Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,997
- 1,163
Hivi unadhani walio na mamlaka watachukua hatua yoyote kutokana na taarifa hii? Itakuwa ajabu sana kama waki-actdaah mkuu unahatarisha kazi ya mwenzio aseeehhhhhhhhhhh.................huh
Hivi unadhani walio na mamlaka watachukua hatua yoyote kutokana na taarifa hii? Itakuwa ajabu sana kama waki-actdaah mkuu unahatarisha kazi ya mwenzio aseeehhhhhhhhhhh.................huh
Buji ukiamka na hasira ndo basi tena, au mamaa hakukupa chai ya alfajiri.
Bujibuji mkuu wangu ulicho kipost kinaweza kumletea matatizo makubwa muhusika
na mbaya zaidi kutaja hadi no zake, yawezekana habari zika mfikia boss akahamishiwa madongo kuinama
Kama wewe ni mkaazi wa DSM na unadrive this how game played mabarabarani,
Some time hizi post zingine tunazopost just for fun hazifai, bora usinge taja no
Pole kwa kukusikitisha lakini nakwambia ukweli mkuu kila mtu ananamna yake ya kuishi kutokana na mazingira yake ya kazi, inawezekana kabisa hapo ulipo hata wewe unatumia net ya ofisi kuprowse JF.Umenisikitisha mwanajamii..........nadhani hii ni njia mojawapo ya kurekebishana........angekuwa dereva wa gari binafsi maneno yako sawa....hata la umma?
Pole kwa kukusikitisha lakini nakwambia ukweli mkuu kila mtu ananamna yake ya kuishi kutokana na mazingira yake ya kazi, inawezekana kabisa hapo ulipo hata wewe unatumia net ya ofisi kuprowse JF.
Kama amechelewa kumchukua boss na anataka kuwahi vile ndivyo mimi na wewe tungefanya bara barani, bujibuji amepost just for fun bana
Teh teh teeeh mkuu kwenye red umetumia umaimuma wangu wa kiinglishi kukwepa kujibu hoja ha haaMkuu heshima mbele!..........uharaka wa jambo pengine huletwa na kutopanga vema muda wa mtu husika.......hilo la kuprowse net ya ofisi sijakupata vizuri...uzoefu wangu ni kuwa madereva wa serikali huwa hawana subira hata siku moja...na wanaongoza kwa kuvunja sheria barbarani ilanza na JW sasa STK....PT...DFP......wao na haraka tu? hapana nadhani na dharau pia....mifano iko mingi
Teh teh teeeh mkuu kwenye red umetumia umaimuma wangu wa kiinglishi kukwepa kujibu hoja ha haa
Ngoja nichunguli dikshenari.......... ok ni ku browse JF kwa net ya ofisini kwa kuiba
Niko Kilwa Road naelekea Temeke. Kuna gari la serikali Toyota Land Cruiser, dereva wake anafanya fujo barabarani.
Aliomba apite mbele ya vitz ya mdada mmoja, dada kamnyima, anamtishia kumgonga, hakika hana etrhics za udereva wa serikali.
Buji ndio bonge wa clouds?
kodi zetu babaaa.... akigonga hilo atapewa jingine
Ila huyo mdada naye mpuuzi... kwanini asimpishe huyo dereva kuepusha shari? kuna faida gani kushindana na mjinga?
Buji ukiamka na hasira ndo basi tena, au mamaa hakukupa chai ya alfajiri.
Mkuu heshima mbele!..........uharaka wa jambo pengine huletwa na kutopanga vema muda wa mtu husika.......hilo la kuprowse net ya ofisi sijakupata vizuri...uzoefu wangu ni kuwa madereva wa serikali huwa hawana subira hata siku moja...na wanaongoza kwa kuvunja sheria barbarani ilanza na JW sasa STK....PT...DFP......wao na haraka tu? hapana nadhani na dharau pia....mifano iko mingi
si kivilee bro. hapa ofisi ya kandoro kuna dereva alikunywa ulabu mwingi wa mke wa pinda wakidhani atalala ikulu, mishale ya saa nane akawakurupua wameshalewa na kuwambia atalala kijijini kwao hapa wilaya ya kwimba/ kama sio misungwi. dereva alilikurupua gari akasababisha landcruiser likaanguka ubavu na kuvunja site millor na kioo kimoja cha upande wa dereva.
mpaka sasa dereva yuko benchi, itamchukua mda kupewa gari tena.
<br />And you can drive and surf?,<br />
and get in the jamvi?,<br />
and read posts?,<br />
and start threads?,<br />
What kind of driver are you?<br />
How do you differ from huyo wa STK?
hahhahah,umeiacha hoi kwa hilihawa wa STK, JW PT huwa wanajiona wako juu ya sheria, wakiamua wanaweza hata kurudi kinyumenyume kwenyehighway na tarffic hatasema kitu
<br /><font color="#4b0082"><span style="font-family: century gothic">Bujibuji mkuu wangu ulicho kipost kinaweza kumletea matatizo makubwa muhusika<br />
na mbaya zaidi kutaja hadi no zake, yawezekana habari zika mfikia boss akahamishiwa madongo kuinama<br />
Kama wewe ni mkaazi wa DSM na unadrive this how game played mabarabarani, <br />
Some time hizi post zingine tunazopost just for fun hazifai, bora usinge taja no</span></font>
sifahamu kama angalau una a b c ya driving!!1kodi zetu babaaa.... akigonga hilo atapewa jingine
Ila huyo mdada naye mpuuzi... kwanini asimpishe huyo dereva kuepusha shari? kuna faida gani kushindana na mjinga?