DESTRUCTION=BLACKS , CONSTRUCTION = WHITES( Saikolojia iko wazi kabisa)

Arovera

JF-Expert Member
Nov 19, 2013
10,985
28,566
Wakuu
Huo mtazamo hapo juu hua unasemwa na wazungu lakini tunalipuka kulaumu kiuhalisia huo ndio ukweli wenyewe.

Tuangazie mambo machache kabisa na visa kadhaa.

Angalia kama uongozi katika shirika fulani kama kiongozi alikua mzungu halafu akaondoka akamwacha kiongozi mweusi hakika hilo shirika uhai na ufanisi wake ni mdogo kupita maelezo hata kama kila kitu ataachiwa kama kilivo, au angalia hospital ambayo kiongozi ni mzungu au mtoa huduma ni mzungu unaweza kufikia kusema hawa madaktari wetu wanaopasua kichwa badala ya mguu walisomea wapi?
Wazungu wanapambana kujenga nchi zao wakishazijenga tena kwa rasilimali kutoka kwetu na sisi kama nyumbu kila siku tunalilia kwenda kwao huku kwetu tukiharibu, yaani tunaacha rasilimali kwetu kosa tutumie kujenga kwetu tunaenda walikojenga wengine, wao wanatoka kwao kuja kutafuta kwetu na kujenga kwao sisi tupotupo tu hatujui lolote.

Angalia kama kuna kiongozi mzungu anaeiba pesa nchini kwake na kuja kuficha Afrika kamwe huwezi kumkuta lakini viongozi wetu fahari kuiba na kwenda kuficha nje huko, au kiongozi mwingine anajenga majumba huko ulaya wakati wala mzungu hawezi kujenga nyumba afrika zaidi atakuja kutalii na kuwekeza.
Angalia nyumba anayokaa mzungu inakua na garden na maua safi akihama hapo akiachiwa black miezi miwili ni mingi nyasi na maua yote utakuta yameshakauka,

Angalia hotuba za viongozi wao huwezi kukuta mifano ya ngono na pombe lakini viongozi weusi bila mifano ya ngono na pombe bado wanaona hawajaeleweka kiufupi tunapenda ngono na kuiwaza muda wote.
Mtazamo wa mtu mweusi kiuhalisia ni hafifu kwenye mambo mengi kuliko kawaida kwa mfano watu walitaka uhuru wa nchi zao ndio wakapewa ajabu nchi zimekua maskini kuliko zilivokua na wakolonj hapo ndio utajua kuna tatizo yaani wanakuita ukakope mapesa kwao, unaenda kama mbuzi unakopa, Ukishindwa kulipa inabidi waangalie rasilimali ya kuchukua yaani madini au mali zozote ili wafidie madeni kiufupi ujue bado mnatawaliwa japo mlipandisha bendera zenu wakatoa zao maana njia kuu za uchumi haumiliki wewe inatia hasira lakini ndio basi tena.

Hebu weka visa vingine tujifunze tuone tunakwama wapi.
 
Wakuu
Huo mtazamo hapo juu hua unasemwa na wazungu lakini tunalipuka kulaumu kiuhalisia huo ndio ukweli wenyewe.
Tuangazie mambo machache kabisa na visa kadhaa.
Angalia kama uongozi katika shirika fulani kama kiongozi alikua mzungu halafu akaondoka akamwacha kiongozi mweusi hakika hilo shirika uhai na ufanisi wake ni mdogo kupita maelezo hata kama kila kitu ataachiwa kama kilivo, au angalia hospital ambayo kiongozi ni mzungu au mtoa huduma ni mzungu unaweza kufikia kusema hawa madaktari wetu wanaopasua kichwa badala ya mguu walisomea wapi?
Wazungu wanapambana kujenga nchi zao wakishazijenga tena kwa rasilimali kutoka kwetu na sisi kama nyumbu kila siku tunalilia kwenda kwao huku kwetu tukiharibu, yaani tunaacha rasilimali kwetu kosa tutumie kujenga kwetu tunaenda walikojenga wengine, wao wanatoka kwao kuja kutafuta kwetu na kujenga kwao sisi tupotupo tu hatujui lolote.
Angalia kama kuna kiongozi mzungu anaeiba pesa nchini kwake na kuja kuficha Afrika kamwe huwezi kumkuta lakini viongozi wetu fahari kuiba na kwenda kuficha nje huko, au kiongozi mwingine anajenga majumba huko ulaya wakati wala mzungu hawezi kujenga nyumba afrika zaidi atakuja kutalii na kuwekeza.
Angalia nyumba anayokaa mzungu inakua na garden na maua safi akihama hapo akiachiwa black miezi miwili ni mingi nyasi na maua yote utakuta yameshakauka,
Angalia hotuba za viongozi wao huwezi kukuta mifano ya ngono na pombe lakini viongozi weusi bila mifano ya ngono na pombe bado wanaona hawajaeleweka kiufupi tunapenda ngono na kuiwaza muda wote.
Mtazamo wa mtu mweusi kiuhalisia ni hafifu kwenye mambo mengi kuliko kawaida kwa mfano watu walitaka uhuru wa nchi zao ndio wakapewa ajabu nchi zimekua maskini kuliko zilivokua na wakolonj hapo ndio utajua kuna tatizo yaani wanakuita ukakope mapesa kwao, unaenda kama mbuzi unakopa, Ukishindwa kulipa inabidi waangalie rasilimali ya kuchukua yaani madini au mali zozote ili wafidie madeni kiufupi ujue bado mnatawaliwa japo mlipandisha bendera zenu wakatoa zao maana njia kuu za uchumi haumiliki wewe inatia hasira lakini ndio basi tena.
Hebu weka visa vingine tujifunze tuone tunakwama wapi.
Tatizo Afrika tumeipa nguvu na thamani kubwa mno SIASA kuliko weledi na taaluma.

We uliona wapi ! Mtunga sheria za Nchi ( kodi na namna ya kuongoza Nchi) ajue kusoma na kuandika tu huku msimamizi wa hizo sheria ni form four leaver (Polisi ) halafu mtafsiri wa sheria hizo zilizotungwa na darasa la saba ni degree holder. MAAJABU SANA

ACHA TU ILA TUTAKUFA WOTE WATAKUJA WENYE AKILI JAPO KIDOGO.
 
Tatizo Afrika tumeipa nguvu na thamani kubwa mno SIASA kuliko weledi na taaluma.

We uliona wapi ! Mtunga sheria za Nchi ( kodi na namna ya kuongoza Nchi) ajue kusoma na kuandika tu huku msimamizi wa hizo sheria ni form four leaver (Polisi ) halafu mtafsiri wa sheria hizo zilizotungwa na darasa la saba ni degree holder. MAAJABU SANA

ACHA TU ILA TUTAKUFA WOTE WATAKUJA WENYE AKILI JAPO KIDOGO.

Aibu mtunga sheria akitoa maoni yake unaona kabisa huyu alitakiwa awe mwehu awe anazurura tu majalalani hadhi ya kuwakilisha watu hana lakini ndio hivo wame huko huko ndani ndani
 
Hayo majitu ya pink wangese kweli kweli walahi
Waendelee kula mavi yao tu!
Total fools
 
- Umeunganisha watu weusi na uharibifu pia watu weupe na uundaji but umesahau kwamba kuna nchi masikini ambazo wakazi wake ni weupe. What do you say about that?

- Kasome theory ya Maslow's Hierarchy of needs, ukiielewa hii theory inaweza kuelezea vizuri utofauti wa maendeleo between populations. Maslow anaelezea kwamba mahitaji ya mwanadamu yapo katika levels na in any way huwezi ruka level moja kwenda nyingine, lazima level zote uzipitie. Maisha ni safari, kuna walioendelea zamani na tunaoendelea leo. Nitazielezea na kufafanua.

1. Physiological needs
Hapa kuna needs kama Chakula, Kupumua, Mavazi, Maji, na Makazi. Nikichukulia mfano wa Tz yetu bado population kubwa inastruggle kutoka hapa. Ubinafsi ni sifa kubwa hapa (hence the distruction)

2. Safety and security
Ukiacha majority ambao ni maskini waliosalia kwenye level ya kwanza, wanasiasa wengi na watumishi wa umma wa nchi za dunia ya tatu wanaangukia hapa. Ubinafsi ni sifa kubwa hapa pia hasa masuala ya kujilimbikizia mali, na Uchawa, na Umalaya wa kisiasa ( hence the distruction)

3. Love and Belonging
Hii ndio level ambapo watu hujipenda na kupenda watu wengine, au watu huwaza kufanyia nchi zao mambo makubwa, watu wanajiamini na wanawaza mafanikio. Nchi zilizo endelea raia wengi wako katika level hii. (Hivyo kufanya nchi zilizoendelea kuendelea zaidi)

4. Self Actualization
Hapa watu wanawaza mambo kama morality, Ubunifu, Kujikubali, na kuexprole their inner potential. Wanasiasa, na wanasayansi wa nchi zilizoendelea wanafall hapa, Watu kama Elon Musk. ( Again! hii inafanya nchi zilizoendelea kuendelea zaidi.)

- Kikubwa hapa sio weusi ama weupe HAPANA! Bali duniani tunaishi katika timelines tofauti za maendeleo, Na sababu kubwa ikiwa ni historia.
View attachment 2408690
 
- Umeunganisha watu weusi na uharibifu pia watu weupe na uundaji but umesahau kwamba kuna nchi masikini ambazo wakazi wake ni weupe. What do you say about that?

- Kasome theory ya Maslow's Hierarchy of needs, ukiielewa hii theory inaweza kuelezea vizuri utofauti wa maendeleo between populations. Maslow anaelezea kwamba mahitaji ya mwanadamu yapo katika levels na in any way huwezi ruka level moja kwenda nyingine, lazima level zote uzipitie. Maisha ni safari, kuna walioendelea zamani na tunaoendelea leo. Nitazielezea na kufafanua.

1. Physiological needs
Hapa kuna needs kama Chakula, Kupumua, Mavazi, Maji, na Makazi. Nikichukulia mfano wa Tz yetu bado population kubwa inastruggle kutoka hapa. Ubinafsi ni sifa kubwa hapa (hence the distruction)

2. Safety and security
Ukiacha majority ambao ni maskini waliosalia kwenye level ya kwanza, wanasiasa wengi na watumishi wa umma wa nchi za dunia ya tatu wanaangukia hapa. Ubinafsi ni sifa kubwa hapa pia hasa masuala ya kujilimbikizia mali ( hence the distruction)

3. Love and Belonging
Hii ndio level ambapo watu hujipenda na kupenda watu wengine, au watu huwaza kufanyia nchi zao mambo makubwa, watu wanajiamini na wanawaza mafanikio. Nchi zilizo endelea raia wengi wako katika level hii. (Hivyo kufanya nchi zilizoendelea kuendelea zaidi)

4. Self Actualization
Hapa watu wanawaza mambo kama morality, Ubunifu, Kujikubali, na kuexprole their inner potential. Wanasiasa, na wanasayansi wa nchi zilizoendelea wanafall hapa, Watu kama Elon Musk. ( Again! hii inafanya nchi zilizoendelea kuendelea zaidi.)

- Kikubwa hapa sio weusi ama weupe HAPANA! Bali duniani tunaishi katika timelines tofauti za maendeleo, Na sababu kubwa ikiwa ni historia.
View attachment 2408690

Psychological total view ndio nimetumia baada ya kuangalia mazingira na hata uhalisia wa mitazamo ya watu weusi je africa ingekaliwa na wazungu kwa vitu ilivonavyo na wakautilize ingekuaje leo? Je ulaya angeanza kuishi mtu mweusi kweli leo ingeweza kutamanika?
 
Psychological total view ndio nimetumia baada ya kuangalia mazingira na hata uhalisia wa mitazamo ya watu weusi je africa ingekaliwa na wazungu kwa vitu ilivonavyo na wakautilize ingekuaje leo? Je ulaya angeanza kuishi mtu mweusi kweli leo ingeweza kutamanika?
- Hakuna kitu chochote cha zaidi kwa watu weupe, we are all humans.

- Charles Darwin aliwahi sema " Survival for the fittest" ... Throughout history populations tofauti zimekua zikiwa kinara katika maendeleo katika mida tofauti na watu weusi pia wakiwemo. Kulikua na empires tajiri na hatari lakini leo imebaki historia. Unaweza kua developed leo ila baada ya miaka 1000 ukawa masikini wa kutupa, that's nature and the fit will always survive.

- Historia ndio inamuweka mtu mweusi katika position aliyopo leo lakini haimaanishi ataendelea kua hapo paka mwisho. One day Africa will be a super power ni suala la muda tu.
 
Back
Top Bottom