JamiiTalks
JF Advocacy Team
- Aug 7, 2018
- 625
- 938
Utawala bora ni matumizi ya mamlaka ambayo yanakuwa na uwazi, uwajibikaji, ushirikishaji wa watu, ufanisi, tija, uadilifu usawa na unafuata utawala wa sheria.
Ili kutekeleza dhana ya utawala bora mambo yafuatayo lazima yazingatiwe: •Matumizi sahihi ya dola,
•Matumizi mazuri ya rasilimali kwa faida ya wananchi,
•Matumizi mazuri ya madaraka yao,
•Kujua na kutambua madaraka waliyonayo na matumizi yake,
•Madaraka yanatumika kulingana na mipaka iliyowekwa na katiba na sheria.