Diamond Platnumz azidiss Tuzo za Kili

Diamond Platnumz azidiss Tuzo za Kili

Akwende huko kaogopa aibuu maana hatashinda....
Alitaka kiba asiwepo sasa mfalme yupo na ndo karudia kiti chake... heheheiyaaaaaaa Domo nawa na mafuta tayari kwa kula mafenes eeeee
Kiba kwani ana lipi hasa linakufanya utembee kifua mbele.mnabeba gunia la misumari,zama zake alizichezea mnatumia nguvu nyingi kumrudisha.kiba kwa sasa hamfikii hata dimpoz labda shetta
 
Mafanikio yakikosa mipango bora yanaweza kukurudisha kwenye kufeli,ni wakati muafaka wa walio karibu na jamaa wamsihi aache kupaniki maana hao wanataka apaniki ili avurunde akumbuke ni base ya mashabiki wa ndani ni muhimu kuliko anavyodhania sioni sababu ya kusema hawezi kushuka ajiulize kaka zake wako wapi na music cycle iko wazi hauwezi kua juu milele ni bora akomae ashuke muda ukifika kwa sababu sahihi sio hili analolizua akumbuke last time fiesta ile zomea ilivyompa wakati mgumu kwa muda,kama ameweza kua na mameneja wawili,wapiga picha wake,Dj wake,mlinzi wake,dancers wake ni muda wa kutafuta PRO wake awe ana dili na ishu za media maana recently dogo page yake imekua ya mipasho mara "kula ndimu" sijui beseni utapike,sisimizi kameza nini ilimradi vurugu tupu utadhani hajaenda kimataifa maana anafanana nao hawa waliokosa nafasi za kujitangaza nje.

nakupa like...umeongea point sana hasa hapo ulipo malizia mwishoni
 
Kiba kwani ana lipi hasa linakufanya utembee kifua mbele.mnabeba gunia la misumari,zama zake alizichezea mnatumia nguvu nyingi kumrudisha.kiba kwa sasa hamfikii hata dimpoz labda shetta

Labda Banzastone
 
Kiba kwani ana lipi hasa linakufanya utembee kifua mbele.mnabeba gunia la misumari,zama zake alizichezea mnatumia nguvu nyingi kumrudisha.kiba kwa sasa hamfikii hata dimpoz labda shetta

Ukwel siku zote unauma..mnatokwa na mapoooovuuuu ama kweli nimeamini kiba kiboko yenu....
Penda usipende kiba ndo kinara hahahahahaaaaa le superster.
 
Diamond atakuwa na management nzuri sana...
Alichoamua ni sahihi...
Ameshafikia level ya kimataifa atajishushia status kushiriki local competitions ambazo hakuna guarantee kama atashinda...
Maana hakawii kuundiwa zengwe wamshushe kimziki kwa kuwapa tuzo wasiomfikia hata robo na yeye kukosa..

Safi sana
 
Ukwel siku zote unauma..mnatokwa na mapoooovuuuu ama kweli nimeamini kiba kiboko yenu....
Penda usipende kiba ndo kinara hahahahahaaaaa le superster.
kinara wa nini,onesha mafanikio tumpime.nyimbo zake mwisho mombasa,Diamond ukitembea africa nzima nyimbo zake zinapigwa,kiba ni sawa na mr nice tu
 
kinara wa nini,onesha mafanikio tumpime.nyimbo zake mwisho mombasa,Diamond ukitembea africa nzima nyimbo zake zinapigwa,kiba ni sawa na mr nice tu

Thinking capacity yako ni ndogo sana sasa siwezi kubishana na wew
 
Thinking capacity yako ni ndogo sana sasa siwezi kubishana na wew
hapo ndipo upeo wako na team kiba ulipoishia.kumshabikia kiba ni sawa na kukumbatia upepo habebeki.mtabaki kuzomea majukwaani na kurusha mikojo
 
Ukwel siku zote unauma..mnatokwa na mapoooovuuuu ama kweli nimeamini kiba kiboko yenu....
Penda usipende kiba ndo kinara hahahahahaaaaa le superster.

Sote tunajua kiba ndo kinara wa kuvaa moka.. Kuna mtu anabisha
 
Jinsi ya kumpigia kura Diamond kwenye tuzo za KTMA katika vipengele alivyowekwa andika GA1, FB2, DA3, BB4, AJ3 na AH2 tuma kwenda namba 15415. Kupiga kura kwa watsap tuma hizo code kwenda namba 0686528813. Pia online kupitia www.ktma.com diamondplatnumz. mashabiki ndio tushaamua hivooo dangote anastahili kuzichukua zote alizokuwa nominated.......

Tupo Pamoja Kaka Nan Kama Dangote Na Watakonda Mwaka Huu Vp Wameichek [Nana]
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom