Kuna mdau anasema hiyo ni nafasi ya wazeeKutokana na sintofahamu inayoendelea na kufuatia kujiuzulu kwa Makamu wa Rais Mh. Emmanuel NCHIMBI, duru zinaonyesha mwenye nafasi kubwa ya kuchukua kijiti basi ni kijana wetu Deogratius Ndejembi
Mkuu, lazima nianzishe nyuzi kwa 🆔 zangu zote.
Keep it up tetesi ziwe nyingi 😂Mkuu, lazima nianzishe nyuzi kwa 🆔 zangu zote.
Natumai nitabahatusha tu, na 🆔 moja itakayoshinda itapata sifa.
Sawa kabisa.Keep it up tetesi ziwe nyingi 😂
Majina ambayo bi mkubwa kayapendekeza yapelekwe bungeni inasemekana ni haya wasira paramagamba kabudi January makamba kasim majaliwa na waziri mkuu aliepo madarakaniKutokana na sintofahamu inayoendelea na kufuatia kujiuzulu kwa Makamu wa Rais Mh. Emmanuel NCHIMBI, duru zinaonyesha mwenye nafasi kubwa ya kuchukua kijiti basi ni kijana wetu Deogratius Ndejembi
Tusubiri tuone mkuuMajina ambayo bi mkubwa kayapendekeza yapelekwe bungeni inasemekana ni haya wasira paramagamba kabudi January makamba kasim majaliwa na waziri mkuu aliepo madarakani
Wewe sio mtabiri, wewe ni zaidi ya britaniccaKutokana na sintofahamu inayoendelea na kufuatia kujiuzulu kwa Makamu wa Rais Mh. Emmanuel NCHIMBI, duru zinaonyesha mwenye nafasi kubwa ya kuchukua kijiti basi ni kijana wetu Deogratius Ndejembi