Dereva anahitajika haraka

Dereva anahitajika haraka

0717656883 ndugu namba yangu hiyo naomba nipate hiyo Kazi uzoefu ninao wakutosha nisaidie kunitafuta
 
Habarini,
Dereva anatafutwa,awe mkazi wa Dar es Salaam na mwenye kuyajua fika mazingira ya mji huu.
Jukumu lake ni kumpekeka mtu kazini na kumrudisha,lakini pia kutimiza majukumu yake kadri anatavyoagizwa ndani wiki nzima.
SIFA ZA DEREVA;
~Awe mwaminifu na mkweli na aipende kazi/ofisi yake
~Awe na leseni inayotumika na inayokubalika kwa mujibu wa sheria za nchi.
~Awe na uzoefu wa kutosha wa muda mrefu barabarani.
~Asiwe mtumiaji wa kilevi chochote wakati wa kazi.
~Asiwe mbabaishaji na mjanjamjanja/ujuaji usio na maana
~Mwajiri anaishi Chanika,hivyo ni vema dereva nae akawa mkazi wa hapo au hata eneo jirani ili kuwahi ratiba yake ya kazi bila kuchelewa.
NB: ~Ratiba ya kazi inaanza aksubuhi sana na kumalizika usiku.
NJOO PM NA CV YAKO.

Mshahara: 350.000/-400.000/
Karibuni.
Hello!!!my name is James patrick I have just seen your advert for a driver position and I would be very keen to apply for this role. I have a good working knowledge of many areas and enjoy driving...i believe that I am a safe driver.?.i am a hardworking individual who has a mature and responsible attitude towards my work. I am flexible on my approach to work and have no restrictions in terms of hours and able to make deadlines as required by the company. Have enclosed my CV for you to look at my experience in details.
If you have any questions please do not hesitate to contact me and I will be happy to answer any questions u may have.I look forward to hearing from you.
 

Attachments

Hello!!!my name is James patrick I have just seen your advert for a driver position and I would be very keen to apply for this role. I have a good working knowledge of many areas and enjoy driving...i believe that I am a safe driver.?.i am a hardworking individual who has a mature and responsible attitude towards my work. I am flexible on my approach to work and have no restrictions in terms of hours and able to make deadlines as required by the company. Have enclosed my CV for you to look at my experience in details.
If you have any questions please do not hesitate to contact me and I will be happy to answer any questions u may have.I look forward to hearing from you.0758659261 email jpmkwabi08@gmail.com
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom