Diamond na Harmonize wampe somo AliKiba

Diamond na Harmonize wampe somo AliKiba

King anabebwa na fans na ndo mtu aliekuwa ananufaika zaidi na ule upinzani na Simba kabla ya Tembo kuja kuchukua nafasi yake
sina ufahamu mzuri sana lkn ni kama nina haya mawili niyajuayo;

1. diamond na kina harmonize (enzi hizo) na kundi lake ndiyo waliokuwa wanaongoza kumpiga vijembe kiba kila anapotoa kazi...2016, 2017, 2018 n.k. sijawahi kumsikia kiba akiongea chochote kibaya au kutoa vijembe vya kiswahiliswahili kuhusu kazi za diamond na watu wake.

2. ukiangalia nyimbo nyingi za kiba, zile za zamani na hata za sasa, zina wastani wa watazamaji 4M-7M.......maisha yake yamekuwa hivyo ya kimuziki. alibebwa lini na kivipi na hiyo chuki aliyonayo diamond & co. dhidi yake?!!!
 
Seven mosha mpk leo kwenye pinned post yake twitter kaweka siku kiba alivyo lamba dili la sony music lakin huyu manager wa sasa pinned post kaweka biashara yake ya nguo za mtumba.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Huu ni ukweli unaomiza tumeshamuona Diamond akipiga hatua kumi mbele ya Alikiba akaja akamtoa kijana Harmonize ambaye nae amepiga hatua tano mbele kwa Alikiba.

Hapa nazungumzia hatua za kimuziki, shows, mauzo ya nyimbo kwenye platform mbalimbali tukiende kwa Diamond yeye ameenda mbele zaidi kwakua mfanyabiashara anayemiliki online media, radio station, television na pia kampuni ya utengenezaji video Zoom extra.

Kwenye masuala ya kuwa balozi kwenye makampuni makubwa Diamond yupo mbele zaidi akifuatiwa na Harmonize ambaye yeye ni balozi wa makampuni ya Sayona drinks na leo ametangazwa kuwa balozi wa CRDB bank .

Ushauri wangu kwa Alikiba inabidi ajifunze kwa hawa vijana wenzake tena ikibidi akaombe darasa apigwe msasa yeye na mameneja wake.
Mfalme juha anawazidi hao wote ila siyo mtu wa show off

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu ni ukweli unaomiza tumeshamuona Diamond akipiga hatua kumi mbele ya Alikiba akaja akamtoa kijana Harmonize ambaye nae amepiga hatua tano mbele kwa Alikiba.

Hapa nazungumzia hatua za kimuziki, shows, mauzo ya nyimbo kwenye platform mbalimbali tukiende kwa Diamond yeye ameenda mbele zaidi kwakua mfanyabiashara anayemiliki online media, radio station, television na pia kampuni ya utengenezaji video Zoom extra.

Kwenye masuala ya kuwa balozi kwenye makampuni makubwa Diamond yupo mbele zaidi akifuatiwa na Harmonize ambaye yeye ni balozi wa makampuni ya Sayona drinks na leo ametangazwa kuwa balozi wa CRDB bank .

Ushauri wangu kwa Alikiba inabidi ajifunze kwa hawa vijana wenzake tena ikibidi akaombe darasa apigwe msasa yeye na mameneja wake.
Na wewe pia utafute mwalimu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiba msimu uliopita alikuwa mdhamini wa Coastal union timu ya VPL sasa kama anaweza kudhamini timu kongwe kama Coastal union anawezaje kuwa balozi wa kampuni nyingine...kuweni na adabu kwa King
 
An
FB_IMG_1587066233286.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtoa mada hujui mziki Mondi na Harmonize wanaimba taste za kinaijeria ambazo wanaijeria walizipigania na zimefanikiwa ndiyo maana unahisi Mond na Harmonize wamefanikiwa ndiyo wamefanikiwa kwa kuimba taste za watu wengine Alikiba anakomaaa na bongo fleva na uwezo wa Alikiba ndiyo uwezo wa bongo fleva.

Honestly bongo fleva haijapga hatua saaaan ndiyo maani Alikiba hajapiga hatua

Kuhusu matangazo Alikiba alisema matangazo yanakuj tatizo Bei

Sent using Jamii Forums mobile app
Na yeye siku hizi anaimba yale yale ya kinaijeria amepoteza direction

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom