JF Member
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 7,392
- 9,665
UKAWA ipi? Maana niijuayo mie ishatangulia mbele ya haki,Ni Ngumu sana Kupitishwa kwenye kura za maoni ndani ya CCM labda aje UKAWA ndio atatimiza ndoto zake za kuwania Jimbo la Kinondoni.
UKAWA ipi? Maana niijuayo mie ishatangulia mbele ya haki,Ni Ngumu sana Kupitishwa kwenye kura za maoni ndani ya CCM labda aje UKAWA ndio atatimiza ndoto zake za kuwania Jimbo la Kinondoni.
Baba yake mbona yuko powa tu. Si lazima atangaze kuwa huwa anamhudumiaMimi nadhani angemsaidia baba yake mzazi kwanza ningeona anazo akili kichwani.
Hakutaka wengi wanufaike au wajitokeze. Lakini pia hii inahamasisha wasanii na wanajamii wengine kufana mambo mazuri kama haya kwa jamii zao.Mbona Kiba juz alitoa misaada, ila hana matangazo, pia alipanda daladala hakutangaza
Hahahha haelweki.Unataka chumba au bodaboda?
Asante mwalimu kashasha kwa uchambuzi murua.Hii kitaalamu inaitwa Corporate Social Responsibility,watu wa social work wanaita Philanthropy. Ni kitendo kizuri na cha kuigwa
Tia neno mkuu.
Ni kigezo muhimu mno kwenye good corporate governance, Wcb watafika mbaliHii kitaalamu inaitwa Corporate Social Responsibility,watu wa social work wanaita Philanthropy. Ni kitendo kizuri na cha kuigwa
yupi aliyemtupa utotoni ,shubamit weMimi nadhani angemsaidia baba yake mzazi kwanza ningeona anazo akili kichwani.
Mbona anamsaidia tena Sana na baba yake kashabarikiMimi nadhani angemsaidia baba yake mzazi kwanza ningeona anazo akili kichwani.
Mkuu hilo eneo litaje kwa adabu kabisa ndo eneo bora lenye habari zoteKwamtogole is the only way forward.