Diamond akitafutacho ni kipi ?

Diamond akitafutacho ni kipi ?

Love life la mtu sijui linakuhusu nini!! Hormones zake huyo jamaa, akili yake, mwili wake, tamaa zake, we unakuja unasema mbona madame yuko poa tu, usiingilie private life la jamaa, hata akitoka na bibi kizee...

Na ikumbukwe mapenzi ni uamuzi wa mtu...huyu jamaa wanammulika sana wakati nae ni binadamu inabidi aishi anavyotaka ili mradi havunji sheria
 
huyo jamaa ana private life???

do you know private life by any chance??
YEYE NDO ANAJIANIKA HAKUNA ALIFUKUNYUA

Kujua mtu anatoka na flani kwenye tv doesn't mean sio private life lake hilo... Sasa sisi ni nani kumchagulia atoke na nani??
 
Kujua mtu anatoka na flani kwenye tv doesn't mean sio private life lake hilo... Sasa sisi ni nani kumchagulia atoke na nani??

hajamchagulia ila kawachambua mademu zake upo hapo
HAJASEMA ENDELEA KUZINI NA WEMA
KACHAMBUA TU ALIYEMUACHA NA ALIEKO NAE SASA KATIKA MCHAKATO MZIMA WA KUZINI
 
Poa kwa nani, kwako au kwake?

Kama kwake, kwa nini kamuacha?

Kama kwako, kwa nini usimtokee wewe?

kiranga naomba nikuulize swali kama utalijibu sawa usipolijibu sawa
NIAMBIE SIFA ya mwanamke unayempenda,utakaempenda au ulienae
 
kiranga naomba nikuulize swali kama utalijibu sawa usipolijibu sawa
NIAMBIE SIFA ya mwanamke unayempenda,utakaempenda au ulienae

Sifa ya mwanamke nitakayempenda nitaijua nitakapoiona.

Mwanamke niliyenaye sasa anafundisha Chuo Kikuu na anasomea Ph.D ya brain science.

Sifa yake tukikaa tuweze kuongelea mambo tofauti kuanzia uhusiano wa ngoma za kiafrika na therapeutic techniques, mchango wa Cardoso katika kunyanyua uchumi wa Brazil mpaka sehemu tofauti za ubongo na kazi zinazofanya kwa kuangalia publications mpya kabisa za "New England Journal of Medicine" huku akinyonga bila kuua.

This doesn't mean kuku wa kienyeji situmii.
 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    231.5 KB · Views: 289
Back
Top Bottom