Devil’s family(familia ya mashetani) 01

Devil’s family(familia ya mashetani) 01

Indigo28

JF-Expert Member
Joined
Oct 27, 2020
Posts
232
Reaction score
475
Devil’s family(familia ya mashetani) 01

angalizo: kama upo chini ya umri wa miaka 18. Tafadhali usisome hii hadithi.

Kila kilicho andikwa katika hadithi hii ni utunzi hakiendani na kisa chochote kilicho wahi kutokea mahala popote asante
*************************************************************************************

“Wifiiiii”
“Unashtuka nini?”
“Mume wangu akikukuta humu bafuni itakuwaje?”
“Dogo ametoka…..Hawezi kurudi muda huu….Mlango wa chumbani kwako pia nimeufunga kwa ndani..”
Sofia alizungumza huku taratibu akimsogelea Valetina. Taratibu Sofia akavua gauni lake na akabaki kama alivyo zaliwa. Akamshika kiuno Valentina. Taratibu akaanza kunyonya shongo.
“Wifi utanitoa love bite.”
“Tulliaaa”

Sofia alizungumza kwa sauti ya mamlaka huku akiendelea kuinyonya shingo ya Valentina. Akazisogelea lipsi za Valentine na wakaanza kunyonyana denda.
“Siamini kama pisi kali kama wewe ina kuachia una olewa na mdogo wangu”
Sofia alizungumza huku akionyesh akuwa na vivu wa waziwazi.
“Hili tako lote ana kwenda kulimiliki dogo. Maninaaaa aisee”
Sofia alizungumza akizidi kuyatomasa makalio makubwa na malaini ya Valentina.
“Ndio hivyo mdogo wako amenipenda.”
“Una mpenda?”
“Ndio nampenda”
“Zaidi yangu”
Valentina akapata kiguumizi cha kujibu. Sofia akaushusha mkono wake wa kulia hadi katika kitumbua cha Valentina na akaanza kukisugua taratibu, Valentina akaanza kutoa miguno ya kimapenzi.
“Niambie kati yake na yangu nani una mpenda”
“Wewe…..we…e..e.ww….”
“Mimi nani”
“Mume wangu……”
Valetina alijibu akiwa amepagawa na raha anazo pewa na wifi yake ambaye mahusiano yao ya kimapenzi yameanza muda mrefu kabla hata hajawa na mahusiano na mdogo wa Sofia.
“Wif…i….usinimalize nyeg** zote kesho ni harusi yangu…..”
“Nataka kuzitoa zote ili kesho dogo asikukute na chochote”
“Jamania”
Sofia akamshika mkono Valentina, wakatoka bafuni. Sofia akasunya huku akitazama makalio ya Valentina jinsi yanavyo tikisika.
“Nini wifi?”
“Dogo ana kufaidi sana hadi nina muonea wivu”
Valetina akatabasamu, akakaa kitandani huku akiipanua miguu yake na kumfanya Sofia kuzilamba lipsi zake. Taratibu Sofia akapanda kitandani na akaanza kunyonya kitumbua cha Valentine na kumfanya azidi kupagawa kwa raha anazo zipata.
***
Jack akazidi kuongeza kasi ya gari lake aina ya Ford Mustang Boss 429. Akafika mbele ya geti kubwa la kiwanda cha uchinjaji na usindikaji wa nyama anacho ana kiongoza huku kikiwa ni mali ya familia yake, Mlinzi akafungua geti haraha haraka na wala hakusimamisha gari lake zaidi ya kupitiliza ndani, akaliendesha gari lake hadi eneo la kuhifadhia nyama. Akasimamisha gari lake akashushuka.
“Tumempata mkuu”
Msaidizi wa Jack alizungumza akimtazama Jack anaye anza kukunja mikono ya shati alilo vaa. Wakafika katika eneo ambalo mwanaume mmoja aliye pigishwa magoti mikono yake ikiwa imefungwa na pingu huku wanaume sita wenye bunduki wakiwa wamemzingira.
“Boss naomba unisamehee naomba unisamehee”
Mwanaume huyo alizungumza huku akilia mithili ya mtoto mdogo.
“Mzigo wangu upo wapi?”
“Haki ya MUNGU nilivamiwa boss. Walinivamia wakauchukua mzigo wote haki ya MUNGU”
Mwanaume huyo alijipiza, huku akiendelea kulia kwa uchungu sana.
“Kina nani?”
“Sifahamu mkuu”
“Kwa nini baada ya kuvamiwa hukuja kurupoti ukakimbia zaidi ya miezi mitatu tumekuwa tuna kutafuta?”
“Niliogopa boss”
Jack akatoa simu yake mfukoni na akauonyesha mwanaume huyo video jinsi alivyo kuwa akizungumza a watu sita walio funika nyuso zao.
“Ulihisi gari hazina kamera za siri. Unaona ulicho kifanya eheee?”
Jack alizungumza kwa hasira akimtazama mwanaue huyo aliye tokwa na macho ya mshangao.
“Ni kina nani uliye wapa huu mzigo?”
“Mku….uuu….naomba unisamehe”
Jack akatoa ishara ya kupewa anacho kitaka. Mlinzi wake mmoja akampatia panga lililo nolewa vyema hadi kumeremeta.
“Unajue kesho nina funga ndoa. Dhambi zangu zote nimesha zitubu kwa pastor. Sasa wewe unataka kufungua ukurasa wangu mpya wa dhambi si ndio?”
“Na…..sseeemmmma”
“Ongea”
“Ni Chiko Family ndio waliniambia niwauzie mzigo”
Jack ashusha mzigo.
“Una uhakika?”
“Ndio ni Chiko Family”
Jack akajifikiria kwa sekunde kadhaa kisha akaanza kumkata kata na mapanga mwanaume huyo aliye piga kelele kuomba msaada ila hapakuwa na wa kumsaidia. Jack akaendelea kumcharaza mapanga huku damu zikiruka kiasi. Akampasua kichwa mwanaume huyo hadi ubongo ukamwagika chini ndipo Jack akaacha zoezi hilo.
“Usageni mwili wake”
Jack alizungumza huku akitazama maiti ya dereva aliye uza mzigo kwa wapinzani wa familia yao. Moja Kwa moja akelekea bafuni, akavua nguo zake zote, akafungua bomba la mvua na maji yakaanza kumwagika mwili mwake.
“MUNGU naomba unisamehe kwa dhambi hii kwa maana sinaga huruma na msaliti”
Jack alizungum huku akiendelea kuoga. Akamaliza koga na akatoka bafuni akiwa uchi kama alivyo zaliwa. Mlinzi wake akampatia nguo nyingine za kuvaa.
“Mumeusaga?”
“Ndio mkuu”
Jack akaanza kuva anguo moja baada ya nyingine.
“Hawa waseng** wametangaza vita nita washuhulikia”
Jack alizungumza akimalizia kuvaaa nguo zake, akavaa na viatu vipya.
“Tuandae timu ya kwenda kulipa kisasi?”
“Hapana kwa sasa nahitaji kufunga ndoa yangu kwa amani. Sihitaji heka heka”
“Sawa mkuu”
“Nguo zangu zichomwe moto”
“Sawa mkuu”
“Kuja lolote jipya?”
“Hapana boss”
“Narudi home”
“Poa”
Jack akatembea hadi lilipo gari lake, akaingia ndani ya gari, akatazama simu yake aliyo iacha ndani ya gari na hapakuwa na mtu yoyote aliye mpigia. Akawasha gari lake na akaondoka. Akampigia simu kaka yake, ikaita hadi ikakata.
“Huyu mseng** yupo wapi?”
Jack akaingi akatika app ya kufahamu ni wapi ilipo namba ya simu anayo ihitaji. Akaitazama simu ya kaka yake ni wapi ilipo na akatambua. Akabadilisha uelekeo badala ya kuelekea nyumbani kwao akaelekea nyumbani kwa kaka yake.
Akafika nyumbani kwa kaka yake na taratibu geti likafunguka.
“Karibu boss”
“Yupo?”
“Ndio”
Jack akapandisha kioo cha gari lake na kuendesha kwa umbali mita mia hadi ilipo nyumba ya kaka yake. Akashuka ndani ya gari na akaingia sebleni, akakuta nguo za kike ziiwa zimetapakaa. Akapandisha ngazi kuelekea gorofani. Akaingia chumbani kwa kaka yake na akakuta akiwa ana nyonywa jogoo na msichana mmoja huku wengine wawili wakiwa wana mpapasa papasa mwili wake.
“Jack uwe una bisha hodi”
“Nyinyi malaya ondokeni”
“Bro”
“Broo unanikatisha utamu bwana”
“Oya sepeni”
Jack alifokea wanawake hao na wakatoka chumbani hapo wakiwa wana kimbia.
“Hivi utaendelea na haya maisha ya kulala na malaya hadi lini bro”
“Dogo hayo ndio maisha yangu niliyo yachagua.”
“James njia unayo kwenda nayo huto fika nayo mbali”
James kwa kutumia pua zake, akavuta unga aina ya cocaine.
“Ahaa…….ah……Hadi umekuja kwangu kuna ishu”
“Ndio”
James akashuka kitandani akiwa uchi na moja kwa moja akaelekea bafuni kwake.
“Jamaa yangu una tumia hata condom kweli?”
Jack alizungumza akimtazama kaka yake kwani bafu alilo ingia ni bafu la vioo.
“Unakulaje pipi na maganda yake”
“Una waaminije hawa malaya?”
“Bro mimi nina chukua malaya wa viwango. Wote unao waona hapo ni wale malaya grade A. Kabla ya kuja kwangu ni lazima wapimwe”
James akaendelea kuoga.
“Tuachane na hayo. Mzigo ulio uzwa na yule dereva kumbe umechukuliwa na Chiko Family”
“Nini!? Chiko Family?”
“Ndio”
“Walimteka dereva au waliununua?”
“Wamemshawishi dereva na kununua mzigo”
“Kiasi gani amewauzi?”
“Sijui sija muuliza”
“Ulikuwa ni mzigo wa kiasi gani?”
“Lori zima la steki za nyama ni milioni themanini ila dawa za kulevya zilizomo ndani ya lori ni dola milioni sabini”
“Umesamehe?”
“Nani kakuambia nime samehe. Hapa nina taka tukaweke kikao na baba tujue tuna wawajibisha vipi?”
“Dola milioni sabini ni ndefu sana. Hatuwezi kuacha zikaende hivi hivi?”
“Baba akiidhinisha hii oparesheni nita hitaji silaha mpya kiwandani kwako”
“Kesho ni harusi yako”
“Ndio ila sio leo nita endesha hiyo oparesheni. Nita ifanya oparesheni ya kulipa kisasi baada ya harusi”
James akatoka bafuni na akavaa nguo. Akafungua droo ya kitanda chake na akatoa bastola.
“Hiyo bastola ni toleo jipya?”
Jack alizungumza.
“Ndio nimetengeneza toleo jipya ina nguvu kuliko bastola zote ulizo wahi ziona”
“Ipo hii moja tu?”
“Ndio ila nataka kutengeneza nyingine na kuziingiza sokoni. Mzee nimesha muonyesha na ameidhinisha kuundwa kwa nyingine”
“Usinisahau moja”
“Poa. Tuondoke”
James akachukua funguo yake ya gari na wakatoka nje. James akaingi katika gari lake aina la Lamborghini Urus na wakaongozanaa hadi katika kasri la baba yao ambapo wageni wanao toka nchi mbali mbali wamesha fika kushuhudia harusi ya Jack.
“Wageni kumbe wamefika?”
“Toka jana”
“Baba yupo wapi?”
“Yupo kwenye uwanja wa gofu”
Mfanyakazi mmoja aliwahiji, ikawalazimu Jack na James kupanda kigari kidogo vinavyo tumiwa katika viwanja ya mchezo wa golfu. Jumba lao lililo jengwa katika eneo lenye ukubwa wa hekari mia moja na hamsini huku likiwa pembezoni mwa ufukwe wa bahari ya hindi. Ndani ya eneo la Kasri la baba yao kuna kiwanja vya mchezo wa gofu, kiwanja cha helicopter, mbuga ndogo ya wanyama huku kukiwa na kila kitu kinacho hitajika katija majumba ya kifahari. Wakamkuta baba yake akiwa ana cheza gofu na marafiki zake wanne.
“Bwana harusi”
“Shikmoooni”
“Marahaba. Sasa una ingia kwenye utu uzima”
Rafiki mmoja wa baba yao alizungumza.
“James wewe una oa lini?”
“Ngoja dogo kwaza akanipe ujuzi wa ndoa”
Wote wakacheka. Baba yao akawatazama usoni.
“Kuna nini?”
“Tuongee”
Wakasogea pembeni na kuwaacha rafiki wa baba yao wakiendelea kucheza gofu.
“Yule dereva aliye uza mzigo amepatikana”
“Eheehe mzigo ameuza kwa nani?”
“Chiko Family”
“Fuc***.”
“Baba ni lazima tuwalipizie kisasi”
James alizungumza akimtazama baba yake usoni.
“Hapana. Nawapigia simu na kuwaalika harusini.”
James na Jack wote wakashangaa kwani ina kuwaje wapinzani wao wakubwa na maadui zao wa biashara haramu wana alikwa kufika katika harusi ya Jack.
ITAENDELEA
Joto jipya limeanza. Baada ya mzigo wa mamilioni ya pesa kupotea. Jack ametambua Chiko family wapinzani na maadui zao ndio wana husika katika kutoa hasara hiyo na baba yao ana ialika familia hiyo katika harusi je ni kitu gani Jack na familia yake wata ifanya? Ungana nami katika stori hii ya kusisimua sehemu ya 02.
 
DEVIL’S FAMILY (FAMILIA YA MASHETANI) 02

ANGALIZO: KAMA UPO CHINI YA UMRI WA MIAKA 18. TAFADHALI USISOME HII HADITHI.
ILIPOISHIA
“James wewe una oa lini?”
“Ngoja dogo kwaza akanipe ujuzi wa ndoa”
Wote wakacheka. Baba yao akawatazama usoni.
“Kuna nini?”
“Tuongee”
Wakasogea pembeni na kuwaacha rafiki wa baba yao wakiendelea kucheza gofu.
“Yule dereva aliye uza mzigo amepatikana”
“Eheehe mzigo ameuza kwa nani?”
“Chiko Family”
“Fuc***.”
“Baba ni lazima tuwalipizie kisasi”
James alizungumza akimtazama baba yake usoni.
“Hapana. Nawapigia simu na kuwaalika harusini.”
James na Jack wote wakashangaa kwani ina kuwaje wapinzani wao wakubwa na maadui zao wa biashara haramu wana alikwa kufika katika harusi ya Jack.
ENDELEA
“Waje kwenye harusi yangu?”
“Ndio. Ukitaka kumuua nyani muangalie usoni. Kuweni na amani kuanzia hivi sasa hili swala nita lishuhulikia mimi”
“Sawa baba”
Jack alijibu.
“Kuna jengine?”
“Hapana kwa mimi ni hilo”
“Jamese?”
“Sina baba”
“James nakuhitaji leo ulale hapa. Usiku kutakuwa na sherehe ndogo kuelekea siku ya kesho ya habarusi ya mdogo wako. Usiondoke”
“Sawa mzee”
“Usiseme sawa mzee kwa maana huwezi kutulia eneo moja”
“Baba kuwa na amani leo nitakuwa hapa siku nzima”
“Sawa”
Jack na James wakaagana na rafiki wa baba yao na wakaelekea moja kwa moja katika eneo lililo kasri lao la kifahari.
“Ngoja niangalie visichana vidogo vidogo vya kuvitomb***”
James alizungumza akishuka ndani ya gari la Gofu na kumfanya Jack kutingisha kichwa kwa kumsikitikia kaka yake ambaye siku moja ikipita bila ya kulala na mwanamke. Roho yake kwake hajaridhika. Jack akaingia ndani.
“Mwanangu ulikuwa wapi, nina kutafuta”
“Nilitoka mama”
“Wamafundi wa suti wamesha kuja twende ukajaribishe suti zako”
Jack akaongozana na mama yake hadi katika chumba maalumu cha kujaribia mavazi.
“Mambo Jack”
Mwana mitindo aliye mshonea suti Jack alimsalimia akimpungia kiganja. Jack akatingisha kichwa kwani hapendi kuwaona wanaume wenye tabia za kishogo kama alizo mwana mitindo huyo mbunifu ambaye mama yake humpenda sana katika kumbunia nguo zake.
“Nimeshona suti kumi na mbili za kila rangi?”
Mwanamitindo alizungumza kwa sauti ya kulegea.
“Bro una shindwa kujikaza kama mwanaume?”
“Jamani Jack….ndio nilivyo”
“Mama hawa waseng** unawaoga wapi?”
“Jack chunga mdomo wako”
“Ahaaa……Tanzania nzima hakuna mafundi zaidi yake”
“Jack why unanichukia sana?”
“Kwa sababu wewe ni shoga. I hate’s gays”
“Jamani kwani kuwa shoga ni dhambi”
“Hei haiee……sitaki hizo dhambi. Muonyeshe suti zake ajaribishe”
Mama Jack alizungumza na kumfanya mwana mitindo wake kuanza kumpatia Jack suti ya kwanza na akajiribisha.
“Mama Jack wanao ni wazuri”
“Asante mwaya”
Jack akamkata jicho kali mama yake n akaendelea kujaribisha suti nyingine.
“Zote zime kufit sipati picha hiyo kesho mambo yatakuwaje. Yaani uta pendeza Jack”
“Kesho Jack uta vaa hii nyeupe uendane rangi na gauni la mke wako.”
“Sawa”
''
Jack akavaa nguo alizo kuwa amezivaaa kwani wakati wote alio kuwa ana jaribisha nguo hizo alikuwa na boxer tu.
“Mke wangu yupo wapi?”
“Yupo na dada yako wana jaribisha gauni la harusi”
Jack akatoka ndani ya chumba hicho, Akaelekea katika chumba kingine ambacho Valentina ana jaribisha gauni lake la harusi.
“Waoooo”
Jack alizungumza akimtazama mke wake aliye pendeza sana.
“Mdogo wangu umeoa chumaa umeona mtoto alivyo pendeza”
Sophia alizungumza wote wakimtazama Valentina.
“Jicho langu lime search kama google”
“Kwa hapo nakupa big up sio kama kale kademu kako ka mwanzo. Kembamba hakana hata nyama”
“Hahahaa kaliniroga”
“Kwa kweli hivi tako lake moja si lilikuwa lina jaa kwenye kiganja kimoja”
“Hahahaa sister una zingua mbona nilikuwa nashika na liba baki bwana”
“Nakuambia ukweli dogo. Cheki Valentina alivyo pisi, cheki huo mshape”
“Hahahaa”
Wakaendelea kumtazama Vanletina jinsi anavyo shuhulikiwa gauni lake na mafundi watatu wa kike walio saidiana kumshonea gauni hilo la garama kubwa.
“Ila bora umeamua kutuheshimisha mdogo wangu. Mimi ndoa yangu ilisha nishinda”
“Tatizo lako ulimuoa mumeo”
“Nilimuoa?”
“Ndio. Mwanaume hana pesa, wewe ndio umegaramia harusi hadi vaa yake, hiyo ni ndoa au ni kumuoa”
“Mshenzi naye alikuwa ana penda kulelewa”
“Ndio hivyo ilikuwa ni lazima ajilegeze. Cha kushukuru MUNGU kakuzalisha”
“Kwa kweli. Vipi una mpango wa kupata watoto wangapi kwenye ndoa yako?”
“Mmmmm hata nane kumi”

“Khaaa wote hao?”
“Ndio. Sisi tupo watatu. Kaka yetu ndio huyo James, tomb****a yake yote hajawahi kupata hata mtoto wa kusingizia”
“Tena umenikumbusha. Au ndugu yetu hana kizazi?”
“Sio hana. Hapandi watoto”
“Sasa una taka kuniambia malaya wote anao watomb** hakuna aliye wahi mshikia mimba”
“Nakupa siri kuna mmoja alibeba mimba yake. Alimuua yeye na tumbo lake”
“What?”
“Ohooo nakuambia ukweli. Yaani alimuua, nilichelewa tu kupata taarifa ila ningepata taarifa ningempa pesa akaanze maisha mbele kwa mbele”
“James kichwa chake kipo sawa?”
“Sijui, anacho kiwaza yeye ni kutengeneza bunduki mpya kila siku, akimaliza hapo akale bata club ananue malaya avute maunga yake na bangi zake basi maisha ameyamaliza kwa staili hiyo. Ongea naye ata kufa vibaya”
“Kwa kumuangalia James una hisi ana weza kubadilika?”
“Kama amerogwa”
“Hadi huruma kaka yetu. Wakwe zako wamefika uliwaona?”
“Sija onana nao?”
“Wamefika wapo katika makazi ya wageni maalumu”
“Ngoja nikawacheki”
Jack akamfwata Valentina alipo simama.
“Umependeza sana mke wangu”
“Asante mume wangu”
Wakanyanyona denda huku Sophia akitazama kitendo hicho na akajawa na wivu wa mapenzi.
‘Daaa sijui kwa nini nimeruhusu dogo kumuoa Valentina aisee…..Da…..aaa’
Sophia alizungumza kimoyo moyo.
“Naenda kuwaona wakwe”
“Tena walikuwa wana kuulizia, nikawaambia kwamba umetoka. Vipi ulicho kwenda kukishuulikia kimekwenda vizuri?”
“Ndio”
“Sawa mume wangu. Nakupenda”
“Nakupenda pia”
Wakanyonyana tena denga na Jack akatoka ndani ya chumba hicho.
“Mume wako ni mzuri”
Fundi mmoja wa gauni alizungumza akimtazama Valentina.
“Asante”
“Jitahidi kumtunza. Ana wavutia wanawake wa kila na ukiangalia wana uwezo wa kifedha basi jitahidi bibie”
Valentina akabaki akitabasamu tu.
“Karibu sana shemeji”
Mdogo wa Valentina ambaye ni mzuri zaidi ya dada yake alizungumza huku akipeana mkono na Jack.
“Asante upo poa?”
“Nipo poa shemeji za kwako”
“Kama unavyo niona nipo fiti kinoma noma”
Wakacheka kwani wamekuwa ni watu walio zoeana sana.
“Mzee yupo?”
“Amekwenda kucheza gofu. Nipo na kina mama, mama wadogo, mashangazi. Wajomba wamekuja kuchukuliwa na shem James wamekwenda kupoza koo”
“James?”
“Ndio humuamini kaka yako?”
“Ohooo asije akawanywesha wakazimia”
“Ni watu wazima wanao jielewa. Wakinywa hadi kuzimia basi ujue mtu amejitakia mwenyewe”
“Haya. Umependeza huko kichwani”
“Asante shem”
Wakangozana hadi katika seble kubwa ya eneo hilo, akawakuta wakwe zake wakinywa vinywaji kila mmoja akinywa kile anacho kitaka. Shangwe na vigelegele vikatawala seble nzima na kumfanya Jack kutabasamu hukua kiwa na aibu. Ukiachana na ukatili alio nao Jack ila ni mwanume mwenye aibu sana.
Akawasalimia wakwe zake.
“Kaaa hapa mkwe wangu”
Shangazi mkubwa wa Valentina alizungumza na Jack akakaa pembeni yake.
“Jack”
Shangazi aliita kwa sauti iliyo jaa ulevi.
“Naam shangazi”
“Nakupa binti yangu. Unaona jinsi alivyo mzuri”

“Naona shangazi”
“Tafadhali mtunze, azidi kumeremeta”
“Kwa hilo usiwe na shaka shangazi.”
“Kitu kingine Jack”
“Naam”
“Tunataka mjukuu mapema. Hawa watakuonea onea aibu kwa sababu sisi hawa ni wake zetu. Sisi ndio tumeaoa. Unaniona mimi hapa ndio mume wao wote hawa”
Shangazi aliwanyooshea wamama wa Valentina.
“Sawa shangazi”
“Mwanangu. MUNGU kakubariki kila kitu kwenye hii dunia. Hakikisha humuonei huruma Valentina kitandani, mpelekeee moto kisawa sawa”
Vigelegele vikatawala eneo zima.
“Wewe mtoto wa kitajiri bwana. Sijui kama una ambiwa haya mambo ila mimi nakuambia. Mwanamke ni marufuku kumuonea huruma kitandani. Wewe ichapee kama huichapi tena. Ila ukimgusa gusa tu atachukua pesa zako na kwenda kumuonga mwanaume mwengine ili tu amtomb** sijui unanielewa?”
“Nimekuelewa shangazi”
“Ehee musinitolee macho hii ni dunia ya ukweli na uwazi. Vijana wengi wa sasa wake zao wana kuwa na visirani, viburi. Wajeuri wajeuri kwa sababu hawawatomb** vizuri ndio maana una kuta ndoa nyingi zina vunjika au wake zao wana chepuka na hadi walinzi wa majumbani mwao”
“Semaaaaaa tuponeeeeee”
Mwana mama mmoja alizungumza na kusababisha vigeregere kutawala seble nzima.
“Kama una shida kijana wangu. Wewe nifwate shangazi yako, nimetokea Dodoma, dawa za Wagogo zipo tunacho taka ni binti yetu umle vizuri, umjaze mimba hizo ndio task mbili ninazo kupa na ndio za muhimu sawa”
“Sawa shangazi”
“Usinionee aibu mimi ndio mama Mery ukimuona mwengine feki”
“Weweeeeeeeee!”
Jack akabaki na anatabasamu.
“Vipi wawaongeze vinywaji?”
“Mwanangu vipo vya kutosha. Hapa kila tuncho taka ni kuita wafanyakazi watuhudumie”
“Sawa shangazi. Nimefurahi kuwaona na nimefurahi mulivyo kuja kwenye harusi yangu”
“Usijali Jack. Mama mkwe”
“Abee baba”
“Upo vizuri kabisa”
“Ahaa nipo vizuri mwanangu”
Mama Valentina alizungumza huku mkono wake wa kulia akiwa ameshika glasi ya wine.
“Sawa jamani. Naombeni niwaache”
Jack akaaga na akaongozana na mdogo wake Valentina.
“Shem usijisikie vibaya kwa ajili ya shangazi”
“Ahaaa….hakuna kitu kibaya alicho kizungumza pale kila kitu ni ukweli au hupendi nimpelekee moto dada yako”
“Hahahaaaa ana faidi”
“Hahahaa”
“Samahani shem una weza kuwa na muda ukanipeleka mjini. Kuna kitu nataka kwenda kununua?”
Jack akatazama saa yake.
“Sawa. Wapi?”
“Mlimani City”
“Poa tuwahi chap. Kwa maana kuna washikaji zangu kutoka Marekani wana kuja jioni hivyo ina bidi niwasubirie hapa nyumbani. Hakuna wa kuwapokea zaidi yangu”
“Asante shem ngoja nikachukue simu yangu”
Mdogo wa Velentina akaondoka huku Jack akielekea katika eneo lilipo gari lake. Akaingia ndani ya gari na kumsubiria Vaileth kufika. Hazikuisha dakika tano Vaileth akafika eneo hilo, wakaingia ndnai ya gari na kuodoka. Vaileth akamtazama Jack jinsi anavyo endesha gari.
“Shem”
“Naam”
“Naweza kukuomba kitu”
“Niombe”
“Naomba ukanitomb** leo nina kupenda sana Jack please”
Jack akakanyaga breki za gari lake na likasimama gafla hadi Vaileth akanyumba na akamtazama kwa macho makali hadi Vaileth akaanza kuogopa.
ITAENDELEA
Joto jipya limeanza. Mtu pekee unaye weza kumuamini kumuacha na mpenzi wako ni wewe mwenyewe tu, si kaka, dada wala ndugu yoyote. Vaileth ana mtaka kimapenzi shemeji yake Jack je Jack ata kubalian na ombi la Vaileth? Ungana nami katika stori hii ya kusisimua sehemu ya 03.
 
DEVIL’S FAMILY(FAMILIA YA MASHETANI) 03

ANGALIZO: KAMA UPO CHINI YA UMRI WA MIAKA 18. TAFADHALI USISOME HII HADITHI.

ILIPOISHIA
“Sawa. Wapi?”
“Mlimani City”
“Poa tuwahi chap. Kwa maana kuna washikaji zangu kutoka Marekani wana kuja jioni hivyo ina bidi niwasubirie hapa nyumbani. Hakuna wa kuwapokea zaidi yangu”
“Asante shem ngoja nikachukue simu yangu”
Mdogo wa Velentina akaondoka huku Jack akielekea katika eneo lilipo gari lake. Akaingia ndani ya gari na kumsubiria Vaileth kufika. Hazikuisha dakika tano Vaileth akafika eneo hilo, wakaingia ndnai ya gari na kuodoka. Vaileth akamtazama Jack jinsi anavyo endesha gari.
“Shem”
“Naam”
“Naweza kukuomba kitu”
“Niombe”
“Naomba ukanitomb** leo nina kupenda sana Jack please”
Jack akakanyaga breki za gari lake na likasimama gafla hadi Vaileth akanyumba na akamtazama kwa macho makali hadi Vaileth akaanza kuogopa.

ENDELEA
“Umetumwa?”
Jack aliuliza kwa kumkazia macho Vaileth.
“Jack wewe ni mwanaume mzuri. Kwa nini nisikuzawadie utamu wangu”
Vaileth alizungumza huku akimpapasa Jack mapajani mwake. Jack akamushika mkono wa kushoto wa Vaileth.
“Nisikilize wewe. Mimi hizi sio pigo zangu unanielewa? Moyo wangu huwa una nafasi ya kumpenda mwanamke mmoja peke yake na sina nafasi ya kuwa na mwanake mwengine. Sijawahi kukuwaza kwenye akili yangu. Nina kuchukulia kama shemeji yangu. So acha using**”
Jack alizungumza kwa msisitizo huku akiuminya mkono wa Vaileth.
“Unaniumizaaa shemmmm”
Jack akamauachia Vaileth.
“Kama una hitaji kuendelea na safari yako nikuitie UBBER ila kwa sasa sihitaji kuwa na mazoea na wewe tuna elewana?”
Jack alizungumza kwa kufoka.
“Naomba unisamehe shem”
Jack akageuza gari kwa kasi na kuiaza safari ya kurudi nyumbani kwao kwa mwendo wa kasi sana.
“Jack naomba unisamehe ni shetani…Naomba usimuambie dada naomba tafadhali”
Jack hakuzungumza chochote na wakafika nyumbani kwao.
“Shuka na mazoe na mimi mwisho leo. Ukiendelea kuniletea upumbavu nita muambia dada yako unanielewa”
“Nd….io”
Vaileth akashuka ndani ya gari la Jack huku aibu ikiwa imemjaa. Kwa jinsi alivyo kuwa amezoeana na Jack alihisi kwamba ni mwanaume mwenye tamaa kama ilivyo wanaume wengine. Jack akazima gari lake na akashuka. Mlinzi wake akamfwata.
“Boss nimepata taarifa”
“Taarifa gani?”
“Chiko Family leo usiku bandarini wana ingiza mzigo mkubwa wa dawa za kulevya. Vipi nitume timu kwenda kuwavamia na kuwateka”
Jack akasimama akajifikiria kwa sekunde kadhaa kisha akamtazama mlinzi wake huyo ambaye ana muamin kwa asilimia tisini na tisa na ukiachana ni mlinzi wake ila pia ni rafiki yake wa muda mrefu toka walipo kuwa watoto wadogo, alimsaidia rafiki yake huyo kutoka katika maisha ya mtaani alipo kuwa akiishi na kuwa kama mwana familia.
“Sawa”
“Umemuona James?”
“Sijamuona”
“Sawa”
Jack akaelekea chumbani kwake. Haukupita muda mrefu Valentina akaingia.
“Mbona umenyongea hivyo mume wangu. Una tatizo gani?”
Valetina alizungumza akimsogelea Jack kitandani alipo kaa.
“Nimechoka tu. Unajua toka heka heka za harusi zimeanza sijapata muda wa kupumzika.”
Valentina akamkalia Jack mapajani huku wakitazamana.
“Kesho heka heka zote zina kwenda kuisha mume wangu”
“Yaah…..MUNGU asaidie. Twende mapumzikoni kisha turudi”
“Tunakaa siku ngapi?”
“Wiki”
“Kwa nini tusikae hata wiki mbili mume wangu eheee….”
“Nyingi sana. Kumbuka biashara zote za familia kwa sasa mimi ndio msimamizi. Baba na mama wamepumzika wameniachia mimi kila kiti. Hivyo uwepo wangu nje ya biashara kuna ujinga mwingi uta fanyika”
“Si yupo wifi Sophy”
“Tuta angalia kwa kuwa kila kitu nilikitengenezea mazingira ya wiki moja nina weza kuwa nina angalia jinsi mambo yatakavyo kuwa yana kwenda”
“Nasikia shangazi kakuambia mambo ya hovyo?”
“Nani kasema ni mambo ya hovyo. Amezungumza mambo ya ukweli”
“Kuwa?”
“Nikutomb** hadi uombe pooo”
Jack alizungumza kwa sauti nzito ya mahaba kisha taratibu akaanza kuzinyonya lips za Valentina ambaye taratibu na yeye akaanza kutoa ushirikiano.
“Subirini kesho mutafanya kwa muda wenu”
“Mama una ingiaje chumbani kwangu bila kubisha hodi bwana”
Jack alilamama.
“Nimekuja kumchukua bibi harusi”
“Una mpeleka wapi?”
“Kuna kikao cha wanawake. Hakikuhusu”
Valetina akashuka mapajani mwa Jack.
“Muache basi kidogo mama”
“Mutafanyana kesho mukisha funga ndoa. Leo ana kwenda kuandaliwa kwa ajili yako kesho”
“Daaa huya bwana”
“Bye mume wangu”
Valentina akambusu Jack mdomoni.
“Nisubirie hapo nje”
“Sawa mama”
Jack akabaki chumbani na mama yake. Mama Jack akaka pembeni ya Jack. Akaushika mkono wa kulia wa Jack huku akimtazama usoni mwake.
“Vijana wengi wanapo ingia katika ndoa. Basi wengi wao ndoa huwa ni kama njia ya kuwapa maumivu na kuwafelisha kimaisha. Katika maisha yako yote ya ndoa mwanangu, usivumilie usaliti wa aina yoyote. Uwe wa kimapenzi, kibiashara kama ata tumika na wapinzani wetu kutoa siri au kufanya mambo kinyume na wewe. Akifanya usaliti wowote, tafadhali, achana naye sio mwanamke sahihi anaye kufaa. Sijui unanielewa?”
“Ndio mama nina kuelewa”
“Mambo mengine mengine yana zungumzika. Sitaki atumie upendo wako kama fimbo ya kukuchapia. Tuna jua una mpenda sana Valentina ila usiwe mpumbavu kwake kwani watu wote imara wanao onekana ni imara mbele za watu basi huwa na mtu mmoja ambaye ana kuwa ni udhaifu wake hivyo usiruhusu akajua udhaifu wako”
“Sawa mama”
“Familia ina kutegemea. Wewe ndio kichwa cha familia kwa sasa. Mimi na baba yako tumewatengenezea mifereji ya maisha hivyo wewe ndio wa kuiendeleza. Mtoto wa dada yako hapa hawezi kurithi chochote labda mali za mama yake. Ila mali za familia hii mrithi ata toka kiunoni mwako hivyo hilo pia ulitazame, una ingia kwenye ndoa si kushangaa shangaa. Mission ya kwanza ni kutafuta mtoto”
“Nimekuelewa mama”
“Baba yako amenieleza kuhusiana na kilicho fanywa na Chiko family”
“Ndio wapuuzi”
“Amewatumia mualiko ila wamekataa mualiko”
“Wamekataa?”
“Ndio. Acha harusi iishe tuta wafunza adabu”
“Nasikia leo usiku wana ingiza mzigo mkubwa wa dawa za kulevya kupitia bandarini.”
“Nani amekuambia hiyo taarifa?”
“Chris”
“Tukaijadili”
Wakanyanyuka na kutoka nje ya chumba.
“Mkwe wangu nisubirie chumbani nina kuja kukuchukua”
“Sawa mama”
Mama Jack akatoa simu mfukoni mwake na akampigia mume wake.
“Naam”
“Njoo ofisini”
“Sasa hivi?”
“Ndio”
“Sawa”
Baba Jack akakata simu na kuwaaga marafiki zake wanao endelea kunywa na kula nyama choma. Akafika katika ofisi iliyomo ndani ya kasri lake. Akamkuta Jack na mama yake.
“Kuna nini?”
“Chiko family wana ingiza product kupitia bandarini”
Mama Jack alizungumza.
“Intel hiyo kawapa nani?”
“Chris ndio ameniambia”
“Yupo wapi Chris”
“Ana kuja”
Jack alijibu. Hazikupita dakika tano Chris.
“Naomba munisamehe wazee wangu kwa kuwaweka. Nilikuwa nje ya nyumba.”
Chris alizungumza kwa heshima.
“Nasikia Chiko wana ingiza product mpya?”
“Ndio kuna mtu wangu nilipandikiza ndani ya hiyo familia hivyo ana nipatia update zao zote”
“Saa ngapi?”

“Saa mbili usiku”
“Wana jiamini nini kuingiza mzigo muda huo?”
“Hata mimi nijiuliza sana hilo swali mzee”
“Au wana tutega tutafute sababu ya kuwavamila waanzishe vita?”
Jack alizungumza.
“Ina wezekana”
“Chris”
“Ndio mzee”
“Tuna wapelelezi bandari?”
“Wanatumia bandari bubu”
“Sawa. Tuma timu iweze kupeleleza, wasifanye chochote cha kijinga. Tuma vijana wako walio smart.”
“Sawa mzee”
“Wakupatie taarifa ya kila kitakacho kuwa kina fanywa na hao jamaa.”
“Sawa”
“Unaweza kwenda”
Chris akatoka ofisini hapo.
“Nasikia wamekataa mualiko baba?”
“Ndio wamenikatalia”
“Wanajua walicho kifanya. Wametuzunguka”
“Tuta washuhulikia kwa njia yoyote ile”
“Sawa baba”
“Naenda kula nyama choma. Vipi twende tukajumuike”
“Hapana baba nina mambo nataka niyaweke sawa”
“Pumzika. Akili yako sasa hivi ina paswa ku focus katika sherehe yako ya ndoa. Usiipe akili yako mizigo, sawa”
“Sawa baba”
Baba Jack akamsogelea mke wake na akanyonya denda huku akiminya makalio kisha akatoka ndani hapo.
“James sijamuona?”
“Yupo nilitoka naye kwake”
“Ukimuona muambie anione. Nampigia simu zangu hapokei”
“Ni kawaida ya James kuto kupokea simu. Ukiwa na jambo la muhimu ni kumtrake na kujua yupo wapi?”
“Nisaidie kutambua yupo wapi?”
Jack akatoa simu yake mfukoni, akaingia katika app ya kujua ni wapi ilipo namba ya simu ya mtu unaye mtafuta.
“Yupo ufukweni”
“Kamchukue nataka kuongea naye”
“Sasa hivi nahisi atakuwa maelewa mama”
“Kuna muda mabao James ana kuwa hajalewa? Kamelete”
“Sawa mama”
Jack na mama yake wakatoka ofisini hapo. Jack akaelekea katika fukwe ya bahari iliyopo mita mia kutoka lililo kasri lao. Akamkuta James akifanya mapenzi na wasichana wawili kwenye miamba iliyopo pembezoni mwa bahari.
“Dogooo”
James alizungumza huku akiendelea kupiga mechi ya msichana aliye muinamisha.
“Malizieni”
“Hapo umeongeaaa”
James akamchomoa jogoo wake na kumuinamisha kwenye jabali msichana mwengine na akaendelea na mechi.
‘Sina kaka hapa’
Jack alizungumza kimoyo moyo na kuanza kutembea taratibu akitazama fukwe hizo ambazo wana zimiliki. Akafika eneo ambalo boti za famili zina hifadhiwa.
“Boss karibu”
“Asante vipi usalama upo wa kutosha?”
Jack aliwauliza walinzi wanao linda fukwe na boti nne.
“Kila kitu kipo vizuri”
“Ndio mkuu”
“Usalama upo wa kutosha”
“Kuna boti ina kuja usawa wa nyumba kaangalieni”
Sauti ilisikika katika redio call moja ya mlinzi, kutoka katika mkuu wa ulinzi ambaye yupo katika chumba cha kuongozea kamera zilizo fungwa katika eneo zima la makazi ya kasri la famili ya Jack. Ulinzi wa eneo la fukwe ya bahari una endeshwa na drone nne ambazo zina mulika eneo zima hivyo kukiwa na boti yoyote ina jaribu kuingia katika ufukwe huo ni rahisi kuonekana. Walinzi wawili wakapanda pikipiki zinazo tumika ndani ya maji(Jet Ski) na kuondoka kwa mwendo wa kasi kuelekea inapo tokea boti hiyo inayo endeshwa kwa mwendo wa kasi sana.
“Simama”
Walinzi walizungumza ila muendesha boti ya ukubwa wa kawaida hakupunguza mwendo.
“Simama”
Walitoa onyo kwa kupiga risasi pembeni ya boti hiyo ila hakutii amri hiyo huku akizidi kuendesha boti hiyo kulenga usawa wa bonti za kifahari za familia ya Jack. Walinzi wakaanza kushambulia risasi katika chumba cha nahodha wa boti hiyo ndogo. Muendesha boti aliye jeruhiwa kwa risasi, akatoa batani ndogo ya kulipulia mabomu na mabomu yaliyo jaa katika boti hiyo ndogo ikalipuka na kuwasababisha walinzi wanao endesha pikipiki za ndani ya maji nao kulipuliwa kitendo kilicho mstua kila mtu aliye eneo katika kasri la wazazi wa Jack.
ITAENDELEA
Joto jipya limeanza. Shambulizi la kujitoa muhanga kupitia baharini lina smhangaza kil mtu? Ni nani aliye panga shambulizi hilo. Lengo la shambulizi hilo la kujitoa muhanga ni nani? Harusi ya Jack na Valetina ita endelea kufayika? Ungana nami katika stori hii ya kusisimua sehemu ya 04.
 
FAMILIY OF DEVIL’S(FAMILIA YA MASHETANI) 04

ANGALIZO: KAMA UPO CHINI YA UMRI WA MIAKA 18. TAFADHALI USISOME HII HADITHI.

ILIPOISHIA
Sauti ilisikika katika redio call moja ya mlinzi, kutoka katika mkuu wa ulinzi ambaye yupo katika chumba cha kuongozea kamera zilizo fungwa katika eneo zima la makazi ya kasri la famili ya Jack. Ulinzi wa eneo la fukwe ya bahari una endeshwa na drone nne ambazo zina mulika eneo zima hivyo kukiwa na boti yoyote ina jaribu kuingia katika ufukwe huo ni rahisi kuonekana. Walinzi wawili wakapanda pikipiki zinazo tumika ndani ya maji(Jet Ski) na kuondoka kwa mwendo wa kasi kuelekea inapo tokea boti hiyo inayo endeshwa kwa mwendo wa kasi sana.
“Simama”
Walinzi walizungumza ila muendesha boti ya ukubwa wa kawaida hakupunguza mwendo.
“Simama”
Walitoa onyo kwa kupiga risasi pembeni ya boti hiyo ila hakutii amri hiyo huku akizidi kuendesha boti hiyo kulenga usawa wa bonti za kifahari za familia ya Jack. Walinzi wakaanza kushambulia risasi katika chumba cha nahodha wa boti hiyo ndogo. Muendesha boti aliye jeruhiwa kwa risasi, akatoa batani ndogo ya kulipulia mabomu na mabomu yaliyo jaa katika boti hiyo ndogo ikalipuka na kuwasababisha walinzi wanao endesha pikipiki za ndani ya maji nao kulipuliwa kitendo kilicho mstua kila mtu aliye eneo katika kasri la wazazi wa Jack.

ENDELEA
“Vaaeni nguo zenu haraka haraka muondoke eneo hili”
Jamese alizungumza huku naye akichukua nguo zake na kuanza kuvaa nguo haraka haraka huku wasichana hao nao wakivaa nguo zao. James akakimbilia eneo ambalo Jack yupo na walinzi.
“Dogo kumetokea nini?”
“Ina onekana ile boti iliyo lipuka ilikuwa na mabomu”
“Ni fala gani alitaka kujilipua?”
James aliuliza akiwatazama walinzi wanne wanao endesha pikipiki za ndani ya maji wakielekea kuwaokoa wezao walio pata madhara kutokana na milipuko. Baba yao akafika akiwa ameongozana na marafiki zake pamoja na walinzi wengine.
“Kuna nini?”
“Kuna ile boti inayo teketea ilikuwa ina kuja kwa kasi sana. Walinzi walijaribu kuizuia ila ilipo fika maeneo yale ikalipuka”
Jack alimuelezea baba yake. Wageni wengine nao wakafika eneo la ufukweni.
“Ina onekana ni kama jama alitaka kujitoa muhanga.”
“Atakuwa ni nani?”
“Sijui baba”
Walinzi walio jeruhiwa na mliuko wa mabomu wakatolewa ndani ya maji. Hapakuwa na muda wa kupoteza wakaipakizwa ndani ya magari na kupelekwa hospitalini.
“Nataka upelelezi wa haraka ufanyike nijue ni nani alipanga huu mpango”
Baba Jack alimuambia mlinzi mkuu anaye simamia walinzi wote katika kasri.
“Sawa mkuu”
“Iwe hivyo nahitaji majibu ya haraka”
“Sawa mkuu”
“Jamani naombeni tukaendelee na kufurahi. Kila kitu kipo chini ya uangalizi wa walinzi wetu”
Baba Jack alizungumza na wageni waalikwa wanao shangaa shangaa kinacho endelea wakaanza kutawanyika taratibu huku akibaki yeye na wanaye wakiume na walinzi wachache.
“Hii ni video iliyo rekodiwa na drone zetu. Ndani ya chumba cha nahonda kulikuwa na huyu mtu”
Mlinzi mkuu alioyesha video ya mwisho kabla ya boti kuanza kushambuliwa na kulipuka.
“Mumetambua huyo mtu ni nani?”
Jack aliuliza.
“Bado tuna endelea kutafuta taarifa zake katika database mbalimbali.
“Hakikisha ulinzi una ongezwa na uchunguzi nao una fanyika kwa kina kusije kukaingizwa bomu ndani ya makazi yangu”
“Sawa mkuu”
“Funga zipi yako”
Baba Jack alimuambia James, kwa haraka akafunga zipu yake.
“Raisi amedhibitisha kesho ata jumuika kwenye harusi yako. Sasa hili tukio lina weza kusababisha asije”
“Usijali baba ni ishu ndogo na imesha dhibitiwa”
James alizungumza.
“Mfumo wako wa ulinzi ulio sema una weza kuzuia chochote kisiingie katika makazi ya hapa nyumbani kupitia baharini umeishia wapi?”
“Ina bidi niuangalie umepata changamoto gani kwa maana sijaona mifumo ya kujilinda ikifanya kazi yake ipasavyo”
“Iangalie sasa”
“Sawa baba”
James akaondoka eneo la ufukwe.
“Kaongee na mama yako na umuelezee kilicho tokea”
“Yupo wapi?”
“North wing”
“Sawa”
Jack akaondoka ufukweni na kuelekea upande wa kaskazini mwa kasri lao. Akamkuta mama yake akiwa na wamama wengine wakizungumza na Valentina. Mama yake akamfwata alipo simmaa.
“Huo mlipuko ni wa nini?”
Jack akamuelezea kilicho tokea.
“Mumejua ni nani muhusika?”
“Bado mama wana endelea kutafuta”
“Sawa. Utanitumia ujumbe mukisha juu”
“Poa mama. Mbona wamama wengi kuna ishu gani?”
“Ni mambo ya kike hupaswi kuyajua”
“Mmmmm sawa”
Jack akaondoka eneo hilo. Akatoa mfukoni simu yake inayo ita.
“Kaka kaka”
“Niambie ndugu yangu”
“Tumesha shuka uwanja wa ndege tupe ramani”
“Nisubirini nakuja kuwachukua”
“Sawa bro”
Jack akakata simu. Akampigi simu Chris.
“Boss”
“Hujarudi?”
“Bado sijarudi bro”
“Sawa elekea uwanja wa ndege kuna wale rafiki zangu wanne, wachukue na nitakutumia location ya wapi nikutane nao”
“Sawa boss”
Jack akampigia rafiki yake aliye mpigia simu.
“Kaka”
“Chris ana kuja kuwachukua. Kuna mahali tuta kutana kwanza tupige maji kidogo ndio tuje nyumbani. Kwa sasa nyumbani kidogo jau”
“Pamoja sana kaka”
Jack akaelekea chumbani kwake, akaingia bafuni, akaoga haraka haraka kisha akabadilisha nguo, akachukua funguo ya gari lake jengine na akatoka chumbani kwake.
“Una toka”
Sauti ya Sophia ikamfanya Jack kusimama na kugeuka.
“Ndio sister. Rafiki zangu kutoka Marekani wamefika hivyo naenda kuonana nao”
“Umeona kilicho tokea?”
“Ndio”
“Unatoka tena mwenyewe bila ya ulinzi hatujajua nani muhusika wa shambulizi. Kwa nini unataka kutupa heka heka nyingine”
“Kuwa na amani sister. Hakuna wa kunishambulia”
“Sio hakuna wa kukushambulia. Kama watu wameweza kutuma boti yeye mabomu hapa. Una hisi nini kinacho endelea.”
“Chris amekwenda kuwapokea hivyo nitakuwa na Chris”
“Dogo kausha. Waache waje hapa nyumbani. Hapa sasa hivi ndio eneo salama la ninyi kuwepo. Huna anaye jua ni adui yetu yupo amehusika na hili. Tuna elewana?”
Jack akamtazama dada yake.
“Unanielewa?”
“Nimekuelewa sister”
“Usitake demu wako sasa hivi alie ajione mwenye mikosi. Mpigie Chirs awalete hapa home”
“Sawa”
Jack akampigia simu Chris.
“Boss”
“Walete nyumbani”
“Sawa nasikia kuna boti imelipuka baharini?”
“Ndio. Tuna endelea kujua ni kina nani ambao wamehusika”
“Sawa mkuu. Usitoke aisee hadi tujue wahusika ni kina nani”
“Poa poa”
Jack akakata simu.
“Sitoki tena”
“Sawa”
Jack akaachana na Sophia na akaelekea katika katika eneo ambalo James hufanyia kazi zake anapo kuwa nyumbani kwao.
“Mfumo wa ulinzi ulidukuliwa”
James alziungumza akiminya batani za kybord ya computer.
“Umedukuliwa?”
Jack aliuliza kwa mshangao.
“Ndio hapa nina andika code mpya za kuufanya uzidi kuwa salama tofauti na awali walivyo udukua.”
Jack akamtazama kaka yake ambaye ni genius katika maswala la utengenezaji wa software pamoja na uundaji wa silaha pamoja na mifumo ya ulinzi.
“Mfumo wa anga?”
“Mfumo wa ulinzi wa anga upo vizuri hawajaweza kuuchezea ila huu wa ulinzi kupitia baharini dio wali brake baadhi ya code ndio maana ulishindwa kufanya kazi yake ya mashambulizi.”
“Mfumo huu si ndio ule ambao tumewauzia jeshi la maji?”
“Hapana una tofauti wa kwao upo advanced zaidi na ule nimeutengeneza na wataalamu wao hivyo kila mara umekuwa na ufwatiliaji na wana update kila siku. Huu wa nyumbani hapa ni mzuri ila ina bidi niufanyie update kubwa. Tufunge rocket Ranger zenye nguvu kubwa”
“Sawa. Wale mademu nilio kukuta nao ni kina nani?”
“Ni malaya fulani niliwaagizia waletwe, asubuhi sikukukoa hivyo upwiru ulikuwa mwingi kishenzi”
“Daa ina bidi uombewe bro”
“Kwa nini?”
“Si kwa hiyo hali yako. Hukuna sketi inayo kupita”
“Ahaa…..hawa wanawake wamewekwa kwa ajili yetu.”
“Hata kama. Ila umezidi mwanangu”
“Wewe oa uone ugumu wa ndoa”
“Ungekuwa umesha wahi kuoa ningesema kweli unacho kiongea una kijua”
“Nakuambia dogo. Sasa hivi mke wako si una muona kama malaika. Itakuja kufika kipindi mkeo utamuona kama jini”
“Hahahahaaa. Endelea na kazi yako nisikuvuruge”
“Usikimbie mada. Wanawake wana mwanzo, ila mwisho hawana”
“Nikuulize swali?”
“Niulize?”
“Kwa nini umeamua kuishi maisha ya umalaya?”
James akamtazama Jack kwa sekunde kadhaa. Akavua miwani yake na akaiweka mezani.
“Wakati nipo chuo Marekani. Nilikuana na mwanamke wangu wa kwanza kabisa ambaye nilimpenda sana. Hapo mwanzo sikuwahi kuwa na mwanamke, toka nimetoka o level, A level sikuwahi kabisa kuwa na mwanamke.”
“Yule demu nilidumu naye kwenye mahusiano kwa miaka miwili, nikimuamini sana. Ila siku nilipo kuja kumfumania na rafiki yangu wa karibu sana wakifanya mapenzi. Kusema kweli kuanzia hapo niliwachukia wanawake wote pamoja na marafiki. Waliniumiza sana wale wapuuzi nambaya zaidi tulikuwa kwenye kipindi cha mitihani hivyo nilipitia kipindi kigumu sana”
James akatulia kidogo.
“Sikuwahi kumueleza mtu yoyote juu ya hii stori. Kunzia kipindi hicho niliamua kuwatumia wanawake kama starehe kwangu”
“Sasa mwanamke mmoja ana haribu vipi maisha yako”
“Hujawa kutana na maumivu. Huyu Vailetina si una mpenda kupitiliza. Siku atakayo kuja kukuumiza ndio uta elewa ni kwa nini naishi hivi. Wanawake wana zingua sana mdogo wangu. Sasa hivi hata nikikushauri umpende nusu na nusu jipende mwenyewe huto weza nielewa.”
“Nita muua akinisaliti”
“Wewe tu”
“Nakuambia. Nita muua tena nita mchuna ngozi”
James akatabasamu na akavaa miwani yake na akaendelea na kazi yake.
“Itachukua muda gani kukamilisha?”
“Nimebakisha kidogo. Hapa nina mtafuta mdukuzi kujua ametokea wapi?”
“Ina wezekana?”
“Ndio ina wezekana subiri na uone”
Jack akavuta kiti cha kuzunguka na akaka pembeni ya James.
“Kama wameweza kudukua mfumo wa ulinzi ina maana wana weza kudukua hata mfumo wa kamera za ulinzi”
“Mfumo wa kamera una ulinzi ambao endapo mtu ata jaribu kudukua tu basi lazima walinzi wanao usimamia wata jua. Hazikuisha dakika kumi James akafanikiwa kumpata mdukuzi.
“Huyu hapa nimempata mshenzi”
“Yupo wapi mdukuzi”
“Mbagala ndipo location yake halisi inapo onekana. Japo kuna location nne ziona onyesha maeneo tofauti tofauti. Ngoja na mimi nidukue mifumo yake ya computer yake tujue ni nani”
“Sawa”
Jack akaka vizuri akiendelea kumtazama kaka yake anacho kifanya.
“Bingo”
James alizungumza huku wote wakitazama picha za mwanaume ambaye yote hawamjui.
“Huyu ndio mdukuzi?”
“Ndio”
“Ngoja nimpigie baba aje”
“Hapana”
“Kwa nini?”
“Huyu hajui hata kama tumemdukua. Chochote anacho kifanya kwenye computer yake tuna kipata. Cha kufanya tuma watu wakamakamate nataka nimuhoji mimi kwanza kabla ya baba kumuhoji. Nataka kujua amewezaje wezaje kudukua mfumo wangu wa ulinzi”
“Sawa”
Jack akapiga simu.
“Boss”
“Nimetuma location na picha ya mtu munaye paswa kumkamata. Nendeni sasa hivi, hakikisheni muna mkamata akiwa hai”
“Sawa mkuu”
Jack akakata simu.
“Huyu jama ata kuwa na uwezo mkubwa sana wa udukuzi. Unajua hadi mtu ana weza kudukua mfumo nilio uunda mimi basi yupo vizuri sana”
“Ngoja akamatwe tuta jua”
Mlango wa eneo walipo ukafunguliwa na akaingia baba yao. Akatembea hadi walipo.
“Mtu aliye jitoa fanya uvamizi wa kujilipua amefahamika”
“Ni nani?”
“Amejulikana kwa jina la Zito na anatokea katika watu wanao fanya kazi na Chiko Family”
James na Jack wakashangaa.
“Chiko family?”
“Ndio. Jamaa wameamua kuleta vita na familia hii basi na sisi tuna kwenda kuwapelekea vita waliyo ihitaji.”
Jack na James wakamshangaa baba yao kwani linapo kuja swala la familia yake kushambuliwa na maadui zake basi huwa hanaga masihara hata kidogo.
ITAENDELEA
Joto jipya limeanza. Kwa mara nyingine tena Chiko family wameleta choko choko katika familia ya Jack na baba yao ameamua kulipiza kisasi kwa familia ya Chiko je ni nini ambacho kina kwneda kutokea katika uhasama wao huo? Ungana nami katika stori hii ya kusisimua sehemu ya 05.
 
FAMILIY OF DEVIL’S(FAMILIA YA MASHETANI) 05

ANGALIZO: KAMA UPO CHINI YA UMRI WA MIAKA 18. TAFADHALI USISOME HII HADITHI.
ILIPOISHIA
“Sawa mkuu”
Jack akakata simu.
“Huyu jama ata kuwa na uwezo mkubwa sana wa udukuzi. Unajua hadi mtu ana weza kudukua mfumo nilio uunda mimi basi yupo vizuri sana”
“Ngoja akamatwe tuta jua”
Mlango wa eneo walipo ukafunguliwa na akaingia baba yao. Akatembea hadi walipo.
“Mtu aliye jitoa fanya uvamizi wa kujilipua amefahamika”
“Ni nani?”
“Amejulikana kwa jina la Zito na anatokea katika watu wanao fanya kazi na Chiko Family”
James na Jack wakashangaa.
“Chiko family?”
“Ndio. Jamaa wameamua kuleta vita na familia hii basi na sisi tuna kwenda kuwapelekea vita waliyo ihitaji.”
Jack na James wakamshangaa baba yao kwani linapo kuja swala la familia yake kushambuliwa na maadui zake basi huwa hanaga masihara hata kidogo.

ENDELEA
“Na usiku huu nina kwenda kuifuta ile familia nzima”
“Baba kwa nini tusibaki kwenye mpango wa harusi yangu. Kumbuka kuna wageni wengi sana eneo hili kutoka na kwenda kuishambulia familia ya Chiko ni kama tuna jimwagia petroli pembeni ya moto. Wale jamaa wana penda vita na hili walilo lifanya ni kama wana tutafuta sisi turudishe mapigo na endapo tuta rudisha mapigo ni lazima wata fanya mambo ya ajabu tu.”
“Baba anacho kisema dogo ni kweli. Tuachane nao tufanye kama jhatujui ni kitu gani kinacho endelea”
James naye alimshawishi baba yao.
“Baba kama raisi kesho ata kuja ina maana kwamba tukifanya baya lolote kwao itakuwa ni shida kubwa sana kwetu. Hembu tutulie kwanza”
“Nimewaelewa. Leo nita rudisha sime yangu kwenye ala ila wakati mwengine nikiitoa sinto irudisha ni lazima nita shambulia”
“Sawa baba”
“Ehee imekuwaje mfumo wa ulinzi haukuweza kuizuia ile boti?”
“Mfumo ulidukuliwa baba”
“Na nani?”
James akamtazama Jack na Jack akatingisha kichwa akimpa ruhusa kaka yake kumuonyesha baba yake picha ya mdukuaji.
“Huyu jamaa. Hajui kama tumemdukua na yeye. Tumesha tuma watu wa kwenda kumkamata eneo alipo?”
“Wapi?”
“Mbagala. Hatukutaka kukuambia kwanza kwa maana tulihitaji akamatwe ndio kusema”
“Hakikisheni ana letwa hapa?”
“Ataletwa hapa baba na tua mpelekea kwenye nyumba iliyopo kwenye zoo kule”
“Sawa. Ulizieni wamefikia wapi?”
Jack akampigia simu mmoja wa walinzi walio watuma kwenda kumkamata mdukuaji.
“Vipi?”
“Tumefika, tumesha mpata”
“Yupo peke yake?”
“Ndio tumemkuta peke yake”
“Mleteni kwenye nyumba iliyopo kwenye zoo”
“Sawa”
Jack akakata simu.
“Baba nita hitaji nianze kumuhoji kwa maana ni jambo gumu sana kwa mtu kunidukua. Nataka kujua yeye aliwezaje wezaje kunidukua mimi”
“Twendeni tukawasubirie”
Baba yao alizungumza na hapakuwa na aliye bisha, wakatoka, wakaingia ndani ya gari na moja kwa moja wakaelekea hadi katika nyumba iliyopo katikati ya mbuga iliyopo katika eneo lilipo kasiri la baba yao.
“Karibu mzee”
Mtuza mbuga alizungumza akipeana mkono na baba James.
“Asante sana. Wale Simba walio kuwa wana umwa wamepona?”
“Ndio mkuu, wamepona”
“Kila kitu kipo sawa?”
“Ndio kila kitu kipo sawa”
“Mamba?”
“Mambo nao wana zidi kuzaliana”
“Ni siku nyingi sana sijakuja kuwatembelea”
James akawa wa kwanza kuingia ndani akiwa na laptop yake mkononi.
“James muoga sana”
Baba Jack alizungumza.
“Sio muoga ila hapendi wanyama”
“Watu wana lipia mamilioni ya pesa kwenda kuwaona hawa wanyama yeye ana waogopa”
“Hahahaa”
“Tutambee”
Jack akaongozana na baba yake hadi kwenye bwawa kubwa wa kutengeneza ambalo wana fuga mamba.
“Kweli wamezaliana”
“Wapo wengi sana…..”
“Ina bidi tuanze kuwauzia wachina wanao kula”
“Tuna biashara nyingi baba ambazo zina tuingizia mamilioni ya pesa. Tuendelee kuwafuga hawa mamba”
“Sasa kuna wanao kuwana umri mkubwa ina bidi wavunwe wakauzwe”
“Sidhani kama ni biashara ambayo tuna ihitaji kwa sasa baba”
Baba Jack akakohoa kwa nguvu na akajizuia mdomo kwa kitambaa.
“Upo sawa baba?”
Jack alimuuliza baba yake akiwa na wasiwasi. Baba yake akatoa kitambaa na Jack akashtuka kuona makohozi yenye damu damu katika kitambaa cha baba yake.
“Baba ni damu hizi”
“Yaa usishtuke”
“Baba nisi shtuke wakati una tena damu. Una umwa nini?”
Jack aliuliza akiwa amejawa na wasiwasi mwingi sana.
“Baba?
“Relax”
“Siwezi ku relax baba. Una umwa mzee ujue”
Baba Jack akatabasamu. Akamtazama Jack na akamshika begani.
“Usimuambie yoyote”
“Niambie una nini?”
“Naumwa cancer”
“NINI?”
“Yaah. Naumwa saratani ya mapafu, ipo staji ya tatu”
“Ohooo MUNGU wangu. Mbona husemi”
“Sitaki niwashtue. Nisikilize Jack, katika watoto wangu wote watatu wewe ndio jasiri pekee yako unaye weza kuiongoza hii familia. Anaye jua nina umwa saratani ni daktari wangu pamoja na dereva wangu. Ila hakuna mwengine yoyote ambaye ana jua kama nina ugonjwa huu”
“Daaa baba una tukosea sana. Hapa kumbuka ni swala la maisha”
“Ni mwaka wa pili huu nina ishi nayo. Muna niona nina fnaya kazi na kila kitu kina kwenda. Acha nikuambie kitu kimoja Jack. Familia yetu imezungukwa na maadui wengi. Maadui ambao muda wowote wana tamani kuona nguzo ya familia hii ina anguka na wana shambulia pale wawezavyo. Ndio maana siku zote nina simama kuwaonyesha kwamba Tiger nipo hapa na hakuna ambaye ana weza kuichezea familia ya Tiger. Endapo ningeonyesha udhaifu kwenu ni siku nyingi wangesha tusambaratisha. Hata wewe nina kuambia isije ikatokea siku hata moja ukaonyesha udhaifu kwa adui zako. Unanielewa?”
“Ndio baba”
“Majukumu yote ya hii familia nimekuachia wewe. Wewe ndio nguzo kuu ya familia ninayo iacha. Sina muda mrefu sana wa kuishi hapa duniani. Nita kufa fwata misingi yote niliyo kufundisha kuifwata”
“Sawa baba”
Mzee Tiger akmatazama Jack.
“Tumia akili za kaka yako kuchanganua yale ambayo yana hitaji kutumika kwa akili yake”
“Sawa baba”
“Valentina una paswa kuwa naye makini. Usiruhusu adui akamsogelea, akashawishika, akaja kutumika kama Delila alivyo shawishiwa na wafilisti na mwisho wa siku akamsaliti Samsoni kwani udhaifu wako ni mke wako na atakapo kuzalia watoto ndipo udhaifu wako utazidi kuongezeka kwani uta hamia kwa wanao”
“Una muda gani wa kuishi baba?”
Jack aliuliza kwa sauti ya upole.
“Mwaka na miezi nane”
“MUNGU bariki nitakuwa nimepata mtoto”
“Pata isee. Dada yenu amewaletea mtoto ambaye hawezi kurithi jina la ukoo huu wa Tiger na si jina wala mali za ukoo huu. Nimerithi hizi biashara kutoka kwa baba yangu na nimekurithisha wewe. Hivyo pambana upate mtoto haijalishi wa kike au wa kiume. Ila mkuze kwenye misingi na taratibu kama nilizo kukuza wewe”
“Sawa baba”
“Tafadhali hili la kuumwa hakikisha hajui yoyote. Nitakapo fika stage ya nne ndipo nitakapo ilezea familia nzima”
“Mama hajawahi kuhisi kuumwa kwako?”
“Hajawahi. Ukiona nina kohoa hivi ujue nimetumia sana pombe na sigara kwa kiwango kikubwa”
“Kuna haja gani ya kutumia hivi vinywaji baba. Kama ina wezekana achana navyo. Kisha tutafute madatri bingwa duniani huko hatuto kosa”
Mzee Tiger akampiga piga Jack begani mwake.
“Kuwa na amani Jack. Naona wamefika”
Mzee Tiger akaanza kutembea kuelekea katika nyumba iliyopo katika mbuga ya wanyama.
“Baba nikutafutie madakatri bingwa. Na mmoja wa marafiki zangu wanao toka Marekani leo ni daktari”
“Kuwa na amani Jack nina jua madaktari wengi duniani kuliko wewe. Hivyo usiwe na shaka kama ni kufa nita kufa. Miaka sabini na tano ni mingi sana kwa duni ya sasa na niliyo yafanya yana nitosha sana”
“Daaaa….”
“Kuwa jasiri. Na hililo kueleza lisikuvuruge kabisa”
Wakaingia ndani ya nyumba. Wakamkuta mdukuaji akiwa amekalishwa kwenye kiti huku amefungwa pingu.
“Ndio huyu?”
Mzee Tiger aliuliza.
“Ndio baba. Ndio naanza kumuhoji”
James Tiger alijibu.
“Dogo una tujua?”
Mzee Tiger alimuuliza mdukuaji na akajibu kwa kutingisha kichwa.
“Kwa nini umedukua mfumo wangu wa ulinzi wa nyumba yangu?”
“Baba ngoja nimuhoji maswali ya kitaalamu?”
“No mimi nataka anijibu maswali ninayo muuliza”
“Nililipwa kufanya kazi hiyo?”
“Na nani?”
“Sijui. Mimi ni hacker ninaye fanya kazi zangu kwa kulipwa. Wateja sijawahi kukutan anao na wala hawajawahi kukutana na mimi hivyo nilipa na nina wafanyia kazi”
Mzee Tiger akakaa kwenye moja ya sofa na akakunja nne.
“Endela kumuhoji”
“Una fnaya kazi peke yako?”
James aliuliza.
“Ndio nina fanya kazi yangu”
“Umesoma chuo gani?”
“Sijasoma chuo chochote.”
“Nini”
“James alishangaa.
“Ndio sijasoma chuo. Nimeanza kujua maswala ya computer nikiwa na miaka minne. Marehemu mama yangu alininunulia computer yangu ya kwanza nikiwa na miaka saba na hapo nilijinfunza viti vingi hadi kufika umri huu sijawahi kusoma chuo chochote na shule nimeishia kidato cha nne na nikajikita kwenye udukuzi”
“Una miaka mingapi?”
Jack alihoji.
“Miaka ishirini”
“Bado bwana mdogo. Na mteja wako aliye kupatia kazi ya udukuzi hukutaka kumjua?”
“Mara zote wadukuzi ufanyaji wetu wa kazi ni wa kuto kujua wateja wetu.”
James akafungua laptop yake.
“Mfumo wako wote wa computer nipo nao hapa nia nime udukua”
Mdukuaji akatokwa na jisho la mshangao.
“Ndio haupo so special sana ila nimependa ujasiri wako wa kile ulicho kifanya. Hii ina nionyesha kwamba uwezekano mimi kudukuliwa upo. Niliamini kwamba hakuna ambaye ana weza kunidukua hapa Tanzania”
James akaifunika latop yake.
“Huwa unalipwaje pesa yake?”
“Kupitia crypto currency. Huo ndio mfumo ambao wadukuzi wengi tuna lipwa pesa kwani pesa yake haiwezi kuwa traced na serikali zozote zile”
Mdukuzi alizungumza kwa kujiamini akimtazama James.
“Baba na Jack tuzungumze”
Wakatoka nje na kumuacha mdukuzi na walinzi wawili.
“Ehee injinia”
Mzee Tiger alizungumza.
“Baba huyu kijana kwa mimi naona ana nifaa katika kazi zangu”
“Una muaminije mtu ambaye humjui na una taka kumuingiza kwenye kazi zako”
Mzee Tiger aliuliza.
“Ni kweli simjui ila ukweli ni kwamba tuna weza kumtumia aka dukua mifumo ya maadui zetu ikiwemo akaunti zao za benk na kuwaibia”
“Jack una cha kuzungumza?”
“Una weza kunisubiria niongee naye?”
“Ila usimuonyeshe ukatili wako Jack”
“Tulia bro”
Jack alizungumza na akarudi ndani. Akamnyooshea mlinzi mmoja mkono na mlinzi akachomoa bastola na akamkabidhi Jack.
“Dogo sikia. Kaka yangu ni mtu mmoja mwenye roho nzuri sana na huruma. Ila sija bahatika kuwa na roho yake. Amerithi roho ya mama ila mimi nimerithi ya mama na baba. Nataka kujua kwa nini umetudukua?”
Jack alizungumza akiikoki bastola na akamnyooshea mdukuzi na kumfanya aanze kutetemeka.
“Dogo nijibu”
“Ni….nililipwa kama nilivyo sema”
“Walikuambia endapo uta kamatwa ujibu hivi sio?”
“Hapana aila nawaeleza ukweli nimelipwa kiasi cha pesa na nikapewa kazi ya kudukua mfumo wa ulinzi wa njia ya bahari na nikafanaya hivyo. Nimekosea niana waomba munisamahe, haki ya MUNGU sinto rudia tena, sinto rudia tena mimi”
“Unaitwa nani?”
“Jina la udukuzi najiita Sky Ghost.”
“Okay katusalimie kuzimu”
Jacky akafyatua risasi mbili zilizo mshtua James huku mzee Tiger akishusha pumzi nyingi kwani ana ifahamu akili ya Jack sio mtu wa kuamini mtu kiwepesi hata kidogo.
ITAENDELEA
Joto jipya limeanza. Mdukuzi amekamatwa na amekiri kabisa kulipwa na maadui wa familiya ya mzee Tiger kwa ajili ya kudukua mfumo wa ulinzi. Kwa nini Jack amefyatua risasi kwa Mdukuzi je hamuamini ikiwa James kaka yake ana muamini? Ungana nami katika stori hii ya kusisimua sehemu ya 06.
 
DEVIL’S FAMILIY (FAMILIA YA MASHETANI) 06
ANGALIZO: KAMA UPO CHINI YA UMRI WA MIAKA 18. TAFADHALI USISOME HII HADITHI.
ILIPOISHIA
“Dogo sikia. Kaka yangu ni mtu mmoja mwenye roho nzuri sana na huruma. Ila sija bahatika kuwa na roho yake. Amerithi roho ya mama ila mimi nimerithi ya mama na baba. Nataka kujua kwa nini umetudukua?”
Jack alizungumza akiikoki bastola na akamnyooshea mdukuzi na kumfanya aanze kutetemeka.
“Dogo nijibu”
“Ni….nililipwa kama nilivyo sema”
“Walikuambia endapo uta kamatwa ujibu hivi sio?”
“Hapana aila nawaeleza ukweli nimelipwa kiasi cha pesa na nikapewa kazi ya kudukua mfumo wa ulinzi wa njia ya bahari na nikafanaya hivyo. Nimekosea niana waomba munisamahe, haki ya MUNGU sinto rudia tena, sinto rudia tena mimi”
“Unaitwa nani?”
“Jina la udukuzi najiita Sky Ghost.”
“Okay katusalimie kuzimu”
Jack akafyatua risasi mbili zilizo mshtua James huku mzee Tiger akishusha pumzi nyingi kwani ana ifahamu akili ya Jack sio mtu wa kuamini mtu kiwepesi hata kidogo.

ENDELEA
James akakimbilia ndani, akashusha pumzi nyingi huku akimtazama Jack aliye shika bastola mkononi mwake.
“Risasi nyingine zinazo fwata zitaingia mwilini mwako. Nita kuua na hakuna atakaye uona mwili wako wala kuusikia kwani utararuliwa na mamba na stori yako itakuwa imeishia hapa. Kwa nini umetudukua?”
“Na….naweza naweza kukumdukua mtu aliye nipatia hii kazi”
Mdukuzi alizungumza huku akilia na kutetemeka sana. Jack akamtazama James.
“Ni vyema ukafanya hivyo. Bro una weza kumuazima laptop yako?”
“Hapana kuna laptop nyingi anaweza kuzitumia kufanya kazi yake”
“Piga simu basi iletwe moja”
James akatoka nje huku simu yake ikiwa mkononi.
“Akekufa?”
Mzee Tiger alimuuliza James.
“Hapana amemtishia na ana taka kumdukua mtu aliye mpa kazi”
“Kazi nzuri.”
James akaiweka simu yake sikioni mwake.
“Bro”
“Ingia chumbani kwangu. Katika katabi la nguo kuna laptop moja niletee huku zoo”
“Upo zoo kwema?”
“Kwema niletee sasa hivi”
“Sawa”
Sophia akakata simu na akaelekea chumbani kwa James kama alivyo elekezwa ndivyo alivyo fanya. Akaitoa laptop kabatnini na akatoka nje, akaingia ndani ya gari lake na kuelekea ilipo mbuga ya wanyama.
“Wote kumbe mupo huku”
Sophia alizungumza akimtazama baba yake na Jack walio kaa nje.
“Yaa kuna mpuuzi ana maswali ya kutujibu”
Sophia akaingia ndani.
“Huyu ni nani bro?”
“Huyu ndio aliye tudukua”
James alijibu huku akiipokea lapop yake kutoka mkononi mwa Sophia. Akaifungua na kuiweka juu ya meza.
“Mfungueni”
Jack akaingia ndani hapo.
“Baba amebaki nje?”
Sophia aliuliza.
“Ndio”
“Sasa huyu mtoto kadukua nini?”
“Mfumo wetu wa ulinzi wa eneo la baharini. Ndio maana imekuwa rahisi kwa ile boti kuiingia ndani ufukwe wetu na kuleta madhara kwa walinzi”
James alijibu huku akimtazama mdukuzi anavyo anza kuminya batani akijisajili kuingia katika dark web ambapo huwasiliana huko na wateja wake wote.
“Chati zetu hizi hapa”
Mdukuzi alizungumza akimuonyesha James mawasiliano aliyo yafanya na mteja wake.
“Sawa tupatie taarifa zake”
Sophia akatoka nje.
“Mbona umekaa mwenyewe huji kushuhdia kinacho endelea?”
“Najaribu kuwaza. Familia yetu jinsi inavyo andawa na maadui wengi”
Sophia akashusha pumzi taratibu akimtazama baba yake.
“Unaogopa?”
“Wala siogopi. Kwa maaan toka kipindi baba yangu alipo kuwa ana ongoza hizi biashara, alikuwa na maadui. Dada yangu, kaka zangu wawili wote aliuwawa katika vita na maadui zetu. Hivyo nilipambana hadi kuiweka sawa hii familia na kuwakuza ninyi hadi kufikia umri huo. Ni wewe peke yako ndio hutako kujihusisha na mambo ya biashara za familia?”
Sophia akashusha pumzi.
“Baba kaka zangu wana tosha na nina waamini. Nina amini kwamba hawawezi kunitupa”
“Ishu sio kukutupa. Kuna watu kufa, siku wakianguka nini kita tokea na umeamua kujitenga na sisi na kwenda kuishi Arusha huko ambapo zipo hoteli, super makert ila hakuna hata moja una jishuhulisha nayo”
Sophia akaka kimya.
“Shauri yako. Mwanao ata kosa cha kurithi. Kuishi kwa pesa unazo lipwa kama mtoto wa familia hii kila mwezi ita kugarimu rafiki yangu”
“Nimekuelewa baba”
“Bado hujanielewa. Utanielewa siku ambayo mimi na baba yako hatuto kuwepo duniani”
James akatoka nje.
“Baba amempata”
Mzee Tiger na wanaye wakaingia ndani.
“Ehee ni nani?”
Mzee Tiger aliuliza.
“Mzee Chiko”
Picha ya mzee Chiko ikaonekana katika laptop anayo itumia mdukuzi huku picha hiyo ikiwa na namba za simu za mzee huyo.
“Baba wamevuka mipaka. Haijalishi kesho ni harusi yangu nipe ruhusa nikawafute kwenye uso wa dunia hawa wapuuzi”
Jack alizungumza kwa kujiamini.
“Jack una ongea nini? Kesho ni harusi yako nab ado una taka kufanya mambo ya ajabu”
Sophia alizungumza kwa msisitizo.
“Dada huelewi. Leo wamefanya uvamizi tena kwa boti iliyo jaa mabomu una taka nini kifanyike…..Baba najua una niamini katika hili. Nina mafunzo ya kutosha ya kuongoza timu itakayo mshuhulikia huyu mzee na kumuangamiza mazima. Jinsi tunavyo zidi kusubiria harusi yangu iishe ndivyo jinsi wezetu wanvyo waza ni jinsi gani watan paswa kutuangamiza”
Mzee Tiger akamtazama Jack.
“Kijana una weza kujua namba ya huyo mzee ni wapi ilipo?”
“Ndio”
“Fanya hivyo”
Mzee Tiger akamtazama mdukuzi anavyo minya batani za laptop na hazikuisha dakika tano akafnaikiwa kupata ramani ya eneo alipo mzee Chiko.
“Hapo ni katika club yake”
James alizungumza.
“Baba naomba nimshuhulikie huyu mzee”
“Chukua timu ya unao waamini. Usiku huu yeye na familia yake wakasalimie kuzimu”
“Sawa baba”
“Baba hapana”
Sophia alziungumza kwa sauti kali.
“Baba hembu fikiria huyu ni bwana harusi. Akienda akapata madhara itakuwaje ehee?”
Mzee Tiger akamtazama binti yake.
“Wakati mwengine wanaume wanapo zungumza usijaribu kupiga kelele zako. Hujui chochote kuhusiana na kinacho endelea. Lazima tuwafunze adubu”
“Nimekuelewa baba ila hii sio sawa. Mbona una walinzi wengi tu wa kuwatuma”
Mzee Tiger taratibu akatembea kutoka nje.
“Jack mdogo wangu unacho kifanya sio sawa. James na wewe ongea kama kaka. Una kaa kimya tu”
“Walinzi wetu wana hali mbaya hospitalini kwa sababu ya hii familia ni lazima wapate kile wanacho kistahili”
James alizungumza akimkazia macho Sophia.
“Jack usiende”
“Usijali sister nita rudi kabla hapajapambazuka. Kuwa na amani”
Jack akatoka nje.
“Hakikisha familia nzima ina kufa. Asibaki yoyote yule”
“Sawa baba”
Mzee Tiger akamsogelea Jack alipo simama.
“Rudi ukiwa hai”
“Sawa mzee”
“Nenda”
Jack akaingia ndani ya gari walilo tumia kufika eneo la mbuga na akaondoka.
“Baba mzuie Jack. Moyo wangu una wasiwasi sana juu ya hili”
“Siku zote Tiger anapo kuwa mawindoni basi hawezi kuzuilika. Acha akafanye kile ambacho Chiko family wamekileta kwetu.”
Sophia akamtazama baba yake kwa macho makali.
“Nikuulize baba?”
Mzee Tiger akaendelea kumtazama binti yake Sophia.
“Kwa nini umemfanya Jack kuwa hivi? Kwa nini yeye?”
“Ulitaka nimfanye awe msagaji kama wewe?”
Sophina akashtuka.
“Umeshtuka…..Una hisi mimi na mama yako hatujui unayo yafanya?”
Sophia akatazama pembeni kwa aibu. Taratibu baba yake akamsogelea.
“Kaa mbali na mke wa mdogo wako. Siku Jack akijua uchafu wenu, atakuua. Nipe funguo ya gari”
Mzee Tiger alizungumza na kumfanya Sophina kutetemeka kwa woga, akampatia baba yake funguo ya gari na akaondoka enep la mbuga ya wanyama.
“Mimi na wewe hatuna ujasiri kama alio nao Jack”
Sauti ya James ikamfanya Jack kugeuka nyuma.
“Una bidi umshauri mdogo wako. Haya mambo ya ukatili wanayo yafanya ipo siku yata mrudi”
“Dunia tunayo ishi haina wema kama huo. Endapo mimi na wewe tungekuwa ni watoto pekee wa hii familia ingekuwa ni hasara kwa baba. Baba alihitaji mtu kama Jack ndio maana toka utoto baba amekuwa karibu na Jack na kumfundisha biashara zote”
“Una uhakika anacho kwenda kukifanya Jack ata fanikiwa?”
“Amefanikiwa kwenye mangapi kasoro hili”
“Hata kama ila…..”
“Sister acha tuone mimi na wewe vinywa vyetu tuvifunge.”
James akarudi ndani.
“Twendeni naye huyu kule nyumbani”
“Sawa boss”
Walinzi wawili waliitikia, akamnyanyua mdukuaji waliye mfunga pingu mara baada ya kumaliza kazi waliyo kuwa wamempatia na wakaingia naye ndani ya gari na safari ya kuondoka eneo hilo ikaanza.
***
“Hadi sasa hivi kuna ukimya. Hatujapata taarifa ya kilicho tokea katika famila ya Tiger?”
Mzee Chiko alimuuliza kijana wake mkubwa.
“Kwa jinsi ile boti ilivyo jaa mabomu nina uhakika kwamba sasa hivi huko hali itakuwa ni mbaya sana. Lazima watakuwa wamelipuka na mabomu”
“Baba kwa nini tusiwavamie leo usiku”
Kijana wa pili wa Chiko alishauri.
“Sio rahisi kihivyo. Ulinzi ni mkali sana kwa maana taarifa niliyo nayo raisi kesho ana hudhuria sherehe yao”
“Huyu raisi mpumbavu sana”
Kijana mdogo wa mzee Chiko alizungumza kwa hasira.
“Ana egemea sana familia ya Tiger”
“Kwa sababu wao ndio walio muweka. Ila uchaguzi unao kuja tuta hakikisha harudi madarakani na tuna muweka yule raisi tunaye mtaka sisi”
Mlango wa ofisi ya mzee Chiko ukagongwa na kuwafanya vijana wake wote watatu wa kiume kuchomoa bastola zao viunoni. Mdogo akapiga hatua hadi mlangoni na kufungua.
“Ni mimi”
Mmoja wa wapasha habari wao alizungumza huku akiingia.
“Ehee kuna nini?”
“Habari ni nzuri……Jaribioo limekwenda vizuri na walinzi kadhaa wanao lina ufukwe wamekufa”
Mtoa taarifa alizungumza na kumfanya mzee Chiko kutabasamu.
“Una uhakika?”
Mtoto wa pili wa Chiko aliuliza kwa msisitizo.
“Asilimia mia moja. Tiger family tumeweza kuwashambulia katika makazi yao”
“Lazima wata lipa kisasi baba. Kama wameathiriwa walinzi nina uhakika wata lipa kisasi”
Mtoto wa mwisho wa mzee Chiko alizungumza kwa msisitizo.
“Hawezi kujua kama ni sisi tunao husika”
Mzee Chiko alizungumza kwa furaha.
“Ni kweli hawezi kujua”
Mtoto mkubwa wa mzee Chiko alizungumza.
“Kesho tuna kwenda kuwamaliza wote”
Mzee Chiko alizungumza.
“Kuwamaliza kivipi baba?”
“Ni wakati wa kuisimamisha hii nchi. Ni wakati wa kuifungua mdomo dunia nzima kwani kesho katika harusi yao wote wata kufa. Shambulizi ambalo litafanyika dunia haito kaa isahau”
“Umepanga kufanya nini baba”
“Njooni muone”
Mzee Chiko akaminya batani ya kadhaa za computer yake iliyopo juu ya meza ya ofisi yake.
“Hii ni nyumba ya eneo la Tiger family….Na harusi ita fanyikia hapa pembezoni mwa bahari katika hili eno la bustani. Hivyo wageni waalikwa na family ya Tiger kesho wakiwa hapa basi watavamiwa na drone zenye muundo wa ndege wadogo wa baharini wapatao elfu kumi na katika kila ndege mmoja ndani yake ata kuwa amebeba mabomu hivyo kesho hapa tuta shuhudia damu nyingi sana zitakazo mwagika”
“S mfumo wao wa anga si rahisi kudukuliwa”
“Mfumo wao una tambua ndege za kivita, drone za kivita ila hawa watakuwa na muonekano kama ndege wa kawaida. Mumo wa ulinzi wa anga hauto weza kuzuia hili shambulizi. Hivyo kwa sasa kunyweni mufurahi kesho tuna kwenda kuifuta familia ya Tiger”
Mzee Chiko alizungumza kwa furaha.
“Mpango mzuri baba. Hongera sana baba”
Kijana wa kwanza wa mzee Chiko alizungumza.
“Nashukuru sana”
Kijana wa pili akafungua kabati linalo tunza vinywaji katika ofisi ya baba yake iliyopo katika club kubwa ya starehe. Akachukua chupa ya pombe kali pamoja na glasi tano, akamimina pombe kali katika kila glasi kisha kwa pamoja wakagoanisha glasi zao.
“Kwa ajili ya maisha marefu ya familia ya Chiko”
Mzee Chiko alizungumza.
“Maisha marefu kwetu sote baba”
Watoto wa mzee Chiko walijibu kasoro mpasha habari wao wa kuaminika ambaye ambeki akitabasamu huku simu yake mfukoni ikiwa hewani na kila wanacho kizungumza Jack na timu yake wana sikia.
ITAENDELEA
Mchaka mchaka mpya umeanza. Mzee Tiger ametoa ruhusa kwa kijana wake Jack kwenye kuhakikisha wana ivamia familia ya Chiko na kuisambaratisha na mzee Chiko na familia yake bila ya kujua kinacho endelea ana furahia maisha ya vijana wake je ni nini kita tokea? Ungana nami katika stori hii ya kusisimua sehemu ya 07.
 
DEVIL’S FAMILIY (FAMILIA YA MASHETANI) 07

ANGALIZO: KAMA UPO CHINI YA UMRI WA MIAKA 18. TAFADHALI USISOME HII HADITHI.
ILIPOISHIA
“Mpango mzuri baba. Hongera sana baba”
Kijana wa kwanza wa mzee Chiko alizungumza.
“Nashukuru sana”
Kijana wa pili akafungua kabati linalo tunza vinywaji katika ofisi ya baba yake iliyopo katika club kubwa ya starehe. Akachukua chupa ya pombe kali pamoja na glasi tano, akamimina pombe kali katika kila glasi kisha kwa pamoja wakagoanisha glasi zao.
“Kwa ajili ya maisha marefu ya familia ya Chiko”
Mzee Chiko alizungumza.
“Maisha marefu kwetu sote baba”
Watoto wa mzee Chiko walijibu kasoro mpasha habari wao wa kuaminika ambaye ambeki akitabasamu huku simu yake mfukoni ikiwa hewani na kila wanacho kizungumza Jack na timu yake wana sikia.

ENDELEA
“Kila mmoja awe tayari”
Jack alizungumza huku akivaa kinyago na kuifunika sura yake. Jack akatazama saa yake na ina onyesha ni saa nne usiku.
“Kata umeme”
Jack alizungumza. Umeme wa eneo zima ukakatwa.
“Wajinga mbona wana kata kata umeme?”
Mtoto mkubwa wa mzee Chiko alizungumza.
“Ngoja nikaangalie”
Mpasha habari wao akatoka ndani ya ofisi ya Club ya mzee Chiko. Akatokea mlango wa nyuma ya club ambao ni mlangu usio tumiwa. Akasimama kwenye uchochoro una itengenisha club ya Chiko na gorofa jengine. Akatoa simu yake ndogo, akawasha tochi ya simu huku mbele ya mwanga wa akiweka kiganja na akatoa ishara ya mara mbili kuelekea uelekeo ambapo Jack yupo ndani ya gari pamoja na walinzi tisa.
“Muda umefika”
Wakashuka ndani ya gari, kila mmojaa akiwa na bunduki yake huku bunduki ikiwa imefungwa kiwambo cha kuzuia sauti na kila mmoja. Wakatembea kwa mwendo wa haraka hadi katika eneo alipo mpasha habari ambaye Chiko na wnaaye wana jua yupo upande wao ila ukweli ni mpelelezi wa familia ya Tiger.
“Wapo ndani”
“Walinzi?”
“Wapo sita”
“Pote”
Jack alizungumza huku kila mmoja akivaa miwani maalumu ya kuona katika mwanga mkali. Wakaingia ndani na kuanza kuwaua walinzi kimya kimya kwani bunduki zao hazitoa sauti kwa kuwa wamezifunga viwambo vya kuzui sauti. Wakafika katika ofisi ya Chiko, Jack akafungua mlango na akawa wa kwanza kuingia ndani.
“Tulieni”
Jack alizungumza huku Chiko na wanaye wanao endelea kunywa wakiwa hawana tahadhari yoyote ile.
“Ninyi ni kina nani?”
Mzee Chiko alizungumza kwa kujiamini.
“Nawahitaji wakiwa hai”
Jack alizungumza na vijana wake kwa haraka wakawashambulia mzee Chiko na wanaye kwa mapigo hatari yaliyo wazimisha.
“Kusafishwe”
Jack akawa wa kwanza kutoka ofisini kwa mzee Chiko, vijana wake wakawebeba mzee Chiko na wanaye watatu, wakawaingiza ndani ya magari huku wakitegesha mabomu ndani ya club ya mzee Chiko ambayo ana ifanyia marekebisho ya kiufundi hivyo hapakuwa na watu zaidi yake, wanaye na walinzi. Wakaondoka taratibu eneo hilo wakiwa katika gari nne walizo fika nazo. Wakiwa umbali wa mita mia na hamsini Jack akaminya batani ya mambomu waliyo yatega vijana wake na kupelekea jengo zima la club yam zee Chiko kupukutika.
“Kazi nzuri kila mmoja”
“Asante boss”
“Tuelekea katika zoo”
Jack akatoa simu yake mfukoni na akampigia baba yake.
“Nipe ripoti”
“Habari njema ni kwamba nimemkamata Chiko na wanaye wote watatu”
“Wote?”
“Ndio nipo nao kwenye gari. Tuna kuja kwenye zoo”
“Sawa mutanikuta”
Mzee Tiger akanyanyuka alipo kaa na mkewe wakipata vinywaji.
“Una kwenda wapi?”
“Jack amemkamta Chiko na wanaye watatu”
“Amewakamata kirahisi hivyo?”
“Mimi na wewe sote tupo hapa, hatujui ni mambo gani waliyo yapitia huko. Hivyo ina wezakana haikuwa rahisi”
“Wapo wapi?”
“Ana wapeleka Zoo”
“Nakuja kwa maana hao washenzi wametusumbua sana”
“Tusitoke wote. Wageni hapa wana hitaji kampani yetu”
“Nataka kushuhudia wakifa.”
Mzee Tiger akajifikiria kwa sekunde kadhaa.
“Sawa twende”
Wakutana na Sophia.
“Baba hadi sasa Jack hajarudi…Nina wasiwasi”
“Yupo kwenye zoo. Mimi na mama yako tuna elekea huko. Baki hapa na wageni”
“Sawa”
“James yupo wapi?”
“Sijui amepotelea wapi”
Mzee Tiger, mkewe na walinzi wao wawili wakaingia ndani ya gari na kuelekea katika eneo la mbuga ya wanyama.
“Sijakuja huku siku nyingi”
“Uwe una patembelea wanyama wata kusahau, wata kurarua siku”
“Mmmmm wanyama sio kama binadamu bwana na sasa hivi si wamewekewa ulinzi wa fensi”
“Ndio”
Mingurumo ya magari ikawafanya watoke nje. Wakamuona Jack akiwa wa kwanza kushuka ndani ya gari wakifwatiwa na vijana wake. Akatembea hadi walipo simama wazazi wake.
“Mama shikamoo”
“Marahaba. Nina hamu sana ya kuwaona hao washenzi”
Jack akatoa ishara kwa vijana wake. Mzee Chiko na wanaye wakashushwa ndani ya magari na wakabebwa wakiwa hawajitambui.
“Wapelekeni chumba cha mateso”
Wakapelekwa katika nyumba inayo tumika kama stoo. Jack na wazazi wake wakafwata walinzi kwa nyuma na wakaingia ndani ya chumba hicho.
“Waning’inizeni kama nyama”
Jack aliendelea kutoa amri. Mzee Chiko na familia yake wakafungwa kamba mikononi na wakaninginizwa katika chuma zilizo pita rufu ya nyumba hiyo.
“Mumewachoma dawa za usingizi nini?”
“Wmaepigwa tu mama. Wata wazinduliwa”
Mzee Tiger muda wote yupo kimya akimtazama Chiko anaye ning’nia hewani mithili ya nyama iliyo ning’nizwa buchani.
“Wazindueni”
Chiko na wanaye wakamwagiwa maji ya baridi sana na kila moja akazinduka
“Tiger”
Chiko alizungumza kw amshangao huku akimtazama mzee Tiger aliye simama mbele yake.
“Naamini una wishi iwe ndoto hii?”
Chiko akawatazama wanaye watatu ambao wamefungwa kama yeye alivyo fungwa.
“Waachie wanangu hawajafanya chochote”
“Baba tupo wapi?”
Kijana wa mwisho wa Chiko alizungumza huku akitetemeka kwa woga.
“Baba?”
“Kaeni kimya”
Mzee Chiko alizungumza kwa kufoka.
“Wazo la kutaka kukuua ni wazo langu mimi na sio wanangu”
“Ila ulitaka kuniua mimi na familia yangu sio?”
Mzee Chiko akaka kimya.
“Leo uta kwenda kushuhudia mambo ambayo hukuwahi kuyashuuhdia katika maisha yako. Mke wangu unataka tuwafanye nini?”
Mrs Tiger akashusha pumzi nyingi huku akimtazama mzee Chiko.
“Mmmm. Nina hamu kushuhudia kuona watu wana liwa na mamba”
“Mamba?”
“Ndio sijawaona mamba wangu wakila mtu.”
“Jack”
“Kama alivyo taka mama”
“Kwa hili ulilo lifanya mwanangu nita kupa zawadi kubwa sana”
“Asante mama”
“Mwanao mmoja ana weza kupona endapo uta niingia pesa ya mzigo wangu mulio uiba”
“Waaachie wanangu wote watatu nita kupa mara mbili ya kile nilicho kiiba kwako”
“Nipe”
“Naweza kukuingizia pesa hiyo benk.
“Sawa “
“Ila naomba sana uwaachie wanangu”
“Sawa”
Jack akamtazama baba yake.
“Tukupe nini unacho weza kutuingizia pesa yetu”
“Hata simu hata simu”
Jack akamtazama baba yake na akatingisha kichwa akimaanisha mzee Chiko apewa.
“Mshusheni”
Wakamashuha mzee Chiko na akakalishwa katika kiti.
“Unatumia app ya benki gani?”
Mzee Chiko akataja app ya mtandao wa simu anao utumia.
“Mume wangu sidhani kama ina penda”
“Inapendeza nini?”
“Kutumia pesa ya Marehemu?”
“Kwa hiyo una takaje?”
“Wote tukawatupe kwenye bwawa la mamba waliwe nikishuhudia. Pesa tunayo hata watakayo tuingizia haifiki asilimia tano ya pesa tunayo miliki mume wangu”
Mzee Tiger akashusha pumzi nyingi.
“Tafadhali mume wnagu nipe maisha ya hawa kama zawadi katika usiku wa kuamkia harusi ya mwanangu kipenzi”
“Sawa. Jack achana na huo mpango. Washusheni na tuje nao kwenye bwawa la mamba”
“Sawa mkuu”
Vijana wa Jack wakawashusha watoto wa Chiko na wakawabeba pamoja na baba yao hadi katika bwawa kubwa la kufugia mamba.
“Ahaaaa…..nataka yule pale aanze kuliwa”
Mama Jack alizungumza akimnyooshea kidole mtoto wa pili wa mzee Chiko.
“Mrusheni kwenye bwawa”
Mzee Tiger alizungumza.
“Baba ongea nao ongeaaa naooooo”
Kijana wa mzee Chiko alizungumza akilia, ila hakuzuia wanaume wawili wenye nguvu walio mshika, kumsukuma ndani ya bwawa. Kitendo cha kuzama tu ndani ya bwana mamba wakaanza kumshambulia huku kila mamba akinganya eneo analo ona linafaa. Mzee Chiko na wanyae wawili walio baki wakazidi kulia kwa uchungu.
“Waoooooo…..mume wangu umeona jinsi yule mamba alivyo kula kichwa chake.”
Mama Jack alizungumza kwa furaha kana kwamba kinacho fanyika hapo ni maigizo.
“Nimefurahi sana…..anaye fwata yule mkubwa….”
“Tiger naomba sana uwaachie wanangu”
“Mke wangu ndio boss na siwezi kupinga maamuzi yake.”
Mzee Tiger alizungumza akimtazama mke wake aliye jawa na furaha.
“Sheme shemeji. Wanangu hawana makosa kwenye hili. Tafadhali nakuomba sana uwasamehee please”
Mama Jack akavuta pumzi nyingi huku akimsogelea mzee Chiko.
“Chiko umecheza na familia ambayo hukuwaza ina watu wa aina gani. Ume waogopesha sana wageni wagu kwa lile shambulizi la kujitoa muhanga. To bad tumekupata. Hivyo acha ufurahie kile ambacho una paswa kukipata. Mdumbukizeni”
Mtoto wa kwanza wa mzee Chiko akatupwa ndani ya bwawa la mamba na kama alivyo ingizwa mdogo wake ndivyo jinsi na yeye alivyo shambuliwa na mamba.
“Ninyi ni mbwaaa……Hata tukikutana kuzimu Tiger tuta endelea kuwa maadui nakuapia tuta kuwa maadui”
Mzee Chiko alizungumza kwa hasira na uchungu sana. Kitendo cha kushuhudia wanaye wakiuwawa ni kitu kinacho muumiza sana. Mama Jack akatoa ishara na mtoto mwengine wa Chiko akatupwa ndani ya bwawa mamba akamshambulia.
“Naomba kisu”
Jack akampatia mama yake kisu.
“Mvueni suruali yake”
Vijana wa Jack wakamvua mzee Chiko suruali yake.
“Boxer”
Wakamvua boxer. Mama Jack akaanza kucheka.
“Khaaa mume wangu sasa hivi nimeelewa kwa ni huyu mzee ana hasira za kijinga jinga”
“Kwa nini?”
“Ona ana kibamia….Ndio maana alikuwa ana kasirika kasirika eheee”
“Nataka mamba wangu wale kiungo chako kimoja baada ya kingine”
Mama Jack akayashika makend** ya mzee Chiko.
“Vaa hata gloves mke wangu”
“Ahaaa….nitafutieni gloves”
Jack akatoa pakti yenye gloves na mama yake akazivaa
“Hapo vipi mume wangu?”
“Endelea”
Akamshika Chiko makend** na bila hata ya huruma akayakata huku vijana wa Jack wakiwa hawaamini ukatili wanao ushuhdia kutoka kwa mama huyo. Kwa jinsi jamii wanavyo muona kama mpigania haki za wanawake basi kila mmoja humuona ni mwanamke mwema sana.
“Umeona kend** zako”
Mama Jack alimuonyesha mzee Chiko anaye lia kwa maumivu makali. Akayatuma makende ndani ya bwawa la mamba na yakaliwa.
“Tusalimie kuzimu kwa maana sisi na wewe njia yetu ni moja”
Akatoa ishara na mzee Chiko akatupwa ndani ya bwawa la mamba na akaanza kushambuliwa kama walivyo shambuliwa wanaye.
“Moyo wangu sasa una amani na furaha. Jack chagua zawadi yoyote uniambie na nitakupatia”
Mama Jack akazitupa gloves ndani ya bwawa la mamba
“Nitakuambia mama”
“Sawa. Ahaa…..Mume wangu tuondoke”
Jack akawatazama wazazi wake wanao ondoka eneo hilo.
“Kila mmoja akampumzike kesho nina wahitaji sana katika harusi yangu. Kila mtu avalie suti na apendeze kama tulivyo kubaliana”
“Sawa mkuu”
Jack akapena tano na vijana wake na wakaondoka na kumuacha akiwa amesimama mwenyewe pembeni ya bwawa hilo. Ujumbe ukaingia katika simu yake na akafungua ujumbe huo ulio tumwa whatsapp. Akaiona picha ya msichana mrembo kisha akayasoma maandishi ulio ambatana na meseji hiyo.
‘Huyo ni mtoto wa Chiko. Yupo South Korea. Ni hataria sana, mshuhulikie kabla hajarudi nchini kwani akirudi vita yake sio ndogo’
ITAENDELEA
Mchaka mchaka mpya umeanza. Jack na wazazi wake wote wana tambua Chiko ana watoto watatu ila yupo mtoto wake wa nene ambaye Jack amepewa taarifa zake je ata mshuuhlikia kama alivyo pewa taarifa za kumshuhulikia? Ungana nami katika stori hii ya kusisimua sehemu ya 08.
 
Back
Top Bottom