Dr Matola PhD
Platinum Member
- Oct 18, 2010
- 61,558
- 109,097
uwezo wake ndo ulipofikia mkuu, wabongo tunapenda sana ku blame kutokana na views zetu zisizo na vichwa wala miguu
Okey ngoja nikuambie kitu.muziki ni sanaa inayoitaji ubunifu,msanii anaweza kucheza na beat au mashahiri au akacheza na vyote kwa pamoja,inatagemea yeye na waongozaji wake wanataka nini.so kwa case ya daimond amecheza sana na beat.kama mfuatiliaj wa nyimbo za dancin hall za akina shaggy au bean man na wengine utaliona ilo.sometimes mashairi hayaeleweki bt beat linaonhea na nyimbo ina heat.so ni sanaa tu dadangu
Audio 13% video 90%
wewe hujui muziki wala hujui unachokiongea, sikiliza nyimbo ya fally ipupa na j Martins mimi sielewi hata wanachoimba lakini ngoma ikipigwa club lazima niselebuke vya kutosha, u know why? wao wanajuwa nini mashabiki wanataka cha kwanza ni beat.
diamond kwa miaka yote beat zake ndio zimekuwa zikimbeba tungetaka waimbaji bora yeye hata kwenye top 3 three hayumo. take it or leave it.
jumla 103% siyo?
nashindwa kuelewa mtu anaposema natoa wimbo kwa ajili ya soko la kimataifa....ngoma ikiwa kali hata ukiimba kiyao au kichaga itasikilizwa na kila mtu!huu ni uoga!hii kasumba ndo inayompoteza AY katika ramani ya mziki na anajikuta anatumia pesa nyingi kuandaa mziki wake kuliko anachokipata!diamond asipoangalia hali hii itamkuta!ile ngoma yake mdogo mdogo ni jiwe tosha haikumpasa kutoa na hii!.......nachokiona sasa kwa diamond ni wapishi wengi ambao wanaelekea kuharibu mchuzi!babu tale hawezi kumpelekea diamond kimataifa kwani soko la kimataifa halihiitaji fitna kama soko la nyumbani ambalo babu tale na said fella wamelishika!.....kama inshu ni kuzidi kuliteka soko la kimataifa namshauri apate ushauri toka kwa AY ambaye alijaribu ingawa hakufanikiwa ila njia anazijua ambazo kwa mziki wa diamond atatoboa!......mbinu watumiayo kina babu talle ni SPEND!SPEND!SPEND!...hii inapoelekea itamcost diamond!.........kwa maono yangu baada ya kusikia na kuona hizi ngoma zake mbili naona diamond amefika kikomo!ushauri wangu!kwakuwa amewahi kutoa hits nyingi huu ni muda wa kujifunza kuimba live asijisahau sana stejini kucheza tu kwani kinachomuokoa katika shows zake nyingi ni kwakuwa nyimbo zake zinapendwa na zinajulikana ila uimbaji live ni sifuri!
Diamond itakuwa mganga wake ana nguvu sana aiseeee
Mkuu huo ni ushauri mzuri,niliona show yake moja sikutaka tena niangalie show yake yoyote.Kwa sasa aache playback ajikite kwenye liveband na ataweza maana jamaa ana bidii sana.
Ukiskia bangi za kuvutia chooni ndo hizi! Na bado.
wewe utakuwa ni mzaramo au mswahili mswahili hivi siyo bure. pale diamond kakosa washauri shooting angefanyia msanga au rufiji kwa bajeti isiyozidi million 10.
waliofanya shooting hii ndio ilipaswa washoot my namba one
nyimbo ingeendana na shooting nadhani hata dovido angetemeshwa tuzo moja huyu dogo angepata.
Hata nyimbo za AfroNiger tunazozipenda huku mtaani kama sekereu etc hata Hiphop ni street customs za USA - ngoma za kimtaani zaidi(battling Hiphop) so msishangae kupiga mchiriku style (ngoma imekaa poa sana)
Acheni wivu wa kijinga haters
naunga mkono kutafuta tune yetu ila hii nyimbo imekaa kizaramozaramo mno, itakuwa maarufu sana kwa waswazi na kwenye vigodoro lakini kwangu hapana.
kampuni aliyoingia nayo mkataba wa shooting imemtendea haki kwa kumchanganyia na wazungu kimtindo kimtindo, kampuni liyofanya shooting inajuwa kufanya biashara na mtu mweusi.
music wa asili wenyewe ni tatu nane, inafrica band, che mundugwao, kharid tongolanga na saida kaloli. wacha kujitowa ufahamu.