Dereva na bosi wake....

Dereva na bosi wake....

majany

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2008
Posts
1,223
Reaction score
586
Mwajiriwa:"Boss umeniita?"
Boss:"Yeah,nenda ukapige
punyeto{masterbate}."
Mwajiriwa: (baada ya muda)
"Tayari boss,nimepiga."
Boss:"Nenda kapige tena!"
Mwajiriwa: (baada ya muda
mfupi) "Tayari,nimeshapiga
tena."
Boss:"Ok,nenda kapige tena
mara ya mwisho."
Mwajiriwa:"Boss nimeishiwa
na nguvu,sina tena uwezo wa
kupiga punyeto."
Boss:"Vizuri sana,haya sasa
chukua funguo za
gari...mpeleke binti yangu
nyumbani."
 
Pwahahahahahahah


Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
duiiiiiiiii ebwana ndugu ungeweka taadhar maaana nimechekaaa mpaka machoz yamenitoka,ebwana umetisha yan baridaaaaaaaaaa!!!!!!!!
 
ila kaka binti c mkono usishangae kitu winga tena afu binti wa bosi akapata madhara
 
Mwajiriwa:"Boss umeniita?"
Boss:"Yeah,nenda ukapige
punyeto{masterbate}."
Mwajiriwa: (baada ya muda)
"Tayari boss,nimepiga."
Boss:"Nenda kapige tena!"
Mwajiriwa: (baada ya muda
mfupi) "Tayari,nimeshapiga
tena."
Boss:"Ok,nenda kapige tena
mara ya mwisho."
Mwajiriwa:"Boss nimeishiwa
na nguvu,sina tena uwezo wa
kupiga punyeto."
Boss:"Vizuri sana,haya sasa
chukua funguo za
gari...mpeleke binti yangu
nyumbani."

nyooo...huyu boss komesha mbaya,, yaani dereva akifika nyumbani kwa boss vibinti vyote vitakuwa salama.

Dereve watch out, huyo hakutakii mema.

BOOOSSSSS.....
 
Back
Top Bottom