Mkalukungone Mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 2,437
- 5,235
Mchambuzi wa masuala ya siasa nchini, Deus Kibamba, ameshauri kuwa ili nchi ipate maendeleo endelevu, ni muhimu kupunguza maslahi na stahiki mbalimbali wanazopata viongozi wa kisiasa, ambazo zimekuwa kubwa sana ikilinganishwa na stahiki za watumishi wa taaluma mbalimbali.
Kibamba ameongeza kuwa hali hii imesababisha watu wengi kuacha taaluma zao na kujiingiza katika siasa kwa lengo la kupata maslahi hayo makubwa, jambo ambalo linaathiri ukuaji wa sekta za taaluma na uchumi kwa ujumla.
Kibamba ametoa maoni haya leo, Julai 10, 2025, katika kipindi cha Mada Kuu cha TBC1 kilichojadili mada ya: “Kunani Bungeni.”
Kibamba ameongeza kuwa hali hii imesababisha watu wengi kuacha taaluma zao na kujiingiza katika siasa kwa lengo la kupata maslahi hayo makubwa, jambo ambalo linaathiri ukuaji wa sekta za taaluma na uchumi kwa ujumla.
Kibamba ametoa maoni haya leo, Julai 10, 2025, katika kipindi cha Mada Kuu cha TBC1 kilichojadili mada ya: “Kunani Bungeni.”