njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,084
- 8,663
Ni kocha wa zamani wa team ya taifa ya Uganda na pyramids ya misri anataka dollar 22,000 kwa mwezi Simba walitaka wampe 13,000, bado wanajadiliana.
Wapande hadi 18,000 atakubali kakaa muda bila kazi na najua akifanya maajabu simba ikafanya vizuri atapanda dau maana Uganda Cranes ilimpnadisha chati ila alivyofika misri alichemka.Hawezi kupunguza dau huyo
Naelewa simba wanachohofia kuna level ukishagusa kurudi nyuma ni ngumu namaanisha ki hela, kishingo alikuwa dollar 10,000 na wengi waliopita ni hiyo, kaze ni 11,000 sasa huyu akipata 22,000 huko mbeleni kuna makocha ambao hata hiyo 13,000 wangechukua lakini watakataa wakijua kwamba fulani alishawahi kupewaga kiasi fulani.Kocha mzuri huwezi kumpata kwa bei ndogo
Wafanye yote tu ila tupate kocha anayejua kufundisha defence vizuri mchi za ugenini na kupiga dead balls, Simba ya kina George Masatu kuanzia fouls, kona, penalti hawakukosi kamwe siku hizi tia tia maji tu.Lakini makocha wazuri wapo wengi wakitulia watawapata tena kwa bei nzuri
Anakuja kipindi kibaya Sana huyuNi kocha wa zamani wa team ya taifa ya Uganda na pyramids ya misri anataka dollar 22,000 kwa mwezi Simba walitaka wampe 13,000, bado wanajadiliana.
Awe kocha?Timu apewe Morrson
Hiyo B 20 ni pesa kidogo sana, kuweza kutosheleza mahitaji ya timu kama simba.Mo angeweka ile bilion kadhaa tungemsajili ila kwa sasa atuache kidogo.
Kwan Mo akiweka bilion 20 mezani bado Simba atapata 51% ya mapato ya Club. Sio kwamba 20b ikiwekwa ndo hapati tena kituHiyo B 20 ni pesa kidogo sana, kuweza kutosheleza mahitaji ya timu kama simba...
wandhani ni cash ndiyo maana kina mwanzoni vurugu zilikuw anyingi walijua ni cash inamwagwa watu waipige huoni hata kina nkwabi walikimbia cheo cha uenyekiti? usipopiga hela kwenye usajili ukapata cha juu hakuna mianya tena simba ya kuiba hela.Hiyo B 20 ni pesa kidogo sana, kuweza kutosheleza mahitaji ya timu kama simba...
wapi simba walitamka wanamtaka ibenge? kwani maneno ya washabiki wa simba ndiyo official statement ya club?kwa taarifa yako ibenge analipwa dollar 16,000 as vita simba haiwezi kushindwa kumchukua interview yake ya juzi pale taifa mwenyewe alisema ikipatikana nafasi hatakataa kufundisha simba ila yuko bize na team ya taifa pia anachukua mishahara miwiliSi mlisema ibenge? Mnahangaika.
Kaze for life
hiyo ndo maana halisi ya utopolowapi simba walitamka wanamtaka ibenge? kwani maneno ya washabiki wa simba ndiyo official statement ya club?kwa taarifa yako ibenge analipwa dollar 16,000 as vita simba haiwezi kushindwa kumchukua interview yake ya juzi pale taifa mwenyewe alisema ikipatikana nafasi hatakataa kufundisha simba ila yuko bize na team ya taifa pia anachukua mishahara miwili
kabisa aliondoka kwa ubaya sana hata kule south black leopards pia kaondoka kwa dharau kawakandia kiwanja chao cha mazoezi,alikuwa bado hotelini wanamtaftia nyumba kawazengua akapigwa mechi 3 mfululizo wakaachana nayeKwa hatua waliyofikia Simba ni nzuri kwa ajili ya kutengeneza CV ya kocha yeyote.
Kama vipi Simba imrejeshe Uchebe japo tatizo lake alijiharibia alipoondoka alisema baadhi ya viongozi hawana elimu na kuishia kuwakera.