sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 2,525
- 7,374
Sasa kusema kwamba biashara moja ikisuasua basi usianzishe biashara nyingine mpya umeona ni hoja ya kujadili?Ungesoma na kuelewa nilicho andika wala usinge nijibu huu utoto
Kwamba mimi sitaki kuwa Dai sio mmiliki?
Mnaakili za kitoto kuhamisha mijadala ionekane tunajadili kupinga Dai hana hela wala mafanikio....... hatupo huko
Hoja ilikua kwamba kwanini Dai anaanzisha biashara wakati Ingine zina suasua?
Akajibiwa jinsi nmna biashara zinavyo anzishwa
Sasa nyinyi mnachotaka kusikia ni kimoja tu “kampuni ni ya Dai” .......... that’s childish
Kanye west leo ni billionaire na hana kampuni ya kutengeneza viatu anatumia brand yake tu
Biashara ngapi za bakharesa, Mo, Mengi walianzisha na zikafa? Walisimama kuanzisha nyingine?