Omeprazole capsules
New Member
- Feb 13, 2025
- 4
- 11
Habari za asubuhi, natumai ni wazima wa afya ndugu zangu
Naomba kupata Elimu kidogo juu ya dhana kwamba Jamii ya kimasia hutumia MKUKI kama ishara ya kuhalalisha zinaa au kuweza kuchepuka na mke wa rafiki au mtu mwingine pale wanapoweka MKUKI mlangoni,
Je hii Mila Bado upo ?
Au ilishapitwa na wakati , maana Nina jirani yangu hapa amehamia ni mmasai ana mke mzuri kweli kama Bado ipo niweze kufanya mambo maana MKUKI tayari nimenunua .
Ahsanteni !
Naomba kupata Elimu kidogo juu ya dhana kwamba Jamii ya kimasia hutumia MKUKI kama ishara ya kuhalalisha zinaa au kuweza kuchepuka na mke wa rafiki au mtu mwingine pale wanapoweka MKUKI mlangoni,
Je hii Mila Bado upo ?
Au ilishapitwa na wakati , maana Nina jirani yangu hapa amehamia ni mmasai ana mke mzuri kweli kama Bado ipo niweze kufanya mambo maana MKUKI tayari nimenunua .
Ahsanteni !