Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 54,230
- 43,388
Ktk magazeti hapa Tz ukichelewa kuamka mpaka saa nne haukuti kopi hata moja kwa wauza magazeti ni DAIMA 2weni wakweli haswa kesho.Ayo mengine hayauziki.
Labda Kilimanjaro na Arusha. Lakini maeneo mengine yanauzwa kwa kilo kesho yake.