DHAHABU na Mafuta ya Mawese yanatafutwa

Steven Sambali

JF-Expert Member
Jul 31, 2008
352
170
Wana JF,

Kuna kampuni hapa Poland wameomba niwaulizie upatikanaji wa bidhaa hizi, yaani Dhahabu na Mafuta ya mawese.

Sijui kama mpango utafanikiwa ila kama kutatokea maelewano basi kuna biashara kubwa inaweza kufanyika kati yao na Muuzaji huko Tanzania.

Jamaa wanataka mtu au kampuni itakayoweza ku-suply 100kg ya dhahabu kwa mwezi na tani 12 za mafuta ya mawese kwa mwezi.

Kama unamfahamu mtu au wewe mwenyewe ni mfanya biashara hiyo basi wasiliana nami kwa maelezo zaidi kwa kuni-PM hapa JF au kwa kutumia email yangu ya SSAMBALI@HOTMAIL.COM.
Simu yangu ni +48-503535735.


ANGALIZO: Jamaa watafanya biashara na mtu mwenye kampuni tu na kila kitu lazima kiwe kihalali. Wanafahamu sana jinsi watu wanavyolizwa hapo Tanzania kufanya biashara na watu wenye kampuni za mfukoni. Makubaliano yakifanyika basi pesa zote zitapitia BANK tu.
 
Mpaka sasa hivi ni dada mmoja tu kaniandikia ingawa na yeye kaingia mitini.

Bado narudia ombi langu hapo juu. Unaweza kuwa si wewe ila unamfahamu mtu anayeweza kuchangamkia hii biashara. Mawese nafahamu Kigoma yapo mengi ila sijawahi kufuatilia uuzwaji na utengenezaji wake.

Naendelea kusubiri email zenu.
 
images


Nilikutana na comment ya mtu moja mtandaoni na ambaye alikuwa na haya ya kusema kuhusu Palm Oil Industry in Tanzania:

Graham says: June 29, 2011 at 9:25 pm
Tanzania imported cooking oil from Indonesia in the past and perhaps that is still happening. I'm very much in favour of the country producing its own cooking oil and fuel. There is much underused land in Tanzania because most farmers are too poor to use machinery which could greatly increase their productivity.
In the slow transition to modernisation it will be agriculture which will raise incomes for the huge proportion of the population which suffers from poverty. Has any study found what energy cost is involved in biofuel production in the African tropical zone? I think we would be pleased if the production of fuel there created less pollution than more industrialised methods which are common in the temperate zones of the world.
Food security for poor people will be enhanced if they are involved in palm oil production for cash. The status quo for poor farmers is not a healthy option so I hope that palm oil production will result in great benefits for the majority of Tanzanians. Careful planning will be needed.

Mkuu Saambali, tafadhali tembelea hii link hapa unaweza kupata ufunuo zaidi: Tanzania | Oil palm in Africa
 
Mi naona katika hili suala mawese yanakuja tu by the way, nachokiona hawa wapoland wanataka dhahabu tu mawese ni ya kuzugia.Kama vipi si uwaunganishe na Barrick
 
Mpaka sasa hivi ni dada mmoja tu kaniandikia ingawa na yeye kaingia mitini.

Bado narudia ombi langu hapo juu. Unaweza kuwa si wewe ila unamfahamu mtu anayeweza kuchangamkia hii biashara. Mawese nafahamu Kigoma yapo mengi ila sijawahi kufuatilia uuzwaji na utengenezaji wake.

Naendelea kusubiri email zenu.
Dhahabu 100 kg kwa mwezi wape email yangu na tuingie ubia wachimbe wenyewe.
K
uhusu mawese, hizo tani ni nyingi sana kwa mwezi, uzalishaji wetu si mkubwa hivyo.
 
Mkuu BAK,

Si kuwa wanataka kwa ajili ya kula ila wanataka kama BI-DIESEL.

Kuna hii kampuni Giant ya mafuta hapa Poland na hadi nje ya mikapa inaitwa PKN ORLEN (PKN Orlen - Wikipedia, the free encyclopedia) ambao kipato chao (faida) kwa mwaka wanacheza na kitu kama US $ 1 Bilion.

Hawa jamaa si wazalishaji tu wa mafuta ila katika kutimiza masharti ya Umoja wa nchi za Ulaya, basi kila mafuta yanayouzwa, lazima yawe na Bio-Diesel kiasi fulani, kama sikosei kwenye 5% au zaidi. Sasa katika kujiandaa na masharti hayo, wanafanya utafiti wa mafuta mengi ya Bio-Disel.

Waliomba mafuta ya NAZI ila jamaa ambaye ndiyo anaongea nao moja kwa moja ambaye ni kutoka Msumbiji, kavutia kwao Msumbiji. Ila kwa sababu ni jamaa yangu karibu, nimefanya kulazimisha na mie awatafutie soko jamaa zangu kwa mafuta mawese. Ni kiwanda kikubwa sana na huwa wanaagiza mafuta machafu na kuanza kuyasafisha wenyewe kwenye mitambo yao. Hivyo basi technical know how wanayo na hapo huweza kwa urahisi sana kuchanganya na Bio-Diesel ili kupunguza hewa chafu duniani.

Tutaangalia bei na matatizo mengine yatakayozuka kama itawezekana kufanya biashara au lahh.

Kwa kuongezea tu: Mafuta ya JETROPHER haya nayo wanatafuta. Nafikiri wanatafuta ya aina tofauti na kuyafanyia utafiti kwenye magari
Kila la heri Mkuu..Sikujua kama Wapoland nao wanayahusudu mawese....Miaka michache mawese yanaweza kuwa bidhaa inayotafutwa na wengi duniani.
 
Mkuu Bornagain,

Umepishana na ukweli kidogo kwenye maelezo yako. Kama nilivyoandika kwa BAK, mafuta ya Mawese, Jetropher na labda yatatafuta na mengine ni kwa ajili ya kiwanda cha kusafisha na kuuza mafuta kikubwa cha Poland kiitwacho PKN ORLEN (kilicho mji wa Plock). Hawa wanataka mafuta kwa ajili ya kuongezea kwenye Diesel na Petrol kama Bio-Diesel. Ni masharti ambayo yapo Poland kuwa mafuta yote wanachanganye na mafuta ya Bio-Diesel kwa asilimia kadhaa.

Dhahabu ni Kichaa fulani tu mwenye hela zake ndiyo anatafuta. Mafuta ni Kampuni ya Serikali inatafuta na Dhahabu ni MTU BINAFSI anatafuta.

Kuwasiliana na Barick, mhhhh.... Watakuambia uzifuate kwao CANADA. Pia lengo hapa zaidi ni kuwafaidisha Wazawa.
Mi naona katika hili suala mawese yanakuja tu by the way, nachokiona hawa wapoland wanataka dhahabu tu mawese ni ya kuzugia.Kama vipi si uwaunganishe na Barrick
 
Mkuu Winama,

Kuchimba hata mie niliwaambia ila wakasema hawana muda huo. Pia inabidi waanze kusomea na watalaamu wengi kuifanya kazi hiyo. Yeye ni mtu ana deal na dhahabu yenyewe na si kuchimba.

Ni sawa na fundi seremala umwambie aende msituni akakate Magogo. Unaweza kukuta hata miti yenyewe ilivyo haifahamu maana yeye kazoea uona Magogo au mbao tayari.

Anyway, kama kutatokea mabadiliko yoyote basi ntakujulisha.
Dhahabu 100 kg kwa mwezi wape email yangu na tuingie ubia wachimbe wenyewe.
K
uhusu mawese, hizo tani ni nyingi sana kwa mwezi, uzalishaji wetu si mkubwa hivyo.
 
Mkuu Godfrey,

Tuwasiliane basi maana naona kimya.

Jamaa wamesema kwa kuanzia inaweza kuwa hata 10kg. Kuna uwezekano wa kuwekeana mkataba kwa kusply tuseme kwa mwaka mmoja hadi mwili. Hivyo mwenye nguvu yake achangamkie huu ulaji.
kama dhahabu haitoki tanzania haihitajiwi?
 
Mkuu BAK,

Si kuwa wanataka kwa ajili ya kula ila wanataka kama BI-DIESEL.

Kuna hii kampuni Giant ya mafuta hapa Poland na hadi nje ya mikapa inaitwa PKN ORLEN (PKN Orlen - Wikipedia, the free encyclopedia) ambao kipato chao (faida) kwa mwaka wanacheza na kitu kama US $ 1 Bilion.

Hawa jamaa si wazalishaji tu wa mafuta ila katika kutimiza masharti ya Umoja wa nchi za Ulaya, basi kila mafuta yanayouzwa, lazima yawe na Bio-Diesel kiasi fulani, kama sikosei kwenye 5% au zaidi. Sasa katika kujiandaa na masharti hayo, wanafanya utafiti wa mafuta mengi ya Bio-Disel.

Waliomba mafuta ya NAZI ila jamaa ambaye ndiyo anaongea nao moja kwa moja ambaye ni kutoka Msumbiji, kavutia kwao Msumbiji. Ila kwa sababu ni jamaa yangu karibu, nimefanya kulazimisha na mie awatafutie soko jamaa zangu kwa mafuta mawese. Ni kiwanda kikubwa sana na huwa wanaagiza mafuta machafu na kuanza kuyasafisha wenyewe kwenye mitambo yao. Hivyo basi technical know how wanayo na hapo huweza kwa urahisi sana kuchanganya na Bio-Diesel ili kupunguza hewa chafu duniani.

Tutaangalia bei na matatizo mengine yatakayozuka kama itawezekana kufanya biashara au lahh.

Kwa kuongezea tu: Mafuta ya JETROPHER haya nayo wanatafuta. Nafikiri wanatafuta ya aina tofauti na kuyafanyia utafiti kwenye magari

kwa moyo huu wananchi tutajikomboa wenyewe kutoka kwenye lindi la umasikini,
nimeona wakulima wakubwa wengi humu jukwaani wakianza kufikiria kuanzisha project ambazo pia zitawanufaisha wanakijiji na mimi pia nimekwishauiga huo mfano. Kuhusu swala la bio-fuel, hii ni moja ya plan zangu za baadae lkn mimi nitadeal na jatropha & cassava.. kinachokwamisha kuanza project ni soko lenye faida/future c'se gharama za kulima muhogo wa ugali, kuukausha, kuhifadi, kuusafirisha na kuuza kwa maeneo ya kanda ya ziwa ni hasara tupu compared na nguvu/costs zilizotumika kulimia.

kuhusu swala la kufikisha quantity inayohitajika si tatizo iwapo wanakijiji watashirikishwa na kuuza cassava/jatro sehemu moja.
swali:
-hawa bio fuel industries huwa wananunua products zikiwa ktk hali gani kutoka kwa mkulima? tukishafahamu haya tunaweza kujipanga kufikia mahitaji ya viwango vinavyohitajika [tuanze na cassava]

-bei zinakwenda vipi kwa tani 1 [cassava]?
 
mkuu nimekutumia mail na nmejarb kukupigia namba yako iko busy,,,mi nina uhakika wa kusupply mawese hizo tan tatizo kampun sina nambie nifanyeje
 
Mkuu Narubongo, asante sana kwa majibu na maelezo ya kupeana Moyo Watanzania.

Kuhusu Muhogo (Cassava) nafikiri kuna habari ilishaanzishwa hapa juu ya kuzalisha Rectified Spirit au Ethanol. Hawa jamaa sidhani kama watahitaji kununua Muhogo na waanze kuutengeneza Ethanol ila wanaweza kuwa wananunua Ethanol moja kwa moja kama sikosei. Wanahitaji Almost ready product na sanasana iwe kuisafisha kidogo tu.

Hata mafuta ya mawese au Jetropher ni kuwa lazima wataisafisha zaidi na ndiyo waichanganye na mafuta mengine ya DIESEL au Petrol. Hivyo, sidhani kama itawezekana wao kununua Muhogo na waanze kuubadilisha hadi uwe Ethanol.

Hebu soma hii thread na uwasiliane na huyu jamaa. Ningelikushauri ukiweza basi muunganishe nguvu na jamaa ili walau muanzishe kiwanda kidogo cha kuzalisha Ethanol pamoja maana kama sikosei, Tanzania hakuna.

SOMA HAPA: https://www.jamiiforums.com/business-and-economic-forum/39210-project-funding-sources.html

-hawa bio fuel industries huwa wananunua products zikiwa ktk hali gani kutoka kwa mkulima? tukishafahamu haya tunaweza kujipanga kufikia mahitaji ya viwango vinavyohitajika [tuanze na cassava]

-bei zinakwenda vipi kwa tani 1 [cassava]?
 
Mkuu, samahani sana kwa hilo.

Nimerudi nyumbani usiku sana na nikakaa kwenye Lapotop hadi kama saa kumi usiku hivi. Nilipoenda kulala nikaweza simu kwenye Silence. Nimeona Missed call yako hapa +25571*****135 kama sikosei ndiyo namba yako.

Mkuu kama una kiasi hicho ila huna kampuni, basi itabidi kukuunganisha kwa bwana mdogo wangu hapo Dar ambaye ana kampuni tayari ya kufanya Export na Import. Hana matatizo na kijana mwaminifu. Itabidi kutumia kibali chake kwa kuanzia na mwisho ikibidi basi kampuni yako mwenyewe unaanzisha.

Ni jambo linalowezekana na lisikupe shida kabisa. Tatizo tu ni hawa jamaa hatuwezi kuwaambia "hakuna kampuni" na wanafanya biashara na mtu asiye na kampuni. Ingelikuwa kampuni ya mtu binafsi ni sawa maana waongea na mwenye mali moja kwa moja ila hii ni kampuni ya Serikali.

Ngoja niwasiliane na jamaa kujua ni vitu gani inabidi kwanza uvilete maana kwa uhakika watataka kwanza Sample kama sikosei hazizidi lita tano na wataangalia Chemical contents zake na wakishaziafiki utaanza mchezo wa bei sasa. Mambo yote yakikamilika, basi Mzigo wa kwanza unaanza kutumwa.
mkuu nimekutumia mail na nmejarb kukupigia namba yako iko busy,,,mi nina uhakika wa kusupply mawese hizo tan tatizo kampun sina nambie nifanyeje
 
Mkuu ngoja niwasiliane na wafanyabiashara wa mawese kigoma tuone kama wanaweza kupata hizo tone za wese kwa mwezi,je commision yangu ni % ngapi tukifanikisha hyo dili?
 
Back
Top Bottom