Mkare_wenu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2011
- 1,714
- 442
Leo jumapili 07/07/2013 kulikuwa na kipindi cha nani zaidi hapo radio one kati ya watoto wawili wa ilala na marafiki pia yaani Ally Kiba "for real " Diamond "platnumz" .
Mpaka mwisho wa mpambano Ally Kiba ameibuka mshindi baada ya kupata kura 26 za simu dhidi ya kura 12 za Diamond. Binafsi nimenote mambo mawili . Mosi ni kuwa Ally Kiba bado anaendelea kupendwa nafikiri kutokana na nyimbo zake na pia kutokana na kutokuwa na kashfa katika maisha ya kawaida nje ya muziki na jambo la pili Diamond bado ni kipenzi cha wadada maana katika hizo kura 12 alizopata takribani 9 zilikuwa za wanawake
Msanii na Producer anaetamba na Bolingo kwa sasa Bob Junior "Sharobaro" leo ameongelea ama kutoa ushauri kuhusu kutokuelewana kati ya wasanii wawili wa Bongo Fleva Ally Kiba na Diamond Platnumz, Amesema kuwa Ally Kiba ni Best Vocal na Best Artist in Bongo na Africa hivyo amemtaka Mdogo Mdogo ambae kwa jina la wimbo yani Diamond kumuheshimu Ally Kiba, Pia ameendelea kwa kumwambia Ndagushima kwa jina la wimbo yani Ommy Dimpoz kwamba ugomvi huo haumuhusu hivyo asitafute kiki kupitia Beef hiyo.
Nanukuu "BIFU SIO KITU KIZURI UNAJUA ALIKIBA NI BEST VOCAL ANAJUA AKIFANYA CHO KUJIINUA SO UKIMYA WAKE USIKUFANYE WW KUMTUKANA KIIVYO NA KUMSEMA VIBAYA ATA WW #NGAGUSHIMA HILI BIFU WW ALIKUHUSU ACHA KUTAFUTA KIK KUPITIA BIFU ZA WATU ALIKIBA UR THE BEST AND MY BEST ARTIST IN BONGO AND AFRIKA SO WW #mdogomDOGO
ALIKBA ITS UR BROTHER MUHESHIMU BHANA"
We ni nani kati ya hao wawili?
Hawafai hawa wanyama!!!halafu hawana vitambi yaani hapo ndo wanapowameza wanyama wengine!!!!much respect kwa kiba na jembe langu la ukweli platinumz!!
Wote wakali!unamaanisha nini?
Jibu swali wewe!! wote wakali ndio but nani zaidi?Wote wakali!
Jibu swali wewe!! wote wakali ndio but nani zaidi?
Hizi za vijana wa leo ..
akina sie tuwekee nani mkali kina marijan ,King kiki,Orch Marquis ,DDC mlimani park,Mbaraka Mwishehe na wengineo
umenena vyema Muuza Sura...jamaa wote wakali aisee japo tunasikia mitaani hawaelewani sijui kama kuna ukweli kwa hili au habari za mitaa!!!Hawafai hawa wanyama!!!halafu hawana vitambi yaani hapo ndo wanapowameza wanyama wengine!!!!much respect kwa kiba na jembe langu la ukweli platinumz!!
Hawafai hawa wanyama!!!halafu hawana vitambi yaani hapo ndo wanapowameza wanyama wengine!!!!much respect kwa kiba na jembe langu la ukweli platinumz!!