua ku-delete ile post ili aendelee kubaki na ujinga wake!
 
binti kiziwi, yaani unapoteza muda wako kwa huyo omari londo? Ukiangalia ambayo ilitaka kuwa post #54 , utakuta kuna post pale nili-delete! Hiyo post nilikuwa namwelewesha jambo huyo ndugu sasa baadae, nikaanza kuzisoma post zake zingine, sikuona cha maana anachoongea na hapo nikagundua kujaribu kumwelewesha mtu kama huyu ambae wala haelekei kama anelewa chochote ni kupoteza muda... nikaamua ku-delete ile post ili aendelee kubaki na ujinga wake!

Let me quit lol!
 
Let me quit lol!
hahahaahaaa.... bora hata kwenda kubembeleze mtoto wa jirani kuliko kujaribu kumwelewesha... sana sana hapo akirudi tena utamsikia "sasa ndo nini, mashabiki ndo nini? kwani hao mashabiki hawana kwao...!" Nchi ina majanga hii, we acha tu!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom