Desktop yangu haina wifi

Desktop yangu haina wifi

memory card

JF-Expert Member
Joined
Dec 17, 2013
Posts
259
Reaction score
166
mashine yangu haina wifi kuna namna yoyote naweza fanya ika connect wifi kutoka kwa simu yangu
 
unatumia window gani?
wifi is a wireless networking technology that allows devices such as computers (laptops and desktops), mobile devices (smart phones and wearables), and other equipment (printers and video cameras) to interface with the Internet. ... Internet connectivity occurs through a wireless router
..hivyo bas itategemeana na kompyuta yaka mfano unatumia window7 or xp wich they are not inthe updating market nowadays, unaweza kwenda kwenye setting then network, na utaenda sehem ambpo utaitajika ku add network connection, ukimaliza iki kitu itakutaka apo easy tu washa sm yak hotspot then kwny kompyta yako kwenye iyo network uliyo adi itakuonesha list ya available wifi...but kma unatumia window10&8 is very simple sabbu ipo sehem yaku switch wifi&hotspot tethering
 
Haraka haraka nunua wifi ya usb bei ni around 10k mpaka 20k kkoo.

Kama unataka kitu cha uhakika andaa around 50k mpaka 100k Kanunue wifi ya pcie wifi 6 kabisa ambayo ina built in Bluetooth, hapa utapata wifi na Bluetooth ya kisasa kwenye desktop yako.
 
Haraka haraka nunua wifi ya usb bei ni around 10k mpaka 20k kkoo.

Kama unataka kitu cha uhakika andaa around 50k mpaka 100k Kanunue wifi ya pcie wifi 6 kabisa ambayo ina built in Bluetooth, hapa utapata wifi na Bluetooth ya kisasa kwenye desktop yako.

Usb Dongle inamtosha. mambo ya PCIe miaka 10 ijayo
 
Sio kila desktop ina wifi(network wireless) ila kama haina nunua usb wi-fi adapter ambayo inakuwa na CD yake kwa ajili ya installation na nyingine zinakuwa driver-free installation yani hauhitaji kufanya installation.
Pia unaweza kununua Wireless Network Card WiFi Adapter PCIe japo hii sio rahisi kama Usb Wi-Fi adapter.
 
Sio kila desktop ina wifi(network wireless) ila kama haina nunua usb wi-fi adapter ambayo inakuwa na CD yake kwa ajili ya installation na nyingine zinakuwa driver-free installation yani hauhitaji kufanya installation.
Pia unaweza kununua Wireless Network Card WiFi Adapter PCIe japo hii sio rahisi kama Usb Wi-Fi adapter.
asante sana mkuu nimepata mwanga
 
Haraka haraka nunua wifi ya usb bei ni around 10k mpaka 20k kkoo.

Kama unataka kitu cha uhakika andaa around 50k mpaka 100k Kanunue wifi ya pcie wifi 6 kabisa ambayo ina built in Bluetooth, hapa utapata wifi na Bluetooth ya kisasa kwenye desktop yako.
nashukuru sana chief
 
unatumia window gani?
wifi is a wireless networking technology that allows devices such as computers (laptops and desktops), mobile devices (smart phones and wearables), and other equipment (printers and video cameras) to interface with the Internet. ... Internet connectivity occurs through a wireless router
..hivyo bas itategemeana na kompyuta yaka mfano unatumia window7 or xp wich they are not inthe updating market nowadays, unaweza kwenda kwenye setting then network, na utaenda sehem ambpo utaitajika ku add network connection, ukimaliza iki kitu itakutaka apo easy tu washa sm yak hotspot then kwny kompyta yako kwenye iyo network uliyo adi itakuonesha list ya available wifi...but kma unatumia window10&8 is very simple sabbu ipo sehem yaku switch wifi&hotspot tethering
Desktop nyingi za kizamani hazina wifi adapter
 
Sio kila desktop ina wifi(network wireless) ila kama haina nunua usb wi-fi adapter ambayo inakuwa na CD yake kwa ajili ya installation na nyingine zinakuwa driver-free installation yani hauhitaji kufanya installation.
Pia unaweza kununua Wireless Network Card WiFi Adapter PCIe japo hii sio rahisi kama Usb Wi-Fi adapter.
asante kwa kunipa mwanga
 
unatumia window gani?
wifi is a wireless networking technology that allows devices such as computers (laptops and desktops), mobile devices (smart phones and wearables), and other equipment (printers and video cameras) to interface with the Internet. ... Internet connectivity occurs through a wireless router
..hivyo bas itategemeana na kompyuta yaka mfano unatumia window7 or xp wich they are not inthe updating market nowadays, unaweza kwenda kwenye setting then network, na utaenda sehem ambpo utaitajika ku add network connection, ukimaliza iki kitu itakutaka apo easy tu washa sm yak hotspot then kwny kompyta yako kwenye iyo network uliyo adi itakuonesha list ya available wifi...but kma unatumia window10&8 is very simple sabbu ipo sehem yaku switch wifi&hotspot tethering
desktop yangu nafikiri haina wifi wala bluetooth ndo tatizo ila kuunganisha naweza na inatumia window 10
 
nipo mkoa kwa sasa na hizo wifi usb adapter ni shida kuzipata nikiagiza hivi kutoka kikuu vitasaidia
Screenshot_20210610-062238.jpg
Screenshot_20210610-062226.jpg
 
Guys nimenunua usb wireless adapter kwa ajili ya desktop yangu. Compatibility yake inaishia kwenye windows 10 ila mimi natumia windows 11, inafanyakazi lakini ina ji disconnect mara nyingi mpaka inanikera. Je tatizo itakuwa ni hiyo windows 11??
 
Back
Top Bottom