James 25th
Member
- Feb 24, 2025
- 38
- 17
Habarini Wana jamii forum.
Kwa majina naitwa JOSHUA E JAMES, Mimi ni Dereva kwa mda mrefu Sasa nikibezi kwenye upande wa gari ndogo za watu. Nimekua nikifanya KAZI kwenye office mbalimbali kama Dereva wa office kwa Ajira ya kuendesha ma Boss, pia nimekua nikiwaendesha watu Binafsi/ Dereva wa familia, lakini nimekua nikitumika kama dereva wa MDA mfupi ( yadi Kazi kwa masaa), nanimefanya Kazi ya kama transporter( msafulisha magari) kwenda mikoa mbali mbali.
Ujuzi
1: ninaujuzi mzuri wakuendesha chombo Cha moto.
2: Kutambua matatizo ya gari pamoja nakufanya mategenezo madogo madogo.
3: Ufataji wa Sheria za barabarani.
4: Matumizi ya rugha (kingereza na kiswahili).
Pia, kutokana na Elim nje ya fani ya udereva, naweza kufanya mambo mengine ya kiofisi yanapo HITAJIKA.
Nimaombi yangu kwenu, Kwamtu yeyote/taasisi/familia, Yenye uhitaji wa dereva nipo teali kufanya Kazi kwa makubaliano tutakayo Kubaliana.
Mawasiliano yangu.
Phone: 0627776134
Email: jamesjoshuaem@gmail.com
🙏
Kwa majina naitwa JOSHUA E JAMES, Mimi ni Dereva kwa mda mrefu Sasa nikibezi kwenye upande wa gari ndogo za watu. Nimekua nikifanya KAZI kwenye office mbalimbali kama Dereva wa office kwa Ajira ya kuendesha ma Boss, pia nimekua nikiwaendesha watu Binafsi/ Dereva wa familia, lakini nimekua nikitumika kama dereva wa MDA mfupi ( yadi Kazi kwa masaa), nanimefanya Kazi ya kama transporter( msafulisha magari) kwenda mikoa mbali mbali.
Ujuzi
1: ninaujuzi mzuri wakuendesha chombo Cha moto.
2: Kutambua matatizo ya gari pamoja nakufanya mategenezo madogo madogo.
3: Ufataji wa Sheria za barabarani.
4: Matumizi ya rugha (kingereza na kiswahili).
Pia, kutokana na Elim nje ya fani ya udereva, naweza kufanya mambo mengine ya kiofisi yanapo HITAJIKA.
Nimaombi yangu kwenu, Kwamtu yeyote/taasisi/familia, Yenye uhitaji wa dereva nipo teali kufanya Kazi kwa makubaliano tutakayo Kubaliana.
Mawasiliano yangu.
Phone: 0627776134
Email: jamesjoshuaem@gmail.com
🙏