Lukataluko
JF-Expert Member
- Nov 20, 2017
- 1,345
- 1,572
Habarini za asubuhi wana jukwaa? natumai mu waxima wa afya, na wale wote wanaosumbuliwa na maradhi natamka uzima juu yao, kwa mamlakaya jina lipitalo majina yote, kwa jina la Yesu kristo wa razareth uwe mzima tangu sasa kuanzia unyayo wa mguu mpaka mpaka utosi wa kichwa, na mtu mmoja aseme aimeni.
Wandugu ni muda mrefu sasa mimi binafsi sijabahatika kuona bandiko lolote kutoka kwa ndugu yetu muheshimiwa sana Deogratius Nalimi mwana wa kisandu.
Toka akutane na yale maswahabu yake ya kuwekwa ndani baada ya kutuhumiwa kuandika ujumbe wa matusi kwenye mitandao ya kijamii sijawahi kumuona tena hapa jukwaani, tafadhari mtu mwenye update yeyote kuhusu huyu ndugu yetu naomba atupatie.
Natanguliza shukrani zangu zadhati kwenu, usiyekuwa na taarifa yeyote naomba upite kimyakimya.
Wandugu ni muda mrefu sasa mimi binafsi sijabahatika kuona bandiko lolote kutoka kwa ndugu yetu muheshimiwa sana Deogratius Nalimi mwana wa kisandu.
Toka akutane na yale maswahabu yake ya kuwekwa ndani baada ya kutuhumiwa kuandika ujumbe wa matusi kwenye mitandao ya kijamii sijawahi kumuona tena hapa jukwaani, tafadhari mtu mwenye update yeyote kuhusu huyu ndugu yetu naomba atupatie.
Natanguliza shukrani zangu zadhati kwenu, usiyekuwa na taarifa yeyote naomba upite kimyakimya.