Squidward
JF-Expert Member
- Jul 21, 2014
- 8,509
- 10,716
kuna msanii lazima atajwe
hata Alikiba ana Subscribers zaidi ya hiyo milioni moja sema hapendi show off tu kawaambia youtube wampunguzie ili asionekane mpinzani bure!
kuna msanii lazima atajwe
diamond kaanza music 2009 sawa na fally ipupa lakin ana subscribers milioni 1 sasa kwa you tube account yake, na vevo ana 98k
Diamond vevo Ana lak 1
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hata Alikiba ana Subscribers zaidi ya hiyo milioni moja sema hapendi show off tu kawaambia youtube wampunguzie ili asionekane mpinzani bure!
kumuelimisha mjinga Ni matumizi mabaya ya data
Mange huyo.Mnapataga wapi hizi taarifa?
Kumchukia Diamond, ni kujichosha na huwezi mlinganisha na Ali Kiba. Diamond anajituma sanaTune in times fm 100.5
Diamond akifanyiwa interview
Nimetune now wanapiga nyimbo zake balaaTune in times fm 100.5
Diamond akifanyiwa interview
hahha i just used 1 MB sio mbaya sana though wakat mwingine uwaelimishe waujue ukweli ili wakikataa ijulikane ni HATRED.kumuelimisha mjinga Ni matumizi mabaya ya data
Kwahiyo kirahisi ni kwamba amevunja rekodi Tanzania sio Afrika... hapo nimekuelewa vizurimwanamuziki gani tanzania au afrika.mashariki ambaye ana subscribers milioni moja..??! je kati ya wizkid/davido/tiwa savage,,japo wako vevo nani ana subscribers milioni 1??
kwani kuvunja rekodi ni.lazima uwe namba moja?! au kiswahili.hujakielewa hapo
fally ipupa kaanza muziki 2009, ana subscribers laki 5 na 90 kwa sasa, alikiba kaanza muziki 2006 na ana subcribers laki 1 na 57 hadi sasa katika you tube yake ya kawaida ila vevo ana elfu 97,
diamond kaanza music 2009 sawa na fally ipupa lakin ana subscribers milioni 1 sasa kwa you tube account yake, na vevo ana 98k
wizkid kaanza music 2001, you tube yake ya kawaida ana subscribers laki 1, na ya vevo ana laki 3...
davido ameanza music 2011, you tube account yake ya kawaida ana subscribers elfu 7, ila.ya VEVO ina laki 5...
sasa see the difference!!!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] nilijua tuhata Alikiba ana Subscribers zaidi ya hiyo milioni moja sema hapendi show off tu kawaambia youtube wampunguzie ili asionekane mpinzani bure!
Kwa Dada MangeMnapataga wapi hizi taarifa?
hiyo ngoma halis bado huwa fake nyingiUmeisikia wapi na lini imetoka.
Napenda sana anavyojibu maswali ya mtangazaji.Kumchukia Diamond, ni kujichosha na huwezi mlinganisha na Ali Kiba. Diamond anajituma sana
mkuu, diamond platnumz kapata major deal na fifa world cup 2018 ambayo itafanyika urusi ambapo kwenye deal hilo "watery" diamond ata perform kwenye sherehe za ufunguzi tarehe 14 Juni ambapo pembeni atasimama kijana Derulo au Jason Derulo mzee wa "Swalla" ambaye ndie mhusika mkuu aliye pewa dhamana ya ku create world cup anthem ambapo pia watakuepo na wasanii top wa afrika wakiwasindikiza kukamilisha tukio hilo adhimu duniani.Hii ngoma ya world cup"colours" mbona yupo Derulo peke yake
thanks mkuuKwa nchi za Sub Saharan diamond ni msani wa kwanza kufikisha Subscribers milion moja,kwa maelezo zaidi katembelee youtube channel ya simulizi na Sauti .
View attachment 719521
Hizo zenye rangi ya udongo ndio nchi za sub saharan