Dharau mbaya

Kijana Jr

JF-Expert Member
Joined
May 12, 2016
Posts
562
Reaction score
850
Baadae ya kuniandama kwa kuandika bila matumizi ya alama za lugha
Ikiwa tupo wengi mnoo
Naomba niruhusiwe kuweka kavideo tafadhar
 
hongera sana mwanachuo ila jifunze matumizi ya "h" haistahili kuwepo kwenye baadhi ya maneno.
 
Mwanzo mwisho, hamna nukta wala mkato
 
Are you crazy?
Wtf is this?
You are puerile..
 
Dah! Masikini elimu ya Tanzania ndiyo bai bai!!
Tuna hali tete kiongozi wee acha tu, na hata kwa ndumba hatutoki. Sijui tunaelekea wapi kama taifa. Aibu tupu na hakuna anayejali hata kidogo. Halafu huyo dogo ambaye hata kiswahili kinamshinda utakuta hata kilugha cha kwao hajui. Mungu pekee aingilie kati hili janga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…