Steven Sambali
JF-Expert Member
- Jul 31, 2008
- 352
- 170
Wana JF,
Kuna kampuni hapa Poland wameomba niwaulizie upatikanaji wa bidhaa hizi, yaani Dhahabu na Mafuta ya mawese.
Sijui kama mpango utafanikiwa ila kama kutatokea maelewano basi kuna biashara kubwa inaweza kufanyika kati yao na Muuzaji huko Tanzania.
Jamaa wanataka mtu au kampuni itakayoweza ku-suply 100kg ya dhahabu kwa mwezi na tani 12 za mafuta ya mawese kwa mwezi.
Kama unamfahamu mtu au wewe mwenyewe ni mfanya biashara hiyo basi wasiliana nami kwa maelezo zaidi kwa kuni-PM hapa JF au kwa kutumia email yangu ya SSAMBALI@HOTMAIL.COM.
Simu yangu ni +48-503535735.
ANGALIZO: Jamaa watafanya biashara na mtu mwenye kampuni tu na kila kitu lazima kiwe kihalali. Wanafahamu sana jinsi watu wanavyolizwa hapo Tanzania kufanya biashara na watu wenye kampuni za mfukoni. Makubaliano yakifanyika basi pesa zote zitapitia BANK tu.
Kuna kampuni hapa Poland wameomba niwaulizie upatikanaji wa bidhaa hizi, yaani Dhahabu na Mafuta ya mawese.
Sijui kama mpango utafanikiwa ila kama kutatokea maelewano basi kuna biashara kubwa inaweza kufanyika kati yao na Muuzaji huko Tanzania.
Jamaa wanataka mtu au kampuni itakayoweza ku-suply 100kg ya dhahabu kwa mwezi na tani 12 za mafuta ya mawese kwa mwezi.
Kama unamfahamu mtu au wewe mwenyewe ni mfanya biashara hiyo basi wasiliana nami kwa maelezo zaidi kwa kuni-PM hapa JF au kwa kutumia email yangu ya SSAMBALI@HOTMAIL.COM.
Simu yangu ni +48-503535735.
ANGALIZO: Jamaa watafanya biashara na mtu mwenye kampuni tu na kila kitu lazima kiwe kihalali. Wanafahamu sana jinsi watu wanavyolizwa hapo Tanzania kufanya biashara na watu wenye kampuni za mfukoni. Makubaliano yakifanyika basi pesa zote zitapitia BANK tu.