homboyz
Senior Member
- Oct 19, 2016
- 127
- 139
IT'S A NEW ERA !!!
Kwa mwaka 2016 Darasa amefanya mziki mkubwa sana TZ na kutoa nyimbo Kali, bila kuharibu mwenyewe anakwambia bampa to bampa hajakosea mwaka mzima ye anatoa nyimbo za taifa tu.. KAMA UTANIPENDA, TOO MUCH na MUZIKI ndo zimekuwa hot songs 2016
Performance za kibabe jeshi la mtu mmoja Angalia fiesta, Angalia show za after skull bush ni ukweli usiopingika amekuwa anapata shangwe la nguvu kuliko alikiba ambaye yupo anapiga show TZ sana na tatu kenya, moja alienda kuwasindikiza saut soul S.A
KWA BONGO DARASA AMEPIGA SHOW ZA KIBABE SANA KULIKO ALIKIBA
NI MUDA MUAFAKA KWAKE KUJITANUA KIMATAIFA NA HUKO SASA YEYE WATASHINDANI WA DOMO KUUTANGAZA MUZIKI WA BONGO ABROAD
Kwa mwaka 2016 Darasa amefanya mziki mkubwa sana TZ na kutoa nyimbo Kali, bila kuharibu mwenyewe anakwambia bampa to bampa hajakosea mwaka mzima ye anatoa nyimbo za taifa tu.. KAMA UTANIPENDA, TOO MUCH na MUZIKI ndo zimekuwa hot songs 2016
Performance za kibabe jeshi la mtu mmoja Angalia fiesta, Angalia show za after skull bush ni ukweli usiopingika amekuwa anapata shangwe la nguvu kuliko alikiba ambaye yupo anapiga show TZ sana na tatu kenya, moja alienda kuwasindikiza saut soul S.A
KWA BONGO DARASA AMEPIGA SHOW ZA KIBABE SANA KULIKO ALIKIBA
NI MUDA MUAFAKA KWAKE KUJITANUA KIMATAIFA NA HUKO SASA YEYE WATASHINDANI WA DOMO KUUTANGAZA MUZIKI WA BONGO ABROAD