Diallo wa Star Tv kutosahulika!

Diallo wa Star Tv kutosahulika!

Eghorohe

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2011
Posts
220
Reaction score
79
Rais Jk leo amesemwambia Magufuli kuwa asimusahau Antony Diallo kwa kuwa star TV imeibeba ccm pasipo mfano! Asimsahau kivipi?
 
Amchague ka mbunge wa kuteuliwa, ampe ka-uwaziri wa habari leo. We wadhani aloyafanya Diallo ni machache?? CCM hoyeee. Naipenda sana ccm kwa kurudisha fadhila. Ndo maana jeshi lapolisi wanawahusudu. Hayoooo makumbukumbu yenu tu. Uteuzi hata kama bado siku 1 atamteua
 
Rais Jk leo amesemwambia Magufuli kuwa asimusahau Antony Diallo kwa kuwa star TV imeibeba ccm pasipo mfano! Asimsahau kivipi?

Mkuu hata Lowassa anatakiwa asimsahau Mengi kumpatia kitalu Mtwara
 
Mlinunua vyombo vya habari mkidhani ccm haitasikika.hata mimi nitaiombea star tv
 
Ndo ccmmm yenu ile ile...au mlidhani wana maaana gani ingine
 
Mkuu hata Lowassa anatakiwa asimsahau Mengi kumpatia kitalu Mtwara

Hahahahah nimecheka sana sana Mkuu naona ulimaanisha kupewa kitalu cha Gesi Ukawa akichukua Nchi....kwa jinsi alivyowabeba Ukawa...Aisee kumbe watu mnafuatilia....
Yetu macho kesho mkuu
 
Startv inastahili heshima na tunzo kubwa sana hongereni sana kwa uadilifu wenu na utiifu wenu
 
Hata mimi nimestushwa sana hiyo kauli eti Diallo asisahaulike tena Jk ameongea hivo kwa msisitizo mkubwa. Nchi ya kulipana fadhila hii.
 
Diallo Mungu akubariki sana,hakika mafisadi kina lowasa waligonga mwamba katika harakati zao za kukununua
 
angempiga mpinzani ngumi tuzo lingekuwa ukuu wa ...
 
Nataka kumkumbusha mgombea asije akamsahau Dialo kwa mchango wake haswa star tv.
 
Back
Top Bottom