Halafu iwe fundisho kwa wengine
Lakini pia na darari anamkataba na bank na amekata reseni kwa ajili ya kazi iyo na analipa kodi na iku.bukwe kila bei anayouza ni lazma banki ikubaliane nayo na ispoafiki bas darali uambiwa afunge mnada .Apo imekaaje Mshana.Bank ana mikataba na anajivua kesi na kumkabidhi dalali ni sawa na mganga wa kienyeji kumuelekeza cha kufanya mteja wake mwisho wa siku jema ama baya humtokea mteja mwenyewe
Hili neno mkuuHiyo ni moja tu zipo lukuki Kumbuka wale waliofukuzwa kazi bila sababu za msingi na wale waliowekwa ndani kwa ajili ya kiki na maslahi binafsi ya kisiasa
Huwa wanatenda kwa dhuluma kwa ajili ya kupata faida ya ziada.. Tatizo huanzia hapoLakini pia na darari anamkataba na bank na amekata reseni kwa ajili ya kazi iyo na analipa kodi na iku.bukwe kila bei anayouza ni lazma banki ikubaliane nayo na ispoafiki bas darali uambiwa afunge mnada .Apo imekaaje Mshana.
Dah nikajua ni nyumba moja mabibo kila mnunuzi anayefika bei na kutoa 25% harudiDah ,,kuna nyumba iliuzwa jiran yangu tangu alipoinunua yule baba hajarud tena huu n mwaka wa 3 na wapangaji waliambiwa wahame ndani ya 7days ....baba mwenyew nyumba alitoroka mana alichukua hat bila mke kujua na mke wakat nyumba inapigwa mnada yeye alikuwa kazin hajui kitu,,, mpka leo mnunuz hajatokea na kimyaaaaaa tuseme kasahau kama kuna nyumba 2 in one kiwanja cha heka ndani kwa mil 250 tu tena ubungo external
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Andika maneno mabaya kumhusu kisha kanuizie chooni na kuyatupa huko[emoji35] [emoji35] [emoji35]