mpimamstaafu
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 4,445
- 4,704
Wadau leo wakati wa taarifa ya habari ya BBC nimemsikia mtangazaji akimtaka Deus Kibamba auzungumzie mgogoro wa Sudan.Ninaomba mwenye kumfahamu huyu bwana atujuze.
Aliwahi kuwa mwenyekiti wa jukwaa la katiba enzi hizo.wadau leo wakati wa taarifa ya habari ya BBC nimemsikia mtangazaji akimtaka Deus Kibamba auzungumzie mgogoro wa Sudan.Ninaomba mwenye kumfahamu huyu bwana atujuze.
"Marcus Alban"Aliwahi kuwa mwenyekiti wa jukwaa la katiba enzi hizo.
Baada ya awamu ya tano amesitisha harakati zake. Si yeye tu ambaye hasikiki pia wamo Marcus Alban na Hebron Mwakagenda pia harakati zao zimefifia awamu hii
"Marcus Alban"
Huyu Jamaa aliwahi kugombea ubunge morogoro ,sina hakika ya Jimbo, na aligombea kwa tiketi ya chama cha chadema , toka kipindi hicho, baada ya kushindwa sijawahi msikia tena.
Mbona amejaa tele na yupo sana Facebook kiasi kwamba wasiojulikana wameshamnyatia mara kadhaa"Marcus Alban"
Huyu Jamaa aliwahi kugombea ubunge morogoro ,sina hakika ya Jimbo, na aligombea kwa tiketi ya chama cha chadema , toka kipindi hicho, baada ya kushindwa sijawahi msikia tena.
wadau leo wakati wa taarifa ya habari ya BBC nimemsikia mtangazaji akimtaka Deus Kibamba auzungumzie mgogoro wa Sudan.Ninaomba mwenye kumfahamu huyu bwana atujuze.
Siyo zimefifia bali wameamua kwa makusudi kushika breki maana uwanja wenyewe umejaa sana barafuAliwahi kuwa mwenyekiti wa jukwaa la katiba enzi hizo.
Baada ya awamu ya tano amesitisha harakati zake. Si yeye tu ambaye hasikiki pia wamo Marcus Alban na Hebron Mwakagenda pia harakati zao zimefifia awamu hii
BBC wameona Sudan wamekuja huku kutafuta business wanaanza mauza uza yao na wanatafuta watanzania wamwaga sumu kuwahoji
Ni mchambuzi wa masuala ya siasa,migogoro na sheriawadau leo wakati wa taarifa ya habari ya BBC nimemsikia mtangazaji akimtaka Deus Kibamba auzungumzie mgogoro wa Sudan.Ninaomba mwenye kumfahamu huyu bwana atujuze.
Jikite kwenye mada kama ulivyoulizwaAliwahi kuwa mwenyekiti wa jukwaa la katiba enzi hizo.
Baada ya awamu ya tano amesitisha harakati zake. Si yeye tu ambaye hasikiki pia wamo Marcus Alban na Hebron Mwakagenda pia harakati zao zimefifia awamu hii
Wadau leo wakati wa taarifa ya habari ya BBC nimemsikia mtangazaji akimtaka Deus Kibamba auzungumzie mgogoro wa Sudan.Ninaomba mwenye kumfahamu huyu bwana atujuze.
Huenda wamefilisiwa mawazo yao waliyokuwa wakiyapigania hapo kabla.Siyo zimefifia bali wameamua kwa makusudi kushika breki maana uwanja wenyewe umejaa sana barafu
Huenda wamefilisiwa mawazo yao waliyokuwa wakiyapigania hapo kabla.