Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 17,370
- 21,062
Msanii na mfanyabiashara maarufu Naseeb Abdul (Diamond Platinum) ingawa ni role model wa mabishoo wengi hapa mjini lakini tukisema tutaje watu wanaojua kutupia/ kunyonga/ kuvaa vizuri diamond hata 1000 bora hayupo
Kwa kutupia diamond kaachwa mbali sana na Jux
Pia hata swagger diamond hana ,hamfikii jux hata theluthi
Mbali na kutupia ,pia hata starehe Diamond bado yupo nyuma sana .
Diamond anachokiweza yeye ambacho hata mimi binafsi namsifia ni suala la biashara na kujitangaza kimataifa tu basi
Diamond ni mtu anayejua sana kuitumia fursa ipasavyo ,huwa hafanyi makosa kwenye sekta hiyo .
Kwa kutupia diamond kaachwa mbali sana na Jux
Pia hata swagger diamond hana ,hamfikii jux hata theluthi
Mbali na kutupia ,pia hata starehe Diamond bado yupo nyuma sana .
Diamond anachokiweza yeye ambacho hata mimi binafsi namsifia ni suala la biashara na kujitangaza kimataifa tu basi
Diamond ni mtu anayejua sana kuitumia fursa ipasavyo ,huwa hafanyi makosa kwenye sekta hiyo .