Diamond kutoka Tanzania amechaguliwa kwenye tuzo za dafBAMAAWARDS-2017 katika mitandao ya kijamii.

Freelancer Wakala

JF-Expert Member
Feb 6, 2016
1,193
825
f68d0f65e397e73ebd227c2429387ad6.jpg
 
acha nikae kimya!
Tusije tukashinda mitandaoni tunapiga kura mwisho aje atudongoe kama tunashindwa kutafuta cent kama alivyosema kwenye ngoma yake mpya
 
mbona picha ya Harmo rappa hiyo.
ila huyu kwa sasa kanikera kura now simpigiii
namfungia kuto mpugia kura kwa muda usio julikana
 
Back
Top Bottom