sina ufahamu mzuri sana lkn ni kama nina haya mawili niyajuayo;King anabebwa na fans na ndo mtu aliekuwa ananufaika zaidi na ule upinzani na Simba kabla ya Tembo kuja kuchukua nafasi yake
1. diamond na kina harmonize (enzi hizo) na kundi lake ndiyo waliokuwa wanaongoza kumpiga vijembe kiba kila anapotoa kazi...2016, 2017, 2018 n.k. sijawahi kumsikia kiba akiongea chochote kibaya au kutoa vijembe vya kiswahiliswahili kuhusu kazi za diamond na watu wake.
2. ukiangalia nyimbo nyingi za kiba, zile za zamani na hata za sasa, zina wastani wa watazamaji 4M-7M.......maisha yake yamekuwa hivyo ya kimuziki. alibebwa lini na kivipi na hiyo chuki aliyonayo diamond & co. dhidi yake?!!!