Depo inakuaje huko CCP Moshi

Hakuna depo la kuogopa dogo! depo unaenda na pass ya kunyooshea nguo? uko ni urembo urembo tu na kufukuzana bila sababu

Urembo urembo!!!! U have noo idea with what u r saying. kwa maana nyingine you r fooling the guy in need of proper info. Ukitaka kujua kama ni urembourembo nenda hata kwa siku tatu tu katika mafunzo hayo halafu utuletee majibu kama ni urembo unaousema au laaa

The Listener
Ex Detective
 
Kama we mtu wa mademu sana jiandae Kupiga nyeto ..

masuala ya kujaamiana asahau kwa muda hadi atakapomaliza. Hili ni moja kati ya kosa kubwa na zama nilipokuwa kule ccp kuna watu walifukuzwa kwa kosa hili. Hili ni moja kati ya makosa serious na adhabu yake ni kufukuzwa

The Listener
Ex Detective
 

Nilikuwa napiga soka na volleyball na vilinisaidia na matifu ya usawa wa kambi/platoon na mifatiki hasa ile ya jioni baada ya menu.

Mkuu depo la namba B nini? Mimi namba F zama zile za Mzee Masatu (sasa ni marehemu) tulikwenda dsm na butiama kumzika nyerere.

The Listener
Ex dETECTIVE
 

ha ha haha hata mimi handball ndio ilinitoa nilkuwa nasafiri kimichezo nikiwa depo.....uganda , kenya etc...
Number A -prison

Ex-SGT.....!!
 
usikTishe ruti ya mchaka mchaka ukapitia lower gate utajuta kuna ofisa mmoja alinikamata kipindi nipo depo aise nilijuta ok kama unataka kuwa kamanda aka mpiganaji usikimbie au usitoroke kipindi chochote 4sure u,'ll be compitent as mpiganaji otherwise hata ukipigwa kibao mtaani utashindwa kujitetea
 
Wadau mlio piga interview tupen infor bhas harakat zinakwendaje huko? Mbona kimya wakat mlikua mnakesha kuulzia zitatoka lini.
 
Wadau mlio piga interview tupen infor bhas harakat zinakwendaje huko? Mbona kimya wakat mlikua mnakesha kuulzia zitatoka lini.

Matokeo ya usaili tar8-10, tuliza Munkari
 
kazi kubwa ni kufyeka nyasi hasa miezi ya mvua kuanzia february hadi july mkono damu itavilia
 
kuna binamu yangu anapenda kujiunga na jeshi hili mwaka kesho atakapo maliza masomo yake ila atakua na umri wa miaka 26 kweli atachukuliwa ????
 
jiandae kupigwa nua, na kupigwa kibati ndo lugha za huko, disco kila siku sofa makalio, mziki makofi yako, yanyukwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…