Ofcoz jamaa katudhalilisha sana, ina maana hajui kama Architects na Cartographers tupo hapa hapa Tanzania? Tatizo tumezoea kila kitu ni mpaka mzungu tu.
Kazi nzuri mtoa mada japo nakushauri utoe sample tu ila usiweke Ground floor plan na "measurements" zake kama lengo ni matangazo tu, nadhani umenisoma hapa namaanisha nini