Halafu konda mwenyewe ni Bashite what do you expect.sasa mkuu konda na utingo wapo mbele wamefunga vioo inakuwaje sasa
mizoga tuHalafu konda mwenyewe ni Bashite what do you expect.
Silence can be a golden answerWakati anazindua reli ya SG rais alisema yeye kama dereva hasikilizi wala kuwaangalia abiria wake.
Wakati nachukua kozi yangu ya udereva pale NIT, supervisor wangu alinieleza kuwa, ukitaka kuwa dereva mzuri hasa dereva wa magari ya abiria lazima uheshimu mawazo na maoni ya abiria uliowapakia.
Wewe ni binadamu, mwili huchoka na akili huchoka, wakati wa safari ndefu kutokana na uchovu unaweza kupitiwa na usingizi kwa sekunde kadhaa (blink of an eye) ukasababisha ajali, kutokana na uchovu unaweza kujikuta unaongeza spidi bila kujitambua, imeshatokea.
Inawezekana abiria anataka kukutaarifu ajali ya moto iliyotokea siti ya nyuma, inawezekana buti la nyuma limefunguka na mzigo umedondoka bila wewe kuwa na habari. Inawezekana vile vile abiria wanataka kukupa taarifa ya mgonjwa au mjamzito ndani ya lori (basi) unaloendesha. Kwa hiyo kuziba masikio kwa dereva kunaweza kusababisha ajali zisizo za lazima.
Mimi nafikiri dereva mzuri ni yule anayejali na kuwasikiliza abiria wake. View attachment 495013
Kwahiyo alimaanisha sisi ni mizigo.Kwanini unadhani alitolea mfano was lorry si bus,?kawaida tumezoea tunasafiri na bus,kuhusu lorry ni mizigo,na uhalisia wa lorry hata kimuundo linanafasi ya dereva,konda(sio makonda) na walau nafasi ya MTU mmoja.Huyu dereva alipotoa mfano wa lorry alikuwa na mana pana sana,angeongelea bus tungekuwa na maswali mengi.Tumedandia wenyewe lorry wakati buss lipo,wacha tupelekwe kama mizigo
Akili za kuzaliwa changanya na zadarasani bila kusahau za mtaani nduguKwahiyo alimaanisha sisi ni mizigo.
Sehemu yeyote ambayo imekosa masikilizano inatambulika kama ni Fujo au vurugu na kwenye fujo au vurugu hakuna mazungumzo kwani mazungumzo ni masikilizano na kuongea kwa kupokezana nje ya hapo ni fujo na kama ni fujo inatakiwa dereva apeleke gari kwenye usalama ambapo ni Police hata kwenye ndege inapotokea fujo pilot anafunga mlango wake na kuhakikisha ndege hiko salama then anatua uwanja ambao uko karibu so awezi kuacha kuendesha ndege kuja kusikiliza abiria mnapigizana kelele kwa sababu gani
Upo sawa ila sio abiria akufundishe jinsi ya kukata kona. Hiyo haikubaliki!Wakati anazindua reli ya SG rais alisema yeye kama dereva hasikilizi wala kuwaangalia abiria wake.
Wakati nachukua kozi yangu ya udereva pale NIT, supervisor wangu alinieleza kuwa, ukitaka kuwa dereva mzuri hasa dereva wa magari ya abiria lazima uheshimu mawazo na maoni ya abiria uliowapakia.
Wewe ni binadamu, mwili huchoka na akili huchoka, wakati wa safari ndefu kutokana na uchovu unaweza kupitiwa na usingizi kwa sekunde kadhaa (blink of an eye) ukasababisha ajali, kutokana na uchovu unaweza kujikuta unaongeza spidi bila kujitambua, imeshatokea.
Inawezekana abiria anataka kukutaarifu ajali ya moto iliyotokea siti ya nyuma, inawezekana buti la nyuma limefunguka na mzigo umedondoka bila wewe kuwa na habari. Inawezekana vile vile abiria wanataka kukupa taarifa ya mgonjwa au mjamzito ndani ya lori (basi) unaloendesha. Kwa hiyo kuziba masikio kwa dereva kunaweza kusababisha ajali zisizo za lazima.
Mimi nafikiri dereva mzuri ni yule anayejali na kuwasikiliza abiria wake. View attachment 495013
YUKO KWENYE MWENDO KASIWakati anazindua reli ya SG rais alisema yeye kama dereva hasikilizi wala kuwaangalia abiria wake.
Wakati nachukua kozi yangu ya udereva pale NIT, supervisor wangu alinieleza kuwa, ukitaka kuwa dereva mzuri hasa dereva wa magari ya abiria lazima uheshimu mawazo na maoni ya abiria uliowapakia.
Wewe ni binadamu, mwili huchoka na akili huchoka, wakati wa safari ndefu kutokana na uchovu unaweza kupitiwa na usingizi kwa sekunde kadhaa (blink of an eye) ukasababisha ajali, kutokana na uchovu unaweza kujikuta unaongeza spidi bila kujitambua, imeshatokea.
Inawezekana abiria anataka kukutaarifu ajali ya moto iliyotokea siti ya nyuma, inawezekana buti la nyuma limefunguka na mzigo umedondoka bila wewe kuwa na habari. Inawezekana vile vile abiria wanataka kukupa taarifa ya mgonjwa au mjamzito ndani ya lori (basi) unaloendesha. Kwa hiyo kuziba masikio kwa dereva kunaweza kusababisha ajali zisizo za lazima.
Mimi nafikiri dereva mzuri ni yule anayejali na kuwasikiliza abiria wake. View attachment 495013
Wakati anazindua reli ya SG rais alisema yeye kama dereva hasikilizi wala kuwaangalia abiria wake.
Wakati nachukua kozi yangu ya udereva pale NIT, supervisor wangu alinieleza kuwa, ukitaka kuwa dereva mzuri hasa dereva wa magari ya abiria lazima uheshimu mawazo na maoni ya abiria uliowapakia.
Wewe ni binadamu, mwili huchoka na akili huchoka, wakati wa safari ndefu kutokana na uchovu unaweza kupitiwa na usingizi kwa sekunde kadhaa (blink of an eye) ukasababisha ajali, kutokana na uchovu unaweza kujikuta unaongeza spidi bila kujitambua, imeshatokea.
Inawezekana abiria anataka kukutaarifu ajali ya moto iliyotokea siti ya nyuma, inawezekana buti la nyuma limefunguka na mzigo umedondoka bila wewe kuwa na habari. Inawezekana vile vile abiria wanataka kukupa taarifa ya mgonjwa au mjamzito ndani ya lori (basi) unaloendesha. Kwa hiyo kuziba masikio kwa dereva kunaweza kusababisha ajali zisizo za lazima.
Mimi nafikiri dereva mzuri ni yule anayejali na kuwasikiliza abiria wake. View attachment 495013
Mwenye jukumu la kuongea na abiria ni kondakta sio dereva la si hivyo gari litapata ajari mana kila mtu amwongeleshe dereva amsikilize huku aendeshe gari wapi na wapi.
We ongea na konda ujumbe utafika.