jacquejaytee
Member
- Jan 20, 2014
- 44
- 24
Wakuu habari ya leo,
Kuna dhana kuwa gari za kubebea mizigo kama kirikuu na zile mini canter hazitakiwi ziwe automatic,ni lazima ziwe manual.
Hii ikoje kitaalam na je ni kweli magari ya automatic hayawezi biashara ya kubeba mizigo?
Kuna dhana kuwa gari za kubebea mizigo kama kirikuu na zile mini canter hazitakiwi ziwe automatic,ni lazima ziwe manual.
Hii ikoje kitaalam na je ni kweli magari ya automatic hayawezi biashara ya kubeba mizigo?