Deo Munishi na John Mallya wa CHADEMA

Deo Munishi na John Mallya wa CHADEMA

Abunuas

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2011
Posts
8,812
Reaction score
1,824
jamaani naangalia ukurasa-EATV nimeona viongozi wa bavicha Dar wakilalamikia waendesha pikipiki kuingia katikati ya jiji. lakini naombeni mnisaidie kunitoa tongotongo jamani. hivi hakuna makabila mengine zaidi ya wachaga wanaoweza kuongoza huko chadema? nimeshangaa jiji la Dar lililojaa makabila mbalimbali lakini nafasi zote muhimu zinaongozwa na wachaga tu kuanzia mwenyekiti wa mkoa henry kileo kumbe mpaka bavicha mwenyekiti na katibu ni mnishi na malya.
msaada tafadhali, kulikoni wachaga na chadema?
 
Huu Uzi hautakuwa na muda hapa utafutwa
mkuu lakini hata hao mamods nafsi zao zitawasuta maana haya madai ya chadema na uchaga yamekuwa kila siku kwenye media na huku mitaani.
 
Nyerere alisema ni ujinga na upumbavu kwa watz kuulizana makabila au kuulizana dini.hao sisi tunajua ni watz wenzetu kama mleta mada umechunguza mpaka kabila zao sisi haituhusu.watz hatutajani kwa makabila usituletee ukabila.ni watz wenzetu taja mapungufu ya kiutendaji au hoja sio kabila.ni uchawi na ushetani kuchunguza makabila ya watu.kesho utachunguza na dini kesho yake na rangi zao ili kuuwa taifa.
 
Henry kilewo ni katibu kanda ya dar es salam wa DAR toka mwanga na sio mwenyekiti, mwenyekiti bavicha ni mkuryia wa Tarime, na katibu wake ni Deo ni wa Dar toka moshi

Mallya ni simanjiro

Haya editi sasa thread yako uliza swali sasa, kama hoja ya ukabila hapo hakuna na imechuja sasa hapo kuna (mkurya, mmasai, mchaga)
 
pale makao makuu ufipa mpaka mfagizi ni mchagga
 
Hakuna ujinga wala upumbavu katika kuhoji kwa lengo la kutaka kujua.

Nyerere katika hotuba yake (famous speach) aliyoitoa dodoma mwaka 1995 alisema ni ujinga na upumbavu kwa watanzania kuulizana makabila huyu mchaga ,huyu ------ so what? taja mapungufu yake ya kiutendani au elimu na vitu kama hivyo. Hatuchagui mtu kwa sababu ya kabila lake, na wala hatuchagui ili tu makabila yote yawe viongozi . hatuangalii ukabila watz katika kupata viongozi bali uwezo.kama wana maungufu wajadili mapungufu yao sio makabila wala dini wala rangi zao.msituletee ushetani kuliuwa taifa.
 
watu wanaochunguza makabila lazima wanachunguza na dini na watu hao wamejawa na mapepo wachafu wa kuliangamiza taifa hili.Nyerere alikemea hilo. sio naunga mkono kabila moja kupata madaraka bali katika kumjadili mtu tena kwa taifa kubwa kama letu tukitajana makabila au dini hatuendi.
 
Nyerere katika hotuba yake (famous speach) aliyoitoa dodoma mwaka 1995 alisema ni ujinga na upumbavu kwa watanzania kuulizana makabila huyu mchaga ,huyu ------ so what? taja mapungufu yake ya kiutendani au elimu na vitu kama hivyo. Hatuchagui mtu kwa sababu ya kabila lake, na wala hatuchagui ili tu makabila yote yawe viongozi . hatuangalii ukabila watz katika kupata viongozi bali uwezo.kama wana maungufu wajadili mapungufu yao sio makabila wala dini wala rangi zao.msituletee ushetani kuliuwa taifa.



Mkuu jibu hoja kwanza wosia baadae!
 
Mkuu jibu hoja kwanza wosia baadae!

siwezi kujadili makabila ya watu labda kama kuna hoja za mapungufu katika utendaji na utoaji huduma. wala mimi sio mwana cdm lakini ukienda vyuo vingi ma prof ni wahaya Je tuwajadili? sekta ya jeshi ina wanyakusa na wakurya wengi ruwajadili? kujadili kwa kabila ni kubomoa na sio kujenga hata nyerere walimsutumu kuwa baraza lake la mawaziri lilikuwa na wachaga wengi lakini akawajibu hata makabila aliowateuwa hakujua wala hakuwa akiteuwa makabila bali watendaji.
 
Nyerere katika hotuba yake (famous speach) aliyoitoa dodoma mwaka 1995 alisema ni ujinga na upumbavu kwa watanzania kuulizana makabila huyu mchaga ,huyu ------ so what? taja mapungufu yake ya kiutendani au elimu na vitu kama hivyo. Hatuchagui mtu kwa sababu ya kabila lake, na wala hatuchagui ili tu makabila yote yawe viongozi . hatuangalii ukabila watz katika kupata viongozi bali uwezo.kama wana maungufu wajadili mapungufu yao sio makabila wala dini wala rangi zao.msituletee ushetani kuliuwa taifa.

umeona hawa jamaa nichosema? Wameua elimu na sasa wanaleta shida kwenye uchambuzi wa mambo! Udini+ukabila vinatusaidia nini? Kwani unataka kutambika!
 
Tukikubali kujiingiza kwenye mtego wa kuchunguzana makabila tumekwisha. Na sio kwisha tu bali ni ushahidi kwamba tumeishiwa na hoja za msingi. Embu tusahau makabila na tuangalie uwezo, mstunda ya kazi na mambo chanya yatokanayo na uwepo wa mjadiliwa. Tuachane na vitu visivypkuwa na tija. Halafu hawa tunaowalazimisha makabila wengi ni wabeba majina ya ukoo ti.
 
Hii single mbona iliishachuja siku nyingi. Mleta mada nina wasiwasi kama kweli leo utalipwa hiyo book 7 kwa post hii.

Tiba
 
Tukiisha kufika pahala pa kuhoji kabila,dini ya mtu badala ya kuhodi utendaji na ufanisi kwenye nafasi wanazozitumikia hatutaishia hapo kwa kuwa tutahoji pia na rangi zao,maumbile yao na mengine yasiyokuwa na umuhimu! Ni wajukuu wa historia tu wanaoweza kuhoji haya kwa kuwa hawakupata kujua madhara ya kubaguana kwa sababu ya kabila ama dini!
 
jamaani naangalia ukurasa-EATV nimeona viongozi wa bavicha Dar wakilalamikia waendesha pikipiki kuingia katikati ya jiji. lakini naombeni mnisaidie kunitoa tongotongo jamani. hivi hakuna makabila mengine zaidi ya wachaga wanaoweza kuongoza huko chadema? nimeshangaa jiji la Dar lililojaa makabila mbalimbali lakini nafasi zote muhimu zinaongozwa na wachaga tu kuanzia mwenyekiti wa mkoa henry kileo kumbe mpaka bavicha mwenyekiti na katibu ni mnishi na malya.
msaada tafadhali, kulikoni wachaga na chadema?

Ujinga wako hauna kipimo kaka . Angalia historia utajua kwa nini hao jamaa wako mbele .Wengine kama wewe na Shonza na Mapamba ni wachumia tumbo mnajua CCM mtakula pesa za so you cannot cross leo wao wako katika mapambano unawasema ni wachaga ? Shame on you
 
Chadema kete yao kuu ni udini na ukabila, uchagga kwanza,utaifa baadae
 
Kabila sio issue, wew mtoa hoja ulikataliwa kwa vigezo vya kabila lako. Anglia uwezo wa mtu sio kabila lake. Kwani unatak kutambik
 
Back
Top Bottom