Diamond, Davido wabwagwa na Sauti Sol E.M.A

Diamond, Davido wabwagwa na Sauti Sol E.M.A

hahahahahahhaaha nafikiri uamuzi wangu wa kuji suspend kumshabikia diamond ni uamuzi bora kabisa niliowahi kufanya...sasa hivi naona clear picture

Nilikushangaa sana ulivyohamia huko,lakini sikuamini wewe kesho tu utarudi huko
 
Nilikushangaa sana ulivyohamia huko,lakini sikuamini wewe kesho tu utarudi huko
to be honest, song lake la number one , original na remix na zi feel kishenzi, nachukia vitabia vyake haswa vya karibuni na pale anapozidiwa, wanazi wake hawaamini kabisa
 
Hii ni habari njema.. Hongera Sauti Sol.
 
watu waliomzunguka diamond unajua wangapi ni machoko na mabasha hapa mjini? achilia mbali wasagaji

Hata kiba wanaomzunguka unajua ni mabasha wangapi na wasagajiii hapa mjinii
 
Anguko la diamond ndio lishaanza hivo....sijashangazwa wala kushtushwa na hiyo hekaya....
 
Back
Top Bottom