security guard
JF-Expert Member
- Sep 27, 2011
- 799
- 603
Huo ni uongo, hakuna anaeweza kukata tawi alilokalia. Kwa mantiki hiyo mtu hawezi kukadiria nikilitupa gari mtaroni mimi nitasalimika au nitaumia kidogo.
Jamaa anataka kutuletea stori kama za Ngongo na Lema.
Hivi kwa nini dereva wa mkulu asipitilize gari pale ocean road, tukaambiwa mkulu kaibukia mkondo wa nungwi!!!??? Nauliza tu! Maderava kama hawa wanahitajika sana, haswa kipindi hiki cha mabadiliko!
Hivi kwa nini dereva wa mkulu asipitilize gari pale ocean road, tukaambiwa mkulu kaibukia mkondo wa nungwi!!!??? Nauliza tu! Maderava kama hawa wanahitajika sana, haswa kipindi hiki cha mabadiliko!