Deo Ndejembi kuwa Makamu wa Rais

Deo Ndejembi kuwa Makamu wa Rais

Ngoja tusubiri na hii tuone kama tukiwa bado hai itakuwaje
Screenshot_20260826-232518.jpg
 
Kutokana na sintofahamu inayoendelea na kufuatia kujiuzulu kwa Makamu wa Rais Mh. Emmanuel NCHIMBI, duru zinaonyesha mwenye nafasi kubwa ya kuchukua kijiti basi ni kijana wetu Deogratius Ndejembi
Yaani CCM wanatuambia ikitokea Samia anakufa akiwa raisi huyu jamaa ndio anakuwa raisi wa Tanzania, sivyo?
 
Back
Top Bottom