Avatar
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 11,128
- 11,938
Ye ni parformer tu sio mtunzi wa fifa anthemHii ngoma ya world cup"colours" mbona yupo Derulo peke yake
Ye ni parformer tu sio mtunzi wa fifa anthemHii ngoma ya world cup"colours" mbona yupo Derulo peke yake
Hizo channels za mbele ni zipi? Ina maana YouTube ni ya Tanzania?!mimi sijawahi kuona msanii aliye serious akifurahia ama kushangilia viewers kweny eyoutube.Huku ni danganya toto kabisa kwanini anakataa kujisubscribe kwenye zile channel za mbele? Huku youtube si ata DAB ana viewers 10M
kwa jinsi unavyopigania hii channel ya youtube kumpa support Daimond kuna uwezekano wewe ndio Diamond mwenyewe ila unatumia fake IDHizo channels za mbele ni zipi? Ina maana YouTube ni ya Tanzania?!
All in all, huwezi fahamu umuhimu wa subscribers hadi kwanza uwe msanii huku juu yako kuna akina Juliana Shonza!!
Na hata kama hakuna akina Shonza, subscribers wanakuhakikishia possible international audience!!
Itoshe tu kusema kwamba, duniani watu wanalipa pesa to social media markers ili ku-drive subscribers traffic kwenye YouTube channels... kwahiyo don't underestimate the power of subscribers mbele za watu!
Hhahahahahaha uwiiii hawa jamaa sjui Ali kawaloga yaaaani mhhhhata Alikiba ana Subscribers zaidi ya hiyo milioni moja sema hapendi show off tu kawaambia youtube wampunguzie ili asionekane mpinzani bure!
Kwa jinsi ninavyoipigania kivipi?!kwa jinsi unavyopigania hii channel ya youtube kumpa support Daimond kuna uwezekano wewe ndio Diamond mwenyewe ila unatumia fake ID
mkuu umetisha yan wanakela watu wenginekumuelimisha mjinga Ni matumizi mabaya ya data