MmhKazi yote hio ya nn,kama skendo ameshazisikia za kutosha
NAM NNA MASHAKA NA HILO MKUUhakikishe anakwenda na ulinzi wa kutosha wasije kumchangia wakampiga bure
Hii itakua imetoka Tango wala sio Fb, sio kwa uandishi huu,km sivyo basi aliendika n mganda
Vyote hivyo si risasi.Na waganda wanavyopenda kutetana...alafu wakute hujui kilugha chao hadi salamu watajidai wanakusalimia kumbe ni tusi we ukiitikia tu tayari umeridhia hilo tusi.
Waganda ni kama wahaya kwa tabia mpaka sura. Wanadhadrau sana kwa asiye wa kwao.Na waganda wanavyopenda kutetana...alafu wakute hujui kilugha chao hadi salamu watajidai wanakusalimia kumbe ni tusi we ukiitikia tu tayari umeridhia hilo tusi.
Alikikosa wakati wote anazaa naye watoto watatu.ndo ujue pesa sio kila kitu mbwigila wewe
alichokifata kwa nasibu ndicho alichokikosa kwa ivan
Kuachana haimaanishi ni uadui...Sema wanawake mi nmewavulia kofia kwa unafiki,hivi zari anakipi cha kumlilia mshikaji,!?si alishamuona hafai kitambo..!!michozi mwamwa!
Dada usitukane wakunga, wala usichokoze mamba ya ndoa mengi.Malaya tu alikosa nn kwa ivan?
Dada usitukane wakunga, wala usichokoze mamba ya ndoa mengi.Malaya tu alikosa nn kwa ivan?
Na ndio inatakiwa.Diamond ana roho ngumu kinyamaa
aende hila awe mwangalifu saana, kwenye mambo kama ya vyakula na interactionNashauri asiende yanaweza mkuta makubwa wanafamilia hawana furaha Diamond kupora mke wa ndugu yao.