Musundi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 1,583
- 2,600
Mungu aturehemu na madhambi yetu. Lakini wenzetu wanasiasa dhambi zitakazowachoma ni 2 hasa: UONGO na USHIRIKINA.
Unamkuta mwanasiasa anasema uongo mkubwa kabisa hadharani, kana kwamba anaowaambia uongo huo ni watoto wadogo. Alitoa ahadi huko nyuma, leo anakuja kuongea kinyume kabisa na alichosema jana/juzi.
Nawachukia sana wanasiasa wa aina hii maana wanatudharau wapigakura wao!!!!
Unamkuta mwanasiasa anasema uongo mkubwa kabisa hadharani, kana kwamba anaowaambia uongo huo ni watoto wadogo. Alitoa ahadi huko nyuma, leo anakuja kuongea kinyume kabisa na alichosema jana/juzi.
Nawachukia sana wanasiasa wa aina hii maana wanatudharau wapigakura wao!!!!