Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 268,241
- 1,095,572
Hehehehehe naona mnalia sina ushabiki kwa konde,nina post nyingi nimempondea nashangaa mnaogopa kuziweka hapa. Wachafu koge poleni jamani. Konde ndo hivyo tena mmeshindwa kumshusha
Mzee hawa watu Numbisa na Daudi Mchambuzi hujawajua tu!? hawa ni haters wa Diamond na Wcb na sio fans wa muziki wanaumia sana wanapoona Mond anafanikiwa wanatamani Leo kesho ashuke lakini waapi...walivyo wanafki sasa baada ya kuona jitihada za kumshusha kwa kumtumia Kiba zimegonga mwamba wamehamia upande wa Harmo na kujifanya kumsapoti kipindi hiki na wakati mwanzo walimponda na sasa Mind kawaumbua zaidi baada ya kuonyesha kuwa bado yupo pamoja na kijana wake kwahiyo wanachokifanya hapa ni kuanza kurushia mipira watu eti oh mlikua mnamponda Harmonize wakati wao ndio wapondaji wakubwa wa Wcb toka kipindi hiko...jamii ya watu kama hawa ndio wale ambao ni wanafki na hatupaswi kuishi nao kwenye jamii yetu ya kitanzania...off course sio lazima kila mtu ampende Mond hata mm bongo Nina wasanii wangu ila sio mind na kiba lakini siwezi nkaonyesha chuki za wazi na za kichawi kwa mtu ambaye sio my favorite badala yake wakifanya mazuri huwa napongeza vilev