The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,320
- 117,611
- Thread starter
- #101
Kuna sehemu kasema alikuwa anaona aibu kuwa baba yake halisi muuza mchele ila alikuwa anampenda mzee Abdul sababu alikuwa myamwezi na ana magari, mwisho wa kumnukuu. Sasa mtu wa namna hiyo unamchukuliaje?
Hii sijaisikia kaisema wapi?Unayo link nikaone?
