ngongoti2000
JF-Expert Member
- Nov 20, 2017
- 2,235
- 2,123
Hakuna uhusiano kati ya mambo ya biashara na mambo ya kipumbavu kama kumamatwa, kuugua nk...inatakiwa alete hesabu bila stori yeyote.....Hello guys,
Kwa wiki 4 sasa huyu dereva hajaniletea hesabu ingawa kipindi cha mwanzo alikuwa ananileteaga, kila wiki anakuja na sababu mara kauguliwa na mtoto, Mara mvua, Mara pikipiki imekamatwa..etc
Bahati nzuri sitegemei bodaboda inilishe, kwa wamiliki wa bodaboda humu JF mliokutana na changamoto hizi mliwezaje ku-solve hii issue?
Naombeni ushauri kabla sijahitimisha maamuzi yangu.
Majungu sitaki..