Desmond Tutu amshtaki mjukuu wake

eyetyna

Senior Member
Jun 24, 2011
148
17

150506150129_desmond_tutu_getty_640x360__nocredit.jpg

Askofu mkuu mstaafu wa mji wa Capetown na mshindi wa tuzo la Nobel Desmond Tutu pamoja na mkewe wamemshtaki na mashtaka ya uhalifu mjukuu wao.


Katika taarifa kupitia wakfu wa Desmond na Leah Tutu hawakutoa maelezo zaidi ,lakini maafisa wa polisi wa Afrika kusini wamesema kuwa wanachunguza kesi kuhusu uharibifu wa mali kwa makusudi.


Mjukuu huyo Ziyanda Palesa Tutu anatarajiwa kujisalimisha kwa polisi.

131217104400_tutu_512x288_afp_nocredit.jpg


Amesema kuwa amehuzunishwa sana.


Wakfu huo umesema kuwa familia imeshangazwa na kitendo hicho na wanatumai kwamba wataliweka nyuma swala hilo hivi karibuni.
 

150506150129_desmond_tutu_getty_640x360__nocredit.jpg

Askofu mkuu mstaafu wa mji wa Capetown na mshindi wa tuzo la Nobel Desmond Tutu pamoja na mkewe wamemshtaki na mashtaka ya uhalifu mjukuu wao.


Katika taarifa kupitia wakfu wa Desmond na Leah Tutu hawakutoa maelezo zaidi ,lakini maafisa wa polisi wa Afrika kusini wamesema kuwa wanachunguza kesi kuhusu uharibifu wa mali kwa makusudi.


Mjukuu huyo Ziyanda Palesa Tutu anatarajiwa kujisalimisha kwa polisi.

131217104400_tutu_512x288_afp_nocredit.jpg


Amesema kuwa amehuzunishwa sana.


Wakfu huo umesema kuwa familia imeshangazwa na kitendo hicho na wanatumai kwamba wataliweka nyuma swala hilo hivi karibuni.

Sasa si angemsamehe?,yeye si ni kiongozi wa dini,asamehe saba mara sabini.
 
Back
Top Bottom