Vhagar
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 20,774
- 40,445
Hakika pongezi zote zimfikie rais wa wanyonge JPM
tusisite kuipongeza serikali ya awamu ya tano kwa kuwezesha jambo hilo kutokea. Hongera sana mh. rais!
maana huyu jamaa ni kama maji vile..kwenye mziki..usipo usikia mtaani utausikia harusini au kwenye birthday kla kona..inama twende sawa!
