Developers na wadau wengine tupeane maujanja ya jinsi ya kuokoa muda au masaa

MK254

JF-Expert Member
May 11, 2013
31,760
48,407
Binafsi huwa natumia RescueTime: Fully Automated Time Tracking Software

Inanisaidia sana kuhakikisha sipotezi masaa kwa siku, maana mara nyingi nafanyia kazi nyumbani, na vishawishi huwa vipo vingi sana kama vile kutazama movie na mengineyo.

Kwa mfano Tarehe ya jana 25/11/2019 nilitumia masaa 13h 24m na productivity pulse yangu ilikua 67 kama picha iliyopo hapa chini inavyoonyesha.

Asilimia 10% tu ndio nilitumia kwenye tovuti za habari na mitandao ya kijamii

Naomba developers na wadau wengine tupeane maujanja ya jinsi gani tunahakikisha uzalishaji/productivity kazini.

Clipboard01.jpg
 
Binafsi huwa natumia RescueTime: Fully Automated Time Tracking Software

Inanisaidia sana kuhakikisha sipotezi masaa kwa siku, maana mara nyingi nafanyia kazi nyumbani, na vishawishi huwa vipo vingi sana kama vile kutazama movie na mengineyo.

Kwa mfano Tarehe ya jana 25/11/2019 nilitumia masaa 13h 24m na productivity pulse yangu ilikua 67 kama picha iliyopo hapa chini inavyoonyesha.

Asilimia 10% tu ndio nilitumia kwenye tovuti za habari na mitandao ya kijamii

Naomba developers na wadau wengine tupeane maujanja ya jinsi gani tunahakikisha uzalishaji/productivity kazini.

View attachment 1272794
Pole sana. Everybody ignored your advice/request.
 
Binafsi huwa natumia RescueTime: Fully Automated Time Tracking Software

Inanisaidia sana kuhakikisha sipotezi masaa kwa siku, maana mara nyingi nafanyia kazi nyumbani, na vishawishi huwa vipo vingi sana kama vile kutazama movie na mengineyo.

Kwa mfano Tarehe ya jana 25/11/2019 nilitumia masaa 13h 24m na productivity pulse yangu ilikua 67 kama picha iliyopo hapa chini inavyoonyesha.

Asilimia 10% tu ndio nilitumia kwenye tovuti za habari na mitandao ya kijamii

Naomba developers na wadau wengine tupeane maujanja ya jinsi gani tunahakikisha uzalishaji/productivity kazini.

View attachment 1272794
Kiukweli developers wengi wana/tunakwama hapo maana unaweza dhani umefanya kazi kubwa kwa siku kwa kuspend kwenye kazi kumbe muda mwingi ulikua unatumia kucheki movie, mpira nk. Kwa users wa ubuntu kuna application inaitwa super productivity iko njema sana unasajili projects zako na task zake kisha unakua unajua kila task umetumia muda gani kuifanya yaani utashangaa majibu yake..
 
Kiukweli developers wengi wana/tunakwama hapo maana unaweza dhani umefanya kazi kubwa kwa siku kwa kuspend kwenye kazi kumbe muda mwingi ulikua unatumia kucheki movie, mpira nk. Kwa users wa ubuntu kuna application inaitwa super productivity iko njema sana unasajili projects zako na task zake kisha unakua unajua kila task umetumia muda gani kuifanya yaani utashangaa majibu yake..

Thanks, uzuri wa Rescuetime ambayo natumia mimi, huwa inakaa pembeni inakusoma shughuli zote unazofanya, muda unaotumia kwenye IDE, Skype, Notepad++ n.k.
Pia inaangalia sites unazopitia muda mwingi na kukupea breakdown ili utathmini namna gani muda wako unatumika.
 
Ni open source au?

Hapana ila ipo RescueTime Lite ambayo ni free lakini haina features nyingi japo zinakidhi kwa developer mmoja, ila kama unataka kufanya tracking ya staff wako wote nafikiri itabidi upakue premium version.
 
Hapana ila ipo RescueTime Lite ambayo ni free lakini haina features nyingi japo zinakidhi kwa developer mmoja, ila kama unataka kufanya tracking ya staff wako wote nafikiri itabidi upakue premium version.
Sawa mkuu nimekupata barabara..
 
Tumetofautiana tu kwakweli fikra na mitazamo,
mimi huwa naamini ukijijua majukumu yako ni yapi basi nadhani utaelewa kuwa nini unapaswa kufanya
kuna msemo huwa unasemwa hivi "mtu mzima alarm yake ni majukumu yake ya kila siku"
ukijijua na kujitambua basi unaweza kujisimamia wewe mwenyewe nk
 
Tumetofautiana tu kwakweli fikra na mitazamo,
mimi huwa naamini ukijijua majukumu yako ni yapi basi nadhani utaelewa kuwa nini unapaswa kufanya
kuna msemo huwa unasemwa hivi "mtu mzima alarm yake ni majukumu yake ya kila siku"
ukijijua na kujitambua basi unaweza kujisimamia wewe mwenyewe nk

Kujua majukumu na kujijua havitoshi tu, dunia ya leo kuna distractions nyingi na bila kuwa na aina fulani ya kuhakiksha uzalishaji unaweza usifanikishe chochote. Hizi ni mbinu hutumiwa hata na akina Elon Musk.

Mimi hapa ni developer ninayefanyia kazi nyumbani, ni baba kwenye familia kubwa, nina ndugu ambao tunahusiana kila siku, nina shughuli zingine pembeni, nina majukumu mengi tu ambayo yote yanahitaji nijigawe na kuyapa muda wangu.
Kazi yagu kama developer nina miradi kadhaa tena ya wateja tofauti na kila mmoja wa hao wateja anataka kazi yake ikamilike jana zaidi ya leo, presha kali kali.
Hivyo mifumo au zana za kunisaidia najipanga vipi husaidia pakubwa hadi nafanikisha yote na kupata hata dakika chache za kupumua.
 
Kujua majukumu na kujijua havitoshi tu, dunia ya leo kuna distractions nyingi na bila kuwa na aina fulani ya kuhakiksha uzalishaji unaweza usifanikishe chochote. Hizi ni mbinu hutumiwa hata na akina Elon Musk.

Mimi hapa ni developer ninayefanyia kazi nyumbani, ni baba kwenye familia kubwa, nina ndugu ambao tunahusiana kila siku, nina shughuli zingine pembeni, nina majukumu mengi tu ambayo yote yanahitaji nijigawe na kuyapa muda wangu.
Kazi yagu kama developer nina miradi kadhaa tena ya wateja tofauti na kila mmoja wa hao wateja anataka kazi yake ikamilike jana zaidi ya leo, presha kali kali.
Hivyo mifumo au zana za kunisaidia najipanga vipi husaidia pakubwa hadi nafanikisha yote na kupata hata dakika chache za kupumua.
Sasa ukiangalia maelezo kama hayo hapo juu ndio unathibitisha kutokuwajibika kwa uwazi
1.Unakuwaje mzazi ambaye huwezi kuongoza familia kimajukumu wakatambua sasa babu yupo bize nakazi nk? haijarishi kwa ndugu marafiki na majirani.
ukishindwa kufanyia kazi nyumbani sababu umeshindwa kuongoza wanaokuzunguka basi unaopaswa kufanyia kazi zako nje ya nyumbani

2.unapokeaje kazi za watu nyingi ikiwa bado unaviporo havijakamilika? hili pia nililelile lakujitakia hakikisha unafanya kazi za ndani ya uwezo wako ikishindikana jaribu kuwa na watu wakukusaidia na nidhamu ya kazi hakikisha unafanya kazi zilizo ndani ya uwezo wako ili zikamilike kwa wakati, kumbuka kufanya kazi kwa wakati na kwa usahihi inakupa zaidi credit kuliko kuwa na kazi nyingi na hauzikamilishi kwa wakati.
jitahidi kuwa na kazi moja ama chache utakazo zifanya kwa wakati muafaka.

3.Kwanini unakuwa na miradi mingi unaifanya kwa wakati mmoja? hii ni njia nzuri sana yakujitia umasikini siku zote, kumiliki miradi mingi sio tatizo bali tatizo ni pale unajiover work jumlisha unafanya majukumu ambayo hauwezi kuyaratibu ipasavyo.
Hebu punguza miradi mzee bakia na majukumu ya aina moja tu kuongeza ufanisi wa kazi zako na kipato kama kuna ugumu basi ongeza wasimamizi mbalimbali kweny miradi yako kuepusha hiyo adha inayokukumba.

Zaidi ya yote unapaswa kubadirika katika nyanja kadhaa ili uweze kufiti katika majukumu yako, hebu punguza hizo harakati nyingi zisizokuwa na mwelekeo,
Kumbuka siku zote tunapambania maisha bora, jaribu kuchanganua miradi yako na mambo yako yooote na uweke vitu vichache utakavyoweza kuvisimamia kwa usanifu na umakini mkubwa zaidi.
kumbuka ubize sio sifa hata kidogo sifa ni mafanikio uliyo nayo.

mimi pia ni developer napenda sana kulala toka utotoni, kuamka kwangu ni saa tano asubuhi au saa nne, napenda sana kukaa ndani kuliko kwenda kuzurula mtaani,
ikifika ni muda wa kurefresh basi natoka naenda mbali kidogo na nyumbani sehemu ambayo naamini nitakuwa sawa zaidi kiakili, kama beach au sehemu za michezo na mazoezi.
kila kitu nakipangilia vyema pasipokuwa na usimamizi wowote na kazi zangu zinakwenda kwa wakati.
Muhimu zaidi ninacho zingatia ni majukumu ya siku, wiki, na mwezi kwa ujumla,
pia tunaweza kutofautiana kidogo katika kupata muda zaidi sababu wengine tumejiajili na wengine wameajiliwa hivyo tunakuwa watu wawili tofauti kabisa.

neno langu sio sheria bali niliongea kwa kuzingatia kile ninachokifanya na kinanipa mafanikio
 
Binafsi huwa natumia RescueTime: Fully Automated Time Tracking Software

Inanisaidia sana kuhakikisha sipotezi masaa kwa siku, maana mara nyingi nafanyia kazi nyumbani, na vishawishi huwa vipo vingi sana kama vile kutazama movie na mengineyo.

Kwa mfano Tarehe ya jana 25/11/2019 nilitumia masaa 13h 24m na productivity pulse yangu ilikua 67 kama picha iliyopo hapa chini inavyoonyesha.

Asilimia 10% tu ndio nilitumia kwenye tovuti za habari na mitandao ya kijamii

Naomba developers na wadau wengine tupeane maujanja ya jinsi gani tunahakikisha uzalishaji/productivity kazini.

View attachment 1272794
Kwa Afrika, I don't think so! We lag behind in terms of saving time, nobody will understand you, infact they will think you are just one of those lunatics trying to influence them...
 
Sasa ukiangalia maelezo kama hayo hapo juu ndio unathibitisha kutokuwajibika kwa uwazi
1.Unakuwaje mzazi ambaye huwezi kuongoza familia kimajukumu wakatambua sasa babu yupo bize nakazi nk? haijarishi kwa ndugu marafiki na majirani.
ukishindwa kufanyia kazi nyumbani sababu umeshindwa kuongoza wanaokuzunguka basi unaopaswa kufanyia kazi zako nje ya nyumbani

2.unapokeaje kazi za watu nyingi ikiwa bado unaviporo havijakamilika? hili pia nililelile lakujitakia hakikisha unafanya kazi za ndani ya uwezo wako ikishindikana jaribu kuwa na watu wakukusaidia na nidhamu ya kazi hakikisha unafanya kazi zilizo ndani ya uwezo wako ili zikamilike kwa wakati, kumbuka kufanya kazi kwa wakati na kwa usahihi inakupa zaidi credit kuliko kuwa na kazi nyingi na hauzikamilishi kwa wakati.
jitahidi kuwa na kazi moja ama chache utakazo zifanya kwa wakati muafaka.

3.Kwanini unakuwa na miradi mingi unaifanya kwa wakati mmoja? hii ni njia nzuri sana yakujitia umasikini siku zote, kumiliki miradi mingi sio tatizo bali tatizo ni pale unajiover work jumlisha unafanya majukumu ambayo hauwezi kuyaratibu ipasavyo.
Hebu punguza miradi mzee bakia na majukumu ya aina moja tu kuongeza ufanisi wa kazi zako na kipato kama kuna ugumu basi ongeza wasimamizi mbalimbali kweny miradi yako kuepusha hiyo adha inayokukumba.

Zaidi ya yote unapaswa kubadirika katika nyanja kadhaa ili uweze kufiti katika majukumu yako, hebu punguza hizo harakati nyingi zisizokuwa na mwelekeo,
Kumbuka siku zote tunapambania maisha bora, jaribu kuchanganua miradi yako na mambo yako yooote na uweke vitu vichache utakavyoweza kuvisimamia kwa usanifu na umakini mkubwa zaidi.
kumbuka ubize sio sifa hata kidogo sifa ni mafanikio uliyo nayo.

mimi pia ni developer napenda sana kulala toka utotoni, kuamka kwangu ni saa tano asubuhi au saa nne, napenda sana kukaa ndani kuliko kwenda kuzurula mtaani,
ikifika ni muda wa kurefresh basi natoka naenda mbali kidogo na nyumbani sehemu ambayo naamini nitakuwa sawa zaidi kiakili, kama beach au sehemu za michezo na mazoezi.
kila kitu nakipangilia vyema pasipokuwa na usimamizi wowote na kazi zangu zinakwenda kwa wakati.
Muhimu zaidi ninacho zingatia ni majukumu ya siku, wiki, na mwezi kwa ujumla,
pia tunaweza kutofautiana kidogo katika kupata muda zaidi sababu wengine tumejiajili na wengine wameajiliwa hivyo tunakuwa watu wawili tofauti kabisa.

neno langu sio sheria bali niliongea kwa kuzingatia kile ninachokifanya na kinanipa mafanikio

Dah! Naona haujanielewa mpaka umeandika bonge la insha, kwanza kabisa hamna sehemu nimelalamika au nimesema nimelemewa na majukumu yangu, nayamudu freshi sana, familia ninayo iliyotulia na ninaiongoza ipasavyo mpaka baadhi ya wanangu wako vyuoni.
Pia miradi yangu naimudu vizuri sana, napokeza kazi za wateja wangu kwa wakati na kutunisha kipato changu, na pia hamna sehemu nimesema kwamba huwa nafanya miradi mwenyewe eti sina wasaidizi, kwa taarifa yako huwa nafanya project management kwenye baadhi ya miradi na huhakikisha mambo yanaenda, kwa kifupi naona umepambana kunishauri kuhusu mambo ambayo sijataja sehemu yoyote kuwa matatizo kwangu.

Kusudi langu kwenye huu uzi ilikua tushirikishane mbinu ambazo kila mmoja anatumia kuhakikisha ufanisi na uzalishaji, mimi nikatangulia kwa kueleza zana ninazotumia.
Binafsi niko desciplined sana, siku yangu huanza saa 01.05am kila siku, na huwa nakamilsha shughuli zote za kikazi 15:00pm na kulala 19:00pm
Hiyo ndio ratiba yangu na huwa naifuatilia kwa nidhamu za kijeshi bila kupunguza au kuongeza chochote

Fuatilia viongozi wa makampuni, utakuta kila mmoja ana mbinu au zana za kumuwezesha kwenye ufanisi.
 
Back
Top Bottom