Devotha Minja wa ITV Morogoro

Devotha Minja wa ITV Morogoro

Maamuzi kama haya ndiyo yatawafanya wana cdm wamkumbuke Dr slaa walau wakati ule ingeundwa kamati maalum kuchagua wenyewe vigezo.
Lakini sasa mambo yanaenda ndicho sivyo.
 
keshaolewa? ningeingiza kichwa nikakubaliwa, maisha yangu yangeyooka kimtindo!
 
CHADEMA wamesahau kumpa ubunge wa viti maalum mwandishi mwingine wa ITV Morogoro anaitwa Ida Mushi naye ni mchaga mwenzao.

....kama wakati wake ukifika na atastahili/sifa/vigezo vya kupewa basi lazima apewe!
 
ccm ni wazito sana hamshangai yenu? baba na mwana ni viongozi.
 
kuna watu ni wa ajabu sana. kazi kushangaa ya chadema tu yao ni sawa.
 
Mkuu sababu za kupewa ubunge Viti maalumu sijaziona au ndio hizi habari alizoandika ndio zilizompatia ubunge?
Kumbe kuna waandishi wa habari wanaofanya kazi za vyama vya siasa kwenye taaluma zao?

Hata hivyo walau tutajia hata hizo habari mbili tatu labda unaweza kutushawishi kukubaliana na hoja yako.
Kama ambavyo wantunukiwa ukuu wa wilaya na chama chako. Kagua kwanza kwenye nyumba yako kabla hujakagua nyumba ya mwenzako. Tuanze kuwahesabu wakuu wa wilaya waandishi wa habari? Bora utuli sindano iingie tu. Wakuu wa wilaya ni wakuu wa siasa katika Wilaya zao. Au huna habari hii?
 
Anashangaa ya Devota Minja huku akishangilia ya Jecha kufuta uchaguzi mzima kwa madai eti baadhi ya vituo wapiga kura walizidi huku kura za magufuli za Zenji ni halali!!!! . Angalizo siku ukiona mkwere anakabidhi uenyekiti wa chama kwa Magufuli kabla ya 2017 tutashangilia wote, ukiona baba rizawane anadunda mwendo mbele na kiti cha cham jua kwamba badala ya "hapa kazi tu" itakuwa "hapa giza totoro" na mwndosiii kashasema mafufuli hafai kuwa mwenye kikoda taifa wa chiechem eti hajawa kuwa hata kalani wa ccm ngazi ya mtaa basi inatakiwa ushangae na kwahilo siyo kwa Devota.
 
Ccm wamepaniki sana baada ya viti kupungua upande wao, mi nadhani huu ujinga na upumbavu unaoendelea kulalamikiwa na wanaccm kuhusiana na viti maalum chadema utakuwa na maana rndapo tu hao walioteuliwa watakuwa maboga bungeni, lakini kwa sasa ni ujinga kukomaa kwamba kuna ubaguzi kwenye viti maalum pasipo hoja za msingi ..nani alisema viti maalum ni zawadi? Ningehamasika kukubaliana na hoja hizi endapo kama kulikuwa na wanawake waliokuwa viti maalum msimu uliopita wakaonyesha uwezo bungeni lakini msimu huu wakaachwa bila sababu..lakini sio hivyo isipokuwa makelele ya wanaume wenye wivu wa ccm ambao wanataka kutuaminisha kwamba hakukuwa na haki katika uteuzi wa chadema..hivi haki ni pale majina ya akina bulembo, kawawa, sitta, mwinyi yanapojirudia kila mwaka kwenye majina ya wabunge wenu? Iacheni chadema ifanye inavyoamini ni sahihi wananchi watahukumu kwa matokeo ya bungeni
 
Anashangaa ya Devota Minja huku akishangilia ya Jecha kufuta uchaguzi mzima kwa madai eti baadhi ya vituo wapiga kura walizidi huku kura za magufuli za Zenji ni halali!!!! . Angalizo siku ukiona mkwere anakabidhi uenyekiti wa chama kwa Magufuli kabla ya 2017 tutashangilia wote, ukiona baba rizawane anadunda mwendo mbele na kiti cha cham jua kwamba badala ya "hapa kazi tu" itakuwa "hapa giza totoro" na mwndosiii kashasema mafufuli hafai kuwa mwenye kikoda taifa wa chiechem eti hajawa kuwa hata kalani wa ccm ngazi ya mtaa basi inatakiwa ushangae na kwahilo siyo kwa Devota.
 
CHADEMA wamesahau kumpa ubunge wa viti maalum mwandishi mwingine wa ITV Morogoro anaitwa Ida Mushi naye ni mchaga mwenzao.
kwa Morogoro.waliopiga kazi ni IMELDA NA ESTHER TAWETE ndiyo waliostahili sio devota minja katoa rushwa zote.
 
Ah! Nani! Minja! Ni haki yake kabisaa.Jina lenyewe ni la kulekule, ataachwaje?
 
Mi muha alafu naipenda CHADEMA.Asa sijui ukanda unatoka wapi?
 
Mkuu sababu za kupewa ubunge Viti maalumu sijaziona au ndio hizi habari alizoandika ndio zilizoimpatia ubunge?
Kumbe kuna waandishi wa habari wanaofanya kazi za vyama vya siasa kwenye taaluma zao?

Hata hivyo walau tutajia hata hizo habari mbili tatu labda unaweza kutushawishi kukubaliana na hoja yako.
Mkuu kwani we umevaa miwani ya mbao? Devotha MINJA,
 
Kama ambavyo wantunukiwa ukuu wa wilaya na chama chako. Kagua kwanza kwenye nyumba yako kabla hujakagua nyumba ya mwenzako. Tuanze kuwahesabu wakuu wa wilaya waandishi wa habari? Bora utuli sindano iingie tu. Wakuu wa wilaya ni wakuu wa siasa katika Wilaya zao. Au huna habari hii?

Sidhani kama chama changu unakijua,
Lakini nadhani hao unaowataja waliteuliwa na ccm,kwa hiyo tukisema ccm na cdm ni sawasawa utakubali?
Unahalalisha kosa kupitia kosa lingine jaribu kufikiri nje ya box ,

Moro kuna kina mama wapiganaji wazuri kumshinda huyo devota nadhani hata kama chama unakipenda wanapokosea waambie ili warekebishe makosa.
 
juma nkamia alikuwa tbc kagombea ubunge kupitia ccm nani alihoji
 
Back
Top Bottom