ram
Platinum Member
- Oct 5, 2007
- 9,345
- 8,565
Tehtehteh, mbavu zangu mie, JF idumu jamani, boss alishanitinua asubuhi asubuhi hapa, nimeingia hapa angalau nimecheka
Wapi warumi, mama ubaya yamemkuta huku
Wapi warumi, mama ubaya yamemkuta huku
Bila skendo daimond hauzi.......
Yaani kila baada ya muda lazima waachie ushuzi ili watu wawajadili
Last edited by a moderator: